Quantcast
Channel: BONGOWEEKEND
Viewing all 1915 articles
Browse latest View live

SERIKALI YAJA NA MFUMO WA KUDHIBITI UBADHIRIFU WA MITIHANI


WANACHAMA CHAMA CHA TIBA ASILI WAKUTANA

$
0
0
Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Tiba Asili Tanzania (Shivyatiata), Mkoa wa Dar es Salaam, Juma Luwongo (katikati), akizungumza na wajumbe wa mkutano wa shirikisho hilo wilayani Ilala, wakati wa mkutano wao wa kujadili masuala mbambali yahusuyo vyama vyao pamoja na shirikisho hilo, jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Kulia ni Katibu wa Shivyatiata, Wilaya ya Ilala, Johanes Chamushala na kushoto ni Katibu Mwenezi wa Shivyatiata, Ilala, Venance Mwamunyange. (Picha zote na Kassim Mbarouk-www.bayana.blogspot.com)
Baadhi ya wajumbe wa mkutano huo, wilayani Ilala wakimsikiliza Mwenyekiti wa Shivyatiata, Mkoa wa Dar es Salaam, Juma Luwongo wakati akizungumza nao kwenye mkuano huo, wa kujadili masuala mbambali yahusuyo vyama vyao pamoja na shirikisho hilo, jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Kulia ni Katibu wa Shivyatiata, Wilaya ya Ilala, Johanes Chamushala. 
Baadhi ya wajumbe wa mkutano huo, wilayani Ilala wakisikiliza hoja na michango mbalimbali iliyokuwa ikitolewa na baadhi wa wajumbe wenzao kwenye mkuano huo, wa kujadili masuala mbambali yahusuyo vyama vyao pamoja na shirikisho hilo, jijini Dar es Salaam.
Mmoja wa wajumbe wa mkutano huo, wilayani Ilala, akitoa mchango wake katika mkutano huo.
Mmoja wa wajumbe wa mkutano huo, wa Shivyatiata wilayani Ilala, akitoa mchango wake katika mkutano huo. 
Mmoja wa wajumbe wa mkutano huo, wilayani Ilala, akitoa mchango wake katika mkutano huo. 
Wajumbe wakisikiliza michango na hoja mbalimbali zilizokuwa zikiolewa katika mkutano huo, wa Shivyatiata wilayani Ilala.  
Katibu wa Shivyatiata, Wilaya ya Ilala, Johanes Chamushala, akifafanua jambo kwa wajumbe wa mkutano huo. 
Mratibu wa Tiba Asili na Tiba Mbadala Wilaya ya Ilala, Sophia Ntomola, akizungumza wakati akiwasilisha moja ya mada katika mkutano huo. 
Wajumbe wakimsikiliza Mratibu wa Tiba Asili na Tiba Mbadala Wilaya ya Ilala, Sophia Ntomola, wakati akijibu hoja mbalimbali zilizokuwa zikitolewa na wajumbe wa mkutano huo. 
Mratibu wa Tiba Asili na Tiba Mbadala Wilaya ya Ilala, Sophia Ntomola, akijibu hoja mbalimbali zilizokuwa zikitolewa na wajumbe kwenye mkutano huo. 
Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Tiba Asili Tanzania (Shivyatiata), Mkoa wa Dar es Salaam, Juma Luwongo (wa tatu kulia), akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa mkutano huo, wilayani Ilala, mara baada ya kumalizika kwa mkuano huo.

HALMASHAURI NCHINI ZAKUMBUSHWA KUNUNUA DAWA ZA KUUA VILUWILUWI VYA MBU

TGGA YAZINDUA KAMPENI YA HEDHI SALAMA KWA WASICHANA

$
0
0
 Katibu Tawala wa Wilaya ya Lindi, Thomas Safari akizindua rasmi Kampeni ya Hedhi Salama kwa Wasichana iliyoandaliwa na Chama cha Tanzania Girl Guids (TGGA), ikiwa ni sehemu ya shamrashamra ya maadhimisho ya Siku ya Hedhi Duniani itakayofikia kilele Mei 28. Uzinduzi huo ulifanyika kwenye Uwanja wa Ilulu mjini Lindi leo. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa TGGA, Mkoa wa Lindi, Zuhura Mohamed na Katibu Mkuu wa TGGA, Grace Shaba. 

PICHA NA RICHARD MWAIKENDA-KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari Mkoa wa Lindi wakiingia kwa maandamano kwenye Uwanja wa Ilulu, wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo.

Na Richard Mwaikenda-Lindi

SERIKALI ya Mkoa wa Lindi imekubali ombi la Chama cha Tanzania Girl Guids (TGGA), kwa kila shule kutenga chumba kimoja kwa ajili ya kujistiri wasichana wakati wa hedhi.

Ombi hilo lilitolewa na Katibu Mkuu wa TGGA Taifa, Grace Shaba wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo uliofanyika kitaifa kwenye Uwanja wa Ilulu, mjini Lindi, ambapo aliiomba serikali na walimu wakuu wa shule kutenga vyumba mashuleni vya wasichana kujihifadhi wakati hedhi.

Shaba ambaye ni mwalimu mstaafu, alisema kuwa wakati akitumikia ualimu katika shule mbalimbali alikuwa anatenga vyumba kwa ajili ya kazi hiyo na kwamba viliwasaidia sana wanafunzi wasichana.

Akihutubia wakati wa hafla hiyo, Katibu Tawala wa Wilaya ya Lindi, aliyemwakilisha Mkuu wa Wilaya, Thomas Safari alisema vyumba vya siri kwa ajili ya wasichana wakati wa hedhi ni muhimu sana kwani vinawafanya wawe salama kiafya na wasafi wakati wote.

Alisema watahakikisha kwa kila shule katika mkoa huo inakuwa na chumba cha siri kwa wasichana, iliwe mfano hata kwa mikoa mingine na taifa kwa ujumla.

Pia aliwaasa wazazi, walezi na waalimu kueneza elimu hiyo ili watoto waelewe vizuri umuhimu wa usafi wakati wa hedhi, jambo ambalo litawafanya wawe na furaha, afya na usafi, hivyo kuondokana na mazoea ya kujinynyapaa na kulifanya la siri.

"Tuondokane na baadhi ya mila zetu potofu zinazolifanya suala la hedhi kuwa la siri, inatakiwa kuanzia sasa watoto wa kike wabebe begi lenye vifaa mbalimbali vitakavyowasaidia wakati wa hedhi, ikiwemo khanga, pedi, vitambaa na mtandio.
"alisema Safari.


"Inabidi sote tuwe mabalozi kwa kuongea na watoto, tutunze afya na usafi wao, kwani hao ndiyo viongozi wa taifa letu la kesho
. Bila kuwa na afya njema hatutakuwa na viongozi imara wa  Taifa letu."Alisisitiza Safari.

Dhima na lengo la TGGA ambayo ina wanachama zaidi 100,000 nchininni kuwajengea wasichana nafasi ya kujithamini, ari ya maendeleo, uzalendo kwa nchi na kujiamini.






 Wanafunzi wakiimba wimbo wa hamasa ya kampeni hiyo
 Mmoja wa wanafunzi akielezea jinsi ya kutumia pedi

 Maandamano ya wanafunzi kwenye Uwanja wa Ilulu
 Wanafunzi wa kike wakiwa na furaha wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo
 Rehema Kijazi wa TGGA Makao Makuu akiwahamasisha wanafunzi wakati wa maandamano
 Wanafunzi wakiwa wamebeba mabango yenye ujumbe wa kuhamasisha matumizi salama ya vihifadhi yaani Pedi


 Viongozi wa TGGA Mkoa wa Lindi wakiwa eneo la uzinduzi wa kampeni hiyo
 Makamu Mwenyekiti wa TGGA Mkoa wa Lindi, Saharifa Mkwango akisherehesha 
hafla hiyo

 Katibu Mkuu wa TGGA Taifa, Grace Shaba akihutubia wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo kwa kuwaeleza  dhima na lengo la chama hicho kuwaelimisha wasichana kuhusu maadili mema na matumizi sahihi ya pedi wakati wa hedhi.
 Baadhi ya wazazi miongoni mwao wakiwemo walimu wakisikiliza kwa makini hotuba iliyokuwa ikitolewa na mgeni rasmi

 Girl Guids kutoka Rwanda, Uganda na Madagascar wakihamasisha matumizi ya pedi wakati wa hedhi

 Mgeni rasmi, Thomas Safari akihutubia
 Safari akizindua rasmi kampeni hiyo kwa kufungua kasha lenye pedi
 Mgeni rasmi akikabidhi makasha yenye pedi yaani vihifadhi kwa wanafunzi wa shule mbalimbali



 Wanafunzi wakisakata muziki wakati wa kampeni hiyo

 Viongozi wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi waliokabidhiwa makasha ya pedi zitakazogawiwa shuleni kwao

 Girl Guids wakiwa katika picha ya pamoja

 Katibu Mkuu wa TGGA Taifa, Grace Shaba akisaidiana na mwanafunzi Caren Seki kumwagilia mti alioupanda katika shule ya Msingi Mtuleni
Mgeni rasmi, Thomas Safari akipanda mti wa kumbukumbu katika Shule ya Msingi Mtuleni
Girl Guids kutoka Rwanda, Madagascar na Uganda ambao wapo nchini kwa mpango wa kubadilishana uzoefu wakipanda mti wa kumbukumbu katika shule ya msingi Mtuleni, Lindi

SERIKALI YATOA UFAFANUZI KUHUSI UGONJWA WA KISUKALI, UHABA WA MADAKTARI WA MENO NCHINI

NEW AUDIO BY CHAXY

$
0
0
New Regards Tone Multimedia Company Limited Plot No.223/225 Block 46, Umoja Street Kijitonyama P.O Box 32529 Dar es salaam Tanzania Tel +255 22 2772919 Fax +255 22 2772892 E-Mail blogszamikoa@live.com Facebook: www.facebook.com/blogszamikoa Web: www.blogszamikoa.com

KIWANDA CHA KMTC KUJENGA KINU CHA KUYEYUSHA CHUMA

KAMPENI YA CASTLE LITE UNLOCKS YAFANA

$
0
0
Mdau akifurahi jambo wakati burudani za Castle Lite Unlock ziliporidima katika Bar ya Stanza Goba,kampeni ‘Castle Lite Unlocks’ ambayo lengo lake ni kuhamasisha wateja wake wa bia chapa Castle Lite kuifurahia zaidi na pia kuwaleta pamoja katika tamasha kubwa litalofanyika mwezi wa Julai mwaka huu.

Mc akisherehesha katika kampeni ‘Castle Lite Unlocks’ ambayo lengo lake ni kuhamasisha wateja wake wa bia chapa Castle Lite kuifurahia zaidi na pia kuwaleta pamoja katika tamasha kubwa litalofanyika mwezi wa Julai mwaka huu.

Mc akisoma Kuponi ya mshindi wa zawadi kutoka Castle lite Unlocks  katika Bar ya Stanza Bar _Goba .kampeni ‘Castle Lite Unlocks’ ambayo lengo lake ni kuhamasisha wateja wake wa bia chapa Castle Lite kuifurahia zaidi na pia kuwaleta pamoja katika tamasha kubwa litalofanyika mwezi wa Julai mwaka huu.
  

MC akimvisha mteja Kofia mara baada ya kushinda zawadi ambapo burudani za Castle Lite Unlocks zilikuwa zikiendelea katika Bar ya Stanza Goba.kampeni ‘Castle Lite Unlocks’ ambayo lengo lake ni kuhamasisha wateja wake wa bia chapa Castle Lite kuifurahia zaidi na pia kuwaleta pamoja katika tamasha kubwa litalofanyika mwezi wa Julai mwaka huu.  .

Regards Tone Multimedia Company Limited Plot No.223/225 Block 46, Umoja Street Kijitonyama P.O Box 32529 Dar es salaam Tanzania Tel +255 22 2772919 Fax +255 22 2772892 E-Mail blogszamikoa@live.com Facebook: www.facebook.com/blogszamikoa Web: www.blogszamikoa.com

TAKUKURU, DStv na MISA WAIPIGA JEKI SERENGETI

$
0
0

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe  akipokea  mchango  wa Shilingi MIllioni Moja  kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa  nchini (TAKUKURU) Ailiyowasilishwa  kwa niaba ya Mkurugenzi  wa Idara  yaMaendeleo  ya Michezo  Yusuph Singo .
(Picha na  Shamimu Nyaki WHUSM)

Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harriosn Mwakyembe akipokea mchango wa Shillingi Millioni moja kwa ajili ya Serengeti Boys leo Jijini Dar es Salaam kutoka kwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika Tawi la Tanzania Bi. Salome Kitomari.

