Quantcast
Channel: BONGOWEEKEND
Browsing all 1906 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NDESAMBURO AMUOMBEA KURA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI JAFARY MICHAEL

Mbunge wa jimbo la Moshi mjini aliyemaliza muda wake ,Philemoni Ndesamburo,akimnadi mgombea Ubunge katika jimbo hilo Jafary Michael (Chadema) katika mkutano wa kampeni uliofanyika jana katika kata ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAWA ZA KULEVYA HEROINE NA COCAINE ZATEKETEZWA CHINI YAKE UANGALIZI MKALI

 Sehemu ya Kiwanda Cha Saruji Cha Wazo Hill Jijini  Dar es Salaam  ambako dawa za kulevya zimeteketezwa leo chini ya uangalizi mkali . Akizungumza  na waandishi wa habari mara baada ya kuzichoma moto...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUPIGE KURA, TUPOKEE MATOKEO KWA AMANI NA UTULIVU, KUNA MAISHA BAADA YA...

Bendera na ramani ya TanzaniaJUMAPILI ya Oktoba 25, 2015, Tanzania inafanya Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge pamoja na kumpata Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Uchaguzi ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAWA ZA KULEVYA HEROINE NA COCAINE ZATEKETEZWA CHINI YA UANGALIZI MKALI...

 Sehemu ya Kinu cha Kiwanda Cha Saruji Cha Wazo Hill Jijini  Dar es Salaam  ambako dawa za kulevya zimeteketezwa jana chini ya uangalizi mkali . Akizungumza  na waandishi wa habari mara baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MTOTO HATUMWI DUKANI LEO . NI KATIKA UFUNGAJI WA KAMPENI ZA CCM JIJINI MWANZA.

Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Mwanza Miraji Mtaturu (Pichani) amesema kuwa maandalizi kwa ajili ya shughuli ya kufunga kampeni za Uchaguzi Mkuu kitaifa kwa upande wa Chama hicho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGUFULI AFUNIKA JIJI LA DAR

UMATI wa wananchi uliofurika kwenye viwanja vya Jangwani leoRAIS Jakaya Kikwete akimtambulisha Dk Magufuli kwa wananchiRAIS Jakaya Kikwete akikumbatiana na Dk MagufuliNa Rashid Zahor RAIS wa Jamhuri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NDESAMBURO ASEMA ALIYEKUWA MEYA WA MANISPAA YA mOSHI ,JAFARY MICHAEL NDIYE...

Mbunge anayemaliza muda wake,Philemoni Ndesamburo akimuombea kura mgombea Ubunge wa jimbo la Moshi mjini Jafary Michael (Chadema) katika mkutano uliofanyika katika viwanja vya Manyema mjini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAZI WA JIJI LA DAR WASIMAMISHA SHUGHULI KUPIGA KURA , WAJITOKEZA KWA WINGI

Wananchi na wakazi wa maeneo ya Tabata Liwiti wakiwa katika foleni ya kupiga kura leo jijini Dar es Salaam.Wananchi na wakazi wa maeneo ya Tabata Liwiti wakiwa katika foleni ya kupiga kura leo jijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI WAJITOKEZA KWA WINGI KUPIGA MAENEO MBALIMBALI YA KATA YA KIJITONYAMA...

 Wasimamizi wa uchaguzi wakiendelea kuwahudumia wananchi waliofika katika kituo cha Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Kijitonyama leo jijini Dar kwa ajili ya kupiga kura.Picha na Geofrey Adroph wa Pamoja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUME YA UCHAGUZI YATANGAZA MATOKEO YA AWALI YA URAIS YA MAJIMBO MATATU

TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI YATANGAZA  MATOKEO YA AWALI YA URAIS YA MAJIMBO MATATU.Na Lilian Lundo-MaelezoMwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi(NEC) Jaji Mstaafu Damian Lubuva ametangaza matokeo ya awali ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZEC: MAALIM SEIF ANAPASWA KUCHULIWA HATUA ZA KISHERIA KWA KUTANGAZA MATOKEO

div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"> Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imesema imesikitishwa na kitendo cha mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Wananchi (CUF)...

View Article

TUME YATOA UFAFANUZI KUHUSU UCHELEWESHWAJI WA MATOKEO YA URAIS

Na Beatrice Lyimo-Maelezo27\10\2025Dar es salaam.Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji mstaafu Damian Lubuva ametoa ufafanuzi juu ya ucheleweshaji wa matokeo ya  awali ya ngazi Rais kutoka...

View Article

KIPINDI KIPYA CHA DANGA CHEE KURINDIMA CHANNEL 10 KILA ALHAMISI SAA NNE USIKU

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKILIZA WALICHOKISEMA STANSLAUS MABULA (CCM) BAADA YA USHINDI PAMOJA NA...

Stanslaus Shing'oma Mabula akiongea na wanahabari usiku wa kuamkia jana Oktoba 27,2015 muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi wa Ubunge Jimbo la Nyamagana (CCM)  BONYEZA PLAY HAPA CHINI KUSIKILIZA...

View Article

MALALAMIKO YA CCM KUHUSU MATOKEO KWENYE BAADHI YA MAJIMBO

CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wana-CCM na kwa umma:MALALAMIKO YA CCM KUHUSU MATOKEO KWