Quantcast
Channel: BONGOWEEKEND
Browsing all 1907 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC CHALAMILA: KARIAKOO SASA BIASHARA SAA 24

Mkuu wa Mkoa  wa Dar es Salaam Albert Chalamila amesema kuwa  maandalizi ya kufanya biashara saa 24 sokoni Kariakoo  yako ukingoni na uzinduzi utafanyika tarehe 22 Februari  2025."Hivi sasa tuko katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PWANI WAITWA KUBORESHA TAARIFA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

Chifu wa Mkoa  wa Pwani Salim  Mashiba akiwa kwenye  picha ya pamoja na Meza kuu leo tarehe 01 Februari 2025 baada ya kupata mafunzo ya siku moja kutoka Tume  ya Uchaguzi. Makamu Mwenyekiti wa Tume...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC MAGOTI APIGIA DEBE SAMIA STYLE

Mkuu wa Wilaya  ya Kisarawe Petro Magoti  pichani juu aliwa amevalia mtindo wa vazi la Samia Style alilovaa kwenye sherehe za miaka 48 ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MCHENGERWA: MUSWADA WA MAKAO MAKUU DODOMA UINGIE BUNGENI HARAKA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Mohammed Mchengerwa, amemuelekeza Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo kuhakikisha Muswada wa Sheria ya Usimamizi na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ULINZI WAIMARISHWA MKUTANO WA WAKUU SADC NA EAC

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema kufuatia Tanzania kuwa Mwenyeji wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MLOGANZILA SASA YATOA HUDUMA KUJIFUNGUA KWENYE JAKUZI

Hospitali ya Taifa Muhimbili Mloganzila imeanzisha huduma ya kinamama wajawazito kujifungulia katika jakuzi maalum (water birth).Huduma hiyo ambayo itapatikana kwa sh 1,500,000 sawa na kuweka sh...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MANGO MABINGWA JAFO CUP 2024-25

Mhe.Dkt.Selemani Jafo pia  ni Mbunge wa Jimbo la Kisarawe akizungumza na Waandishi wa Habari hawapo  pichani  alipokuwa mgeni rasmi kwenye  fainali ya Jafo Cup iliyochezwa  Manerumango Kisarawe Mkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWILI WA MWANAMUZIKI MASHUHURI MAREHEMU TABIA MWANJELWA KUWASILI NCHINI JUMATATU

Marehemu Tabia  Mwanjelwa pichani  juu katika enzi za uhai wake.Mwili wa mwanamuziki mkongwe, marehemu  Tabia Shabani Mwanjelwa, aliyefariki dunia Januari 25, 2025, huko Saarbrücken, Ujerumani,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UWAMIZ WACHANGIA BENKI YA DAMU

Umoja wa Wajasiriamali zaidi ya 70 wa Mtaa wa Zigua na Mahiwa Kariakoo maeneo ya Msikiti wa Mtoro wamejitolea damu kwaajili ya maandalizi ya kuingilia mwezi mtukufu wa Ramadhani ikiwa ni mwezi 28...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAANDALIZI YA UZINDUZI WA KUWASHA MWENGE YAMEPAMBA MOTO

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Alhaji Abubakari  akizungumza na Waandishi hawapo picha.MKUU wa Mkoa wa Pwani Alhaji Abubakari Kunenge ametoa wito kwa wakaazi wa Mkoa wa Pwani kujitokeza kwa wingi kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIMWANGA MWENYEKITI MPYA DCP

CHAMA Cha Waandishi wa Habari, Mkoa wa Dar es salaam (DCP), kimemchagua Bakari Kimwanga kuwa Mwenyekiti wake mpya.Bakari amefanikiwa kushinda nafasi hiyo kwa kura 68 akiwa ni mgombea pekee huku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ALHAJI MANSOOR ATOA SADAKA YA RAMADHAN KONGOWE MKOANI PWANI

Alhaji Mussa Mansoor  amesema kwamba amekuzwa katika utaratibu wa kusoma Dua ya kurehemu baba yake Mzazi ,Viongozi mbalimbali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambao wametamgulia mbele ya haki."Jambo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT.KAZUNGU AFANYA MAZUNGUMZO NA TAASISI YA AEE INTEC YA AUSTRIA

📌 *Yaeleza nia ya kuwekeza katika teknolojia mpya ya Joto la Jua (Solar thermal)*📌 *Solar thermal kutumika hospitali, viwanda, masoko ili kupunguza matumizi ya umeme* 📌 *Dkt.Kazungu aikaribisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI KABUDI KUZINDUA BODI YA ITHIBATI YA WAANDISHI WA HABARI MACHI 3.

Na Mwandishi Wetu,JABWaziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Palamagamba Kabudi, Wiki ijayo anatarajiwa kuzindua Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB).Taarifa iliyotolewa na Katibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS SAMIA AIAGIZA WIZARA YA NISHATI KUPITIA MAPITIO YA SERA YA USAFIRISHAJI...

*📌 Lengo ni kuyafanya makampuni ya usambazaji mafuta upande wa Kaskazini kutumia Bandari ya Tanga.**📌 Asema Serikali imeweka mazingira mazuri ya uwekezaji nchini.**📌Kapinga asema Tanga ni Mkoa muhimu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS SAMIA AWAPAISHA WANAWAKE KATIKA SEKTA YA MADINI

📌 Dkt. Biteko asema uwezo wa wanawake sekta ya madini hautiliwi shaka📌 Ushiriki wa wanawake katika madini kukuza mnyororo wa thamani📌 Sh. Bilioni 10 kuwezesha wanawake wachimba madini ngazi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS SAMIA: BARABARA YA HANDENI - KIBERASHI -SINGIDA IJENGWE KWA UBIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameielekeza Wizara ya Ujenzi kukaa na Wizara ya Uchukuzi kukubaliana kwa pamoja kutafuta mwekezaji atakayeshirikiana nao kujenga...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ANAWATAKIA WAISLAMU WOTE MFUNGO MWEMA WA RAMADHANI

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametuma salaam za kuwatakia  Waislamu wote  kheri na mfungo mwema wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema atuongoze na kutusimamia kwenye Ibada hii...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MJUMBE KAMATI YA UTEKELEZAJI LUKUBA ANAWATAKIA WAISLAMU WOTE KHERI YA MFUNGO...

 Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni  Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji Mkoa wa Morogoro Bi Sheila Edward  Lukuba anawatakia Waislamu wote kheri ya mwezi mtukukufu wa Ramadhani

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIJANA WA KIKE FEDHA MNAZOPATA MZITUMIE PIA KATIKA UWEKEZAJI- MKURUGENZI...

📌 *Asema inaongeza kujiamini*📌 *Asema Wizara ya Nishati inaiishi kaulimbiu ya Siku ya Wanawake Duniani 2025*Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Wizara ya Nishati, Bi. Ziana Mlawa ametoa rai kwa...

View Article
Browsing all 1907 articles
Browse latest View live