AZANIA TEAM YAKABIDHIWA BENDERA

$
0
0
Viongozi wa Azania Team, mabingwa wa Kombe la michuano ya Standard Chartered way to Anfield kwa nchi za Afrika Mashariki, Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad (kushoto), Meneja Masoko wa kampuni hiyo, Mohammed Bashrahili (katikati), wakiwa na Kocha wa timu hiyo, Saleh Afifi wakati wa hafla ya kukabidhi timu hiyo, bendera, Viza, Tiketi pamoja na vifaa vya michezo tayari kuelekea Jijini Liverpool, nchini Uingereza kwa ajili ya kinyan'ganyiro hicho na mabingwa wengine duniani pia kuona mchezo wa mwisho wa Ligi ya Uingereza kati ya timu ya Liverpool na Midlesbrough katika katika Uwanja wa Anfield jijini humo. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt Harrison Mwakyembe ndiye aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo.
Baadhi ya wachezaji wa Azania Team, mabingwa wa Kombe la michuano ya Standard Chartered way to Anfield kwa nchi za Afrika Mashariki, wakiwa katika hafla hiyo, Hoteli ya Southern Sun jijini Dar es Salaam.
Viongozi wa Azania Team, mabingwa wa Kombe la michuano ya Standard Chartered way to Anfield kwa nchi za Afrika Mashariki, Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad (wa tatu kulia), Meneja Masoko wa kampuni hiyo, Mohammed Bashrahili (wa pili kulia) na Kocha wa timu hiyo, Saleh Afifi wakiwa pamoja na wachezaji wa timu hiyo, wa hafla hiyo.
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Benki ya Standard Chartered, nchini Tanzania, Juanita Mramba, akizungumza katika hafla hiyo, kabla ya kumkaribisha Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, nchini, Balozi Ami Mpungwe (katikati), wakati wa hafla hiyo. Kulia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Standard Chartered, nchini Tanzania, wadhamini wa timu hiyo, Balozi Ami Mpungwe akizungumza wakati wa hafla hiyo. Kulia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Standard Chartered, nchini Tanzania, wadhamini wa timu hiyo, Balozi Ami Mpungwe akizungumza wakati wa hafla hiyo. Katikati ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe na kulia ni Balozi wa Uingereza nchini. Bi. Sarah Cooke.
Wageni mbalimbali wakiwa katika hafla hiyo.
Mmoja wa wakilishi wa benki hiyo, akitoa maelezo machache kuhusu safari hiyo, wakati wa hafla hiyo.
Baadhi ya wachezaji wa timu hiyo, wakiwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad (kulia), wamiliki wa timu hiyo, wakifuatilia maelezo mbalimbali yaliyokuwa yakitolewa katika hafla hiyo.
Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Deoniz Malinzi, akizungumza wakati wa hafla hiyo.
Balozi wa Uingereza nchini, Bi. Sarah Cooke akizungumza katika hafla hiyo, ya kukabidhi bendera, viza, tiketi na vifaa vya michezo kwa timu hiyo. Katikati ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Standard Chartered, Balozi Ami Mpungwe.
Wachezaji wa Azania Team, wakiwa na baadhi ya wageni mbalimbali waliohudhuria katika hafla hiyo.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, akizungumza wakati wa hafla hiyo. Katikati ni Balozi wa Uingereza nchini, Bi. Sarah Cooke na wa pili kulia ni Mwenyekiti wa BMT, Deoniz Malinzi.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati), akizungumza wakati wa hafla hiyo. Kulia ni Balozi wa Uingereza nchini, Bi. Sarah Cooke na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Standard Chartered, Balozi Ami Mpungwe.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza katika hafla hiyo. Kulia ni Balozi wa Uingereza nchini, Bi. Sarah Cooke.
Nahodha wa timu hiyo, Khalid Said akielezea matumaini yake na jinsi walivyojianda kwa fainali hiyo, mashindano yatakayofanyika Uwanja wa Anfield jijini Liverpool, nchini Uingereza.
Mchezaji wa timu hiyo, Ahmed Afif, akikabidhiwa tiketi pamoja na viza yake.
Mchezaji wa timu hiyo, Thomas Bishanga, akikabidhiwa tiketi pamoja na viza yake.
Mchezaji wa timu hiyo, Rajb Ally, akikabidhiwa tiketi pamoja na viza yake.
Mchezaji wa timu hiyo, Abdallah Khalid, akikabidhiwa tiketi pamoja na viza yake.
Mchezaji wa timu hiyo, Bryan Donald, akikabidhiwa tiketi pamoja na viza yake.
Mchezaji wa timu hiyo, Shabaka Khamis, akikabidhiwa tiketi pamoja na viza yake.
Nahodha  wa timu hiyo, Khalid Said, akikabidhiwa tiketi pamoja na viza yake.

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (wa nne kushoto waliokaa), akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Uingereza nchini, Bi. Sarah Cooke (wa tano), Balozi Ami Mpungwe (wa tatu) wa Benki ya Standard Chartered pamoja na Mwenyekiti wa BMT, Deoniz Malinzi (wa pili kushoto) na viongozi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa timu hiyo pamoja na viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini.



Nahodha  wa timu hiyo, Khalid Said, akikabidhiwa Bendera ya Taifa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe. Kulia anayefurahi ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad, wamiliki wa timu hiyo.
Nahodha  wa timu hiyo, Khalid Said, akikabidhiwa Bendera ya Taifa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe. Kulia anayefurahi ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad, wamiliki wa timu hiyo.
Nahodha  wa timu hiyo, Khalid Said (wa pili kushoto), akiwa ameishikilia Bendera ya Taifa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe mara baada ya kukabidhiwa. Wa pili kulia anayefurahi ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad, wamiliki wa timu hiyo.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad, wamiliki wa timu hiyo, akipongezwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe.
Nahodha  wa timu hiyo, Khalid Said, akikabidhiwa vifaa mbalimbali vya michezo kwa ajili ya mashindano ya fainali hizo na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe. Wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad, wamiliki wa timu hiyo.
Nahodha  wa timu hiyo, Khalid Said, akikabidhiwa vifaa mbalimbali vya michezo kwa ajili ya mashindano ya fainali hizo na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe. Wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad, wamiliki wa timu hiyo.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati waliokaa), akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu hiyo pamoja na viongozi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa timu hiyo pamoja na viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, 
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati waliokaa), akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu hiyo pamoja na viongozi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa timu hiyo pamoja na viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, Awadh Fuad.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati waliokaa), akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu hiyo, Balozi wa Uingereza nchini Bi. Sarah Cooke, Balozi Ami Mpungwe wa Benki ya Standard Chartered pamoja na viongozi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa timu hiyo pamoja na viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini. 
Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad, wamiliki wa timu hiyo, akiagana na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, mara baada ya kumalizika hafla hiyo.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad, wamiliki wa timu hiyo, akiwa na baadhi ya wachezaji, wakipata vitafunwa na vinywaji. KAWAIDA Viongozi wa Azania Team, mabingwa wa Kombe la michuano ya Standard Chartered way to Anfield kwa nchi za Afrika Mashariki, Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad (kushoto), Meneja Masoko wa kampuni hiyo, Mohammed Bashrahili (katikati), wakiwa na Kocha wa timu hiyo, Saleh Afifi wakati wa hafla ya kukabidhi timu hiyo, bendera, Viza, Tiketi pamoja na vifaa vya michezo tayari kuelekea Jijini Liverpool, nchini Uingereza kwa ajili ya kinyan'ganyiro hicho na mabingwa wengine duniani pia kuona mchezo wa mwisho wa Ligi ya Uingereza kati ya timu ya Liverpool na Midlesbrough katika katika Uwanja wa Anfield jijini humo. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt Harrison Mwakyembe ndiye aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo. Baadhi ya wachezaji wa Azania Team, mabingwa wa Kombe la michuano ya Standard Chartered way to Anfield kwa nchi za Afrika Mashariki, wakiwa katika hafla hiyo, Hoteli ya Southern Sun jijini Dar es Salaam. Viongozi wa Azania Team, mabingwa wa Kombe la michuano ya Standard Chartered way to Anfield kwa nchi za Afrika Mashariki, Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad (wa tatu kulia), Meneja Masoko wa kampuni hiyo, Mohammed Bashrahili (wa pili kulia) na Kocha wa timu hiyo, Saleh Afifi wakiwa pamoja na wachezaji wa timu hiyo, wa hafla hiyo. Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Benki ya Standard Chartered, nchini Tanzania, Juanita Mramba, akizungumza katika hafla hiyo, kabla ya kumkaribisha Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, nchini, Balozi Ami Mpungwe (katikati), wakati wa hafla hiyo. Kulia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Standard Chartered, nchini Tanzania, wadhamini wa timu hiyo, Balozi Ami Mpungwe akizungumza wakati wa hafla hiyo. Kulia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Standard Chartered, nchini Tanzania, wadhamini wa timu hiyo, Balozi Ami Mpungwe akizungumza wakati wa hafla hiyo. Katikati ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe na kulia ni Balozi wa Uingereza nchini. Bi. Sarah Cooke. Wageni mbalimbali wakiwa katika hafla hiyo. Mmoja wa wakilishi wa benki hiyo, akitoa maelezo machache kuhusu safari hiyo, wakati wa hafla hiyo. Baadhi ya wachezaji wa timu hiyo, wakiwa na Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad (kulia), wamiliki wa timu hiyo, wakifuatilia maelezo mbalimbali yaliyokuwa yakitolewa katika hafla hiyo. Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Deoniz Malinzi, akizungumza wakati wa hafla hiyo. Balozi wa Uingereza nchini, Bi. Sarah Cooke akizungumza katika hafla hiyo, ya kukabidhi bendera, viza, tiketi na vifaa vya michezo kwa timu hiyo. Katikati ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Standard Chartered, Balozi Ami Mpungwe. Wachezaji wa Azania Team, wakiwa na baadhi ya wageni mbalimbali waliohudhuria katika hafla hiyo. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, akizungumza wakati wa hafla hiyo. Katikati ni Balozi wa Uingereza nchini, Bi. Sarah Cooke na wa pili kulia ni Mwenyekiti wa BMT, Deoniz Malinzi. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati), akizungumza wakati wa hafla hiyo. Kulia ni Balozi wa Uingereza nchini, Bi. Sarah Cooke na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Standard Chartered, Balozi Ami Mpungwe. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza katika hafla hiyo. Kulia ni Balozi wa Uingereza nchini, Bi. Sarah Cooke. Nahodha wa timu hiyo, Khalid Said akielezea matumaini yake na jinsi walivyojianda kwa fainali hiyo, mashindano yatakayofanyika Uwanja wa Anfield jijini Liverpool, nchini Uingereza. Mchezaji wa timu hiyo, Ahmed Afif, akikabidhiwa tiketi pamoja na viza yake. Mchezaji wa timu hiyo, Thomas Bishanga, akikabidhiwa tiketi pamoja na viza yake. Mchezaji wa timu hiyo, Rajb Ally, akikabidhiwa tiketi pamoja na viza yake. Mchezaji wa timu hiyo, Abdallah Khalid, akikabidhiwa tiketi pamoja na viza yake. Mchezaji wa timu hiyo, Bryan Donald, akikabidhiwa tiketi pamoja na viza yake. Mchezaji wa timu hiyo, Shabaka Khamis, akikabidhiwa tiketi pamoja na viza yake. Nahodha wa timu hiyo, Khalid Said, akikabidhiwa tiketi pamoja na viza yake. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (wa nne kushoto waliokaa), akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Uingereza nchini, Bi. Sarah Cooke (wa tano), Balozi Ami Mpungwe (wa tatu) wa Benki ya Standard Chartered pamoja na Mwenyekiti wa BMT, Deoniz Malinzi (wa pili kushoto) na viongozi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa timu hiyo pamoja na viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini. Nahodha wa timu hiyo, Khalid Said, akikabidhiwa Bendera ya Taifa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe. Kulia anayefurahi ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad, wamiliki wa timu hiyo. Nahodha wa timu hiyo, Khalid Said, akikabidhiwa Bendera ya Taifa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe. Kulia anayefurahi ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad, wamiliki wa timu hiyo. Nahodha wa timu hiyo, Khalid Said (wa pili kushoto), akiwa ameishikilia Bendera ya Taifa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe mara baada ya kukabidhiwa. Wa pili kulia anayefurahi ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad, wamiliki wa timu hiyo. Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad, wamiliki wa timu hiyo, akipongezwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe. Nahodha wa timu hiyo, Khalid Said, akikabidhiwa vifaa mbalimbali vya michezo kwa ajili ya mashindano ya fainali hizo na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe. Wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad, wamiliki wa timu hiyo. Nahodha wa timu hiyo, Khalid Said, akikabidhiwa vifaa mbalimbali vya michezo kwa ajili ya mashindano ya fainali hizo na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe. Wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, Awadh Fuad, wamiliki wa timu hiyo. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (katikati waliokaa), akiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu hiyo pamoja na viongozi wa Kampuni ya Mikoani Traders, wamiliki wa timu hiyo pamoja na viwanda vya kusaga nafaka vya Azania nchini, ...

SHULE 55 KUWA VITUO VYA KUENDELEZA MICHEZO NCHINI

SERIKALI YATOA WITO KWA WALIMU WA MICHEZO MIPYA KUJITOKEZA

MRADI WA REA KUFIKA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI

MASHIRIKA YA KIMATAIFA YAOMBWA KUISAIDIA TANZANIA KUWAUNGANISHA RAIA WAPYA NA WATANZANIA WENGINE

$
0
0

Na Tiganya Vincent-Kaliua

Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiako wa Kimataifa, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashiriki katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Celestine Mushi ametoa wito kwa Mashirika Kimataifa na Umoja wa Ulaya kushirikiana na Serikali ya Tanzania katika kuwasaidia Watanzania wapya (waliokuwa wakimbizi wa Burundi) kuhakikishwa wanaunganishwa na jamii ya Watanzania mara baada ya kupata uraia.

Balozi Mushi ametoa kauli hiyo jana katika eneo la Ulyankulu wilayani Kaliua wakati alipokuwa na Ujumbe wa Mabalozi kutoka Nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya ikiwemo Uingereza.

Alisema kuwa baada ya Serikali kuwapatia waliokuwa baadhi ya wakimbizi wa Burundi Uraia ni vema nchi hizo na Mashirika ya Kimataifa yakasaidia kuongeza raslimali mbalimbali ambazo zitaisaidia Serikali iweze kuwaunganisha vizuri raia hao wapya na raia wengine hapa nchini.

Balozi Mushi aliongeza fedha za Serikali pekee hazitoshi kukamilisha zoezi la kuwaunganisha raia hao kwasababu yapo mahitaji ya wananchi mengine hapo nchini yanayotegemeza hizo fedha kidogo inazokusanya kutokana na vyanzo vyake mbalimbali vya mapato na hivyo ni vema nao wakasaidia kwa upande wao.

Alisema kuwa kimsingi raia hao wapya wanakabiliwa na matatizo mbalimbali ikiwemo ukosefu wa maji safi na salama, uhaba wa vifaa tiba, zahanati , kutokuwa na miundombinu ya kutosha ya elimu na kukosa elimu ya kutosha kuhusu uzazi wa mpango.

Alisema kuwa kukosekana kwa elimu ya kutosha kumewafanya wakazi hao wawe na familia kubwa ambazo hawawezi wakati mwingine kuziwezesha katika huduma za jamii.

Balozi Mushi alisisitiza kuwa kutozingatiwa kwa elimu ya uzazi wa mpango kumelifanya eneo hilo kuwa na wananchi wanaozaliana kwa wingi kuliko maeneo mengine ya Mkoa wa Tabora jambo linalofanya huduma za jamii kuwa kidogo ukilinganisha na idadi ya watu wa hapo.

Alisema kuwa ni vema wadau wakaona ni wapi wanaweza kushirikiana na Tanzania katika kuwasaidia raia hao wapya katika kuondokana na matatizo mbalimbali yanayowakabili. Kwa upande wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Kaliua Dkt. John Pima alisema kuwa wastani wa raia kuzaana katika eneo la Ulyankulu ni asilimia 5.4 na hivyo kufanya kuwepo na idadi ya watu wengi katika eneo moja ambao hawawiani na huduma za jamii zilizopo.

Alisema kuwa hatua inasabaisha kuwepo kwa uhaba wa vyumba vya madarasa ,hatua iliyoilazimu Halmashauri hiyo kujaribu kuwahamishia katika maeneo mengine watoto hao ili wapate elimu. Dkt. Pima aliongeza kuwa kuhusu elimu ya uzazi wa mpango wamekuwa wakijitadi kuitoa lakini bado kasi ya uzalianaji ni kubwa na hivyo juhudi zaidi zinahitajika.

Naye Mkurugenzi Msaidizi kutoka Idara ya Huduma ya Wakimbizi Suleman Mziray ujumbe wa Mabalozi wa Umoja wa Ulaya umekwenda Ulyankulu ili kujionea hali halisi na kuangalia jinsi gani wanaweza kuisadia Serikali ya Tanzania katika kutengamanisha waliokuwa Wakimbikizi ambao wapata uraia na Watanzania wengine.

Alisema kuwa mabalozi hao wamekuwa na Umoja wao unajulikana kama Solutions Alliance ambao lengo lake ni kutafuta suluhusho la kuduma kwa wakimbizi.

Mziray aliongeza kuwa ziara ya Mabalozi hao ilikuwa muhimu ili waweze kuona wapi wanaweza kusaidia katika kuboresha kundi hilo. Aidha , alitoa wito kwa Watanzania hao wapya kuanza kuangalia uwezekano wa kuhamia katika maeneo mengine ya kuishi ili kuepuka tatizo la ukosefu wa huduma za jamii kama maji na elimu.

Serikali ya Tanzania imetoa uraia kwa wakimbizi wa Burundi 162,000 walioishi nchini 1972 na kuwa Watanzania. Ujumbe huo wa Mabalozi wa Umoja wa Ulaya nchini umesema utakwenda kukaa na baadaye ndio utatoa majibu iwapo wanaweza kusaidia na ni eneo gani.

MRADI WA MATREKTA URSUS MKOMBOZI KWA WAKULIMA TANZANIA


WAZIRI MWINYI AWATAKA WANAJESHI KUFUATA MIIKO NA TARATIBU ZAO WAKATI WOTE

NAY WA MITEGO, SHILOLE, KALA JEREMAYA WAANDIKA HISTORIADAR LIVE

$
0
0
Msanii wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego akifanya yake kwenye Shoo ya Wapo iliyofanyika jana usiku kwenye Ukumbi wa Dar Live uliopo Zakhem jijini Dar....Akiimba sambamba na mashabiki zakeMsanii Kala Jeremiah alivyowarusha mashabiki kwenye Shoo ya Wapo.Msanii Kala Jeremiah alivyowarusha mashabiki kwenye Shoo ya Wapo.Mashabiki wakiwa na furaha ya burudani.Msanii Barnaba na Shilole wakifanya yao kwenye jukwaa la Dar Live jana usiku.Msanii Shilole akikata nyonga na shabiki wake.Mchekeshaji Mkali Wao na Ninyetwa Ebitoke wakionesha uwezo wao.DJ Zero akitoa saluti kwa mashabiki wake. ONESHO kabambe la Wapo Concert lililofanyika usiku wa kuamkia leo ndani ya ukumbi wa burudani wa Taifa wa Dar Live hakika liliacha historia kwa mashabiki wengi waliojitokeza kushuhudia onesho hilo ambalo ni la aina yake kufanyika ndani ya ukumbi huo.

 Onesho hilo lililowashirikisha wasanii nguli wa muziki wa kizazi kipya, Nay wa Mitego, Barnaba, Shilole ‘Shishi Bay’, Kala Jeremiah na mabingwa wa vichekesho hapa nchini, Mkali Wenu na wenzake, hakika lilikuwa la aina yake na liliacha simulizi kubwa kwa mashabiki waliojitokeza kulishuhudia.

 Onesho hilo lililoongozwa na DJ Ziro na DJ Max wa Dar Live ambao walizikonga nyoyo za mashabiki, lilianza kwa shamrashamra kwa wasanii waliopanda jukwaani kupiga shoo za utangulizi.

 Nusura baadhi ya mashabiki hao wavunjike mbavu kwa vicheko kufuatia vichekesho vilivyoletwa na Mkali Wenu na wenzake kwani jamaa hao ni noma kwa kuvunja mbavu watu, hata walipomaliza kutoa burudani mashabiki waliwaita warudie tena nao wakafanya hivyo.


 Ilikuwa kama mvua inataka kutibua onesho hilo lakini mashabiki hawakujali mvua ambayo ilikuwa inanyesha kwani waliendelea kula shangwe bila kujali mvua iliyokuwa inamwagika kwa wingi.

 Hata Barnaba alipopanda jukwaani na wimbo wake wa Milele, aliwakuta mashabiki hao wameshapagawa na yeye kuwaongezea mzuka kwa burudani ya nguvu. Mashabiki hao walizidi kupagawa zaidi baada ya Barnaba kumpandisha jukwaani Shishi Baby na kuimba nae pamoja wimbo mpya wa Shilole wa Hatutoi Kiki. Shishi Baby alimpisha Kala Jeremiah ambaye aliwakuta mashabiki hao wamewehuka kwa burudani, naye akaongeza ngoma juu ya ngoma.

 Ukumbi ulirindima zaidi baada ya Nay wa Mitego kuvamia jukwaa kwa wimbo wake wa Muziki Gani, mashabiki wakavamia jukwaa huku baadhi wakitaka japo wamguse. Nay aliweka historia kubwa ndani ya ukumbi huo wa taifa wa burudani uliopo Mbagala jijini hapa alipowatendea haki mashabiki hao kwa kuwadondoshea ngoma zake zote mwanzo mwisho.
(PICHA/HABARI: ISSA MNALY/GPL)

Tazama Shoo Nzima ya Nay wa Mitego 'Wapo Concert' Dar Live - Mbagala

MAHAFALI YA 29 YA SHULE YA SEKONDARI ALHARAMAIN YAFANA

$
0
0
Wahitimu wa kidato cha sita wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, wakiingia kwenye ukumbi wa mahafali wakati wa mahafali yao ya 29, jijini Dar es Salaam jana.(Picha zote na Kassim Mbarouk-www.bayana.blogspot.com)
Mwanafunzi wa kidato cha tatu wa Shue ya Sekondari ya Al Haramain, Hairat Hashim akisoma Qur'an katika mahafali hayo.
Mwanafunzi Mohammed Fauz wa shule hiyo, akitoa mawaidha wakati wa mahafali hayo.
Mwalimu wa Nidhamu katika shule hiyo, Mwalimu Omar Hamad, akiwaongoza wanafunzi wa kidato cha tatu kughani kaswida wakati wa mahafali hayo ya 29, jijini Dar es Saaam jana.
Wanafunzi wa kidato cha tatu wakipiga dufu na kughani kaswida wakati wa mahafali hayo ya 29, jijini Dar es Saaam jana.
Rais mstaafu wa Serikali ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, mhitimu wa kidato cha sita, Hassan Hamisi akizungumza wakati wa mahafali hayo.
Rais mpya wa Serikali ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, mwanafunzi wa kidato cha tano, Salim Mruta, akitoa shukrani zake kwa wahitimu, wakati wa mahafali hayo.
Imam wa Msikiti wa Al Haramain, Sheikh Issa Kalunga, akitoa dua wakati wa mahafali hayo.
Wahitimu wa kike wa kidato cha sita wa shule hiyo, wakiwa kwenye ukumbi wa mahafali yao hayo jana. 
Mwanafunzi wa kidato cha tano wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Omar Rajab, akisoma Qur'an katika mahafali hayo.
Mwanafunzi wa kidato cha tano wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Ally Athumani akitoa tafsiri ya Qur'an iliyosomwa katika mahafali hayo.
Baadhi ya wazazi na walezi wa wahitimu wa kidato cha sita, wakiwa kwenye ukumbi wa mahafali hayo, wakifuatilia matukio mbaimbali yaliyokuwa yakifanyika ukumbini humo.
Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Mwalimu Nuh Jabir (wa pili kushoto), akiwa na baadhi ya walimu viongozi katika meza kuu katika mahafali hayo. Kushoto ni Mwalimu wa Taaluma, Mwalimu Rashid Kassim.
Hali ya ukumbi ulivyokuwa wakati wa mahafali hayo.
Wanafunzi wa kidato cha tano wa shule hiyo, Mwajuma Ahmad (kushoto) na Husna Khalid wakighani utenzi mbele ya mgeni rasmi katika Mahafali ya 29 ya kidato cha Sita ya Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Hamis Mataka.
Mgeni rasmi katika Mahafali ya 29 ya kidato cha Sita ya Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Hamis Mataka (katikati, mwenye simu), akiwa meza kuu pamoja na Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir (kushoto) na Mkuu wa Chuo cha Ualimu cha Al- Haramain, Mwalimu Suleiman Urassa.
Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir, akimkaribisha Mgeni rasmi katika Mahafali ya 29 ya kidato cha Sita ya Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Hamis Mataka (kushoto kwake) pamoja na kutambulisha walimu viongozi kwenye meza kuu. Kulia ni Mkuu wa Chuo cha Ualimu cha Al- Haramain, Mwalimu Suleiman Urassa na kushoto ni Mwalimu wa Taaluma, Mwalimu Rashid Kassim.
Mhitimu wa kidato cha sita, Hassan Hamis (kushoto), akisoma risala ya wahitimu. Kulia anayemsaidia ni Waziri Hassan.
Mkuu wa Chuo cha Ualimu cha Al- Haramain, Mwalimu Suleiman Urassa, akizungumza wakati wa mahafali ya 29 ya kidato cha sita ya Shule ya Sekondari ya Al Haramain. Kushoto ni Mgeni rasmi katika mahafali hayo, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Hamis Mataka.
Wahitimu wa kidato cha sita, Yusra Said (kushoto) na Raiyan Hassan wakighani utenzi mbele ya mgeni rasmi katika Mahafali ya 29 ya kidato cha Sita ya Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Hamis Mataka.
Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir, akisoma taarifa ya shule kwa Mgeni rasmi katika mahafali hayo ya 29 ya kidato cha Sita, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Hamis Mataka (kulia), wakati wa mahafali hayo. Kushoto ni Mwalimu wa Taaluma, Mwalimu Rashid Kassim.
Mgeni rasmi katika Mahafali ya 29 ya kidato cha Sita ya Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Hamis Mataka, akizungumza na wahitimu hao, wakati wa mahafali hayo, jijini Dar es Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir na kulia ni Mkuu wa Chuo cha Ualimu cha Al- Haramain, Mwalimu Suleiman Urassa.
Mgeni rasmi katika Mahafali ya 29 ya kidato cha Sita ya Shule ya Sekondari ya Al Haramain, Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), Sheikh Hamis Mataka, akimkabidhi cheti cha Kiongozi Bora, mhitimu Khadija Mashaka, wakati wa mahafali hayo, jijini Dar es Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir.
Mgeni rasmi Sheikh Hamis Mataka, akimkabidhi cheti Mwanafunzi Bora katika somo la Geography, mhitimu Mussa Baruti, wakati wa mahafali hayo, jana, jijini Dar es Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir.
Mgeni rasmi Sheikh Hamis Mataka, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha sita mhitimu Hawa Gulamu, wakati wa mahafali hayo, jana, jijini Dar es Dar es Salaam.
Mgeni rasmi Sheikh Hamis Mataka, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha sita mhitimu Raiyani Hassan, wakati wa mahafali hayo, jana, jijini Dar es Dar es Salaam.
Mgeni rasmi Sheikh Hamis Mataka, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha sita mhitimu Sada Said, wakati wa mahafali hayo, jana, jijini Dar es Dar es Salaam.
Mgeni rasmi Sheikh Hamis Mataka, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha sita mhitimu Yusra Said, wakati wa mahafali hayo, jana, jijini Dar es Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir.
Mgeni rasmi Sheikh Hamis Mataka, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha sita mhitimu Zaudia Ibrahim, wakati wa mahafali hayo, jana, jijini Dar es Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir.
Mgeni rasmi Sheikh Hamis Mataka, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha sita mhitimu Bakari Gogoro, wakati wa mahafali hayo, jana, jijini Dar es Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir.
Mgeni rasmi Sheikh Hamis Mataka, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha sita mhitimu Hassan Hamisi, wakati wa mahafali hayo, jana, jijini Dar es Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir.
Mgeni rasmi Sheikh Hamis Mataka, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha sita mhitimu Israfil Ramadhani, wakati wa mahafali hayo, jana, jijini Dar es Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir.
Mgeni rasmi Sheikh Hamis Mataka, akimkabidhi cheti cha kuhitimu kidato cha sita mhitimu Kibeku Ramadhani, wakati wa mahafali hayo, jana, jijini Dar es Dar es Salaam. Kushoto ni Mkuu wa shule hiyo, Mwalimu Nuh Jabir.

DC UBUNGO KISARE MAKORE AAGIZA KUJENGWA DARAJA MBEZI MSUMK

$
0
0
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kisare Makori akisikiliza malalamiko ya wananchi wa Mtaa wa Msumi Kata ya Mbezi Jijini Dar es salaam wakielezea adha wanayokumbana nayo kutokana na uharibifu wa Daraja
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Kisare Makori  sambamba na Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Ndg Ally Ally wakikagua daraja lililovunjika eneo la Msumi Kata ya Mbezi Jijini Dar es salaam.
Muonekano wa Daraja la Msumi Kata ya Mbezi Jijini Dar es salaam likiwa limeharibika
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo  Kisare Makori akizungumza na wananchi wa Mtaa wa Msumi Kata ya Mbezi Jijini Dar es salaam
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo  Kisare Makori akisisitiza jambo wakati alipokuwa akizungumza na wananchi wa Mtaa wa Msumi Kata ya Mbezi Jijini Dar es salaam
 
Na Nasri Bakari, Dar es salaam

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo  Kisare Makori  Jumamosi iliyopita  Mei 20, 2017 ameagiza kujengwa kwa daraja  jipya kutokana na kuharibika kwa daraja la awali katika eneo la Msumi Kata ya Mbezi Jijini Dar es salaam.

Agizo hilo amelitoa mapema hii leo wakati akizungumza Na wananchi waliojitokeza katika mkutano wa hadhara uliowajumuisha pia Mtendaji wa Kata,  wajumbe wa mitaa na wataalamu mbalimbali kutoka Manispaa ya Ubungo.

Mhe Makori amesema kuwa amejionea adha  iliyopo katika daraja hilo ambapo sio ubovu wa miundombinu pekee bali pia ni swala la usalama hasa kwa watoto wanaopita katika daraja hilo waendapo shuleni na sehemu mbalimbali.

"Mimi kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama katika Wilaya hii sitojisikia vizuri kuona tunahatarisha maisha ya binadamu kwa namna yoyote ile, lazima nihakikishe mnakuwa salama wakati wote" 

"Hivyo nakuagiza Mkurugenzi kuanza haraka ujenzi wa daraja hili ambalo kwa kiasi kikubwa litasaidi wananchi Wetu hawa  kupita kwa usalama zaidi" alisema Makori.

Aidha amesisitiza kuwa kodi zinazokusanywa na serikali  ni kwa ajili ya kugharamia na kuimarisha miradi mbalimbali ya maendeleo kwa wananchi kama vile kuboresha sekta ya elimu, afya na huduma nyingine za kijamii, hivyo ni lazima  serikali ishughulikie na kusimamia mahitaji ya msingi kwa wananchi wake.

Sambamba na hayo pia  Makori amewaomba wananchi kufika kwa viongozi wao pindi wanapopata kadhia mbalimbali zinazowasumbua katika jamii inayowazunguka kwani wameajiriwa kwa ajili yao na serikali ya awamu ya tano inajali wananchi wote hususani wanyonge.

Kwa upande wake Injinia wa Ujenzi Manispaa ya Ubungo Goodluck Mbanga amesema kuwa daraja lililokuwa limejengwa awali lilikuwa dogo ukilinganisha Na wingi wa Maji Jambo lililopelekea kuharibika haraka.

Mbaga  alisema utekelezaji wa agizo la Mkuu wa Wilaya nitaanza haraka iwezekanavyo ili kufikia mwanzoni mwa mwaka 2018 lianze kutumiwa Na wananchi hao ambao wamepata adha kubwa kwa muda mrefu.

Naye Mwenyekiti wa mtaa wa Msumi Hemed Abdallah Gulamu amempongeza Mkuu wa Wilaya ya Ubungo kwa Kazi kubwa anayoifanya tangu alipoteuliwa kuongoza Wilaya hiyo.

Pia amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. John Pombe Magufuli kwa ufanisi katika utendaji Na kusema kuwa uongozi wake utaacha alama kubwa na kukumbukwa na watanzania wote.

MKUTANO WA 18 WA KAWAIDA WA WAKUU WA NCHI JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI JIJINI DAR ES SALAAM

$
0
0
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anayemaliza muda wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea Mwenyekiti mpya wa Jumuiya hiyo Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni kwenye Mkutano wa 18 wa Kawaida wa Wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ukumbi wa mikutano wa Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anayemaliza muda wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli akimtambukilisha Waziri wa Biashara, Viwanda na Masuala ya Jumuiya ya Afrika Mashariki wa Rwanda Mhe. Francois Kanimba kwa Mwenyekiti mpya wa Jumuiya hiyo Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni  kabla ya kuanza kwa  Mkutano wa 18 wa Kawaida wa Wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ukumbi wa mikutano wa Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anayemaliza muda wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli akimtambulisha Makamu wa Kwanza wa Rais wa Burundi Mhe. Gaston Sindimwo kwa Mwenyekiti mpya wa Jumuiya hiyo Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni  kabla ya kuanza kwa  Mkutano wa 18 wa Kawaida wa Wakuu wa nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ukumbi wa mikutano wa Kikwete Ikulu jijini Dar es salaam
Naibu Rais wa Kenya Mhe. William Ruto akilakiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa kikanda Dkt. Augustine Mahiga
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anayemaliza muda wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto
Viongozi wakijiandaa na mkutano wao wa ndani
Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto akiongea na Waziri wa Sheria na Katiba wa Tanzania Profesa Paramagamba Kabudi
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anayemaliza muda wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiteta jambo na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anayemaliza muda wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na Rais Yoweri Museveni wa Uganda na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto
Ujumbwe wa Rwanda mkutanoni hapo
Gavana wa Benki Kuu Mstaafu Mzee Edwin Mtei (kati) akiwasili ukumbini
Meza kuu ya viongozi ikiwa imesimama wakati wa wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
Wajumbe wa mkutano wakiimba wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
Wajumbe wa mkutano wakiimba wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
Wajumbe wa mkutano wakiimba wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
Wajumbe wa mkutano wakiimba wimbo wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
Mpiga picha wa Naibu Rais wa Kenya akiwa kazini
Sehemu ya wajumbe na mabalozi wa nchi mbalimbali
Wajumbe na mabalozi 
Mabalozi na wageni waalikwa
Mshereheshaji akitoa maelezo ya awali
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anayemaliza muda wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anayemaliza muda wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiendelea kuhutubia
Wajumbe wakifuatilia kwa makini hotuba ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anayemaliza muda wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anayemaliza muda wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiendelea na hotuba
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anayemaliza muda wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli akimalizaia hotuba na kuaga rasmi
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anayemaliza muda wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribishwa kitini pake Mwenyekiti mpya Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anayemaliza muda wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli na anayeingia Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni wakirekebisha mkao wa majina
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika mashariki Dkt Libérat Mfumukeko akifungua pazia
Wajumbe na wageni waalikwa wakifuatilia
Mwenyekiti mpya wa Jumuiya akiendesha mkutano
Wajumbe wa Tanzania
Mkutano ukiendelea
Viongozi wakiweka sahihi makubaliano yaliyofikiwa
Mwanahabari kutoka Burundi akiwa kazini
Wajumbe wakifurahia jambo
Jaji Charles Oyo Nyawezo kutoka Sudan ya Kusini akila kiapo  kuwa Jaji wa Mahakama ya Jumuiya ya Afrika Mashariki 
Jaji Charles Oyo Nyawezo kutoka Sudan Kusini  akipongezwa kwa kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Jumuiya ya Afrika Mashariki mara baada ya kula kiapo. 
Jaji Charles Oyo Nyawezo kutoka Sudan Kusini akipongezwa kwa kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Jumuiya ya Afrika Mashariki mara baada ya kula kiapo. 
Mhandisi Steven Mrote kutoka Tanzania akila kiapo kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Sekretariat ya Jumuiya ya Afrika Mashariki 
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Eng.Steven Mrote kutoka Tanzania kwa kuteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Sekretariat ya Jumuiya ya Afrika Mashariki mara baada ya kula kiapo. 
Naibu Rais wa Kenya Mhe. William Ruto akimpongeza Eng.Steven Mrote kutoka Tanzania kwa kuteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Sekretariat ya Jumuiya ya Afrika Mashariki mara baada ya kula kiapo. 

Mshindi wa tano wa insha akipongezwa
Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais Yoweri Museveni wa Uganda akimkabidhi zawadi mwanafunzi wa kitado cha nne aliyejishindia nafasi ya nne katika mashindano ya uandishi wa insha ya Jumuiya hiyo kutoka Shule ya Sekondari Kibaha, Tanzania Joseph Mbogo 
Rais Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza mwanafunzi wa kitado cha nne aliyejishindia nafasi ya nne katika mashindano ya uandishi wa insha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki kutoka Shule ya Sekondari Kibaha, Tanzania  Joseph Mbogo 
Mshimdi wa tatu wa insha akipokea zawadi yake
Mshindi wa pili wa insha kutoka Uganda akipokea zawadi yake
Mshindi wa jumla wa mashindano ya insha kutoka Burundi akipokea zawadi yake

Tamko la kulimganisha mitaala ya elimu ya juu kwa nchi zote wanachama

Wanahabari kazini
Wajumbe wakifuatilia kinachoendelea
Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni akihutubia mkutano
Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni akihutubia mkutano
Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni akihutubia mkutano
Wajumbe wakiwa wamefurahishwa na hotuba ya  Mwenyekiti mpya wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni 
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki aliyemaliza muda wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Mwenyekiti mpya wa Jumuiya hiyo Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni baada ya kuhutubia kwenye Mkutano 
Mwenyekiti mpya wa Jumuiya hiyo Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni akionesha waraka baada ya kuhutubia kwenye Mkutano 
Mabalozi wakifuatilia hotuba kwa makini
Rais Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Mstaafu Mzee Edwin Mtei
Rais Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe
Rais Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe
Rais Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe
Rais Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe
Rais Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe
Rais Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe
Rais Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe
Rais Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na wajumbe
Picha ya pamoja
Picha ya pamoja 
Picha ya pamoja na Mawaziri wa nchi wanachama wa Jumuiya
Picha ya pamoja na Sekretarieti ya Jumuiya
Picha ya pamoja na mabalozi
Picha ya pamoja na wanafunzi na walimu wao
Viewing all 1915 articles
Browse latest View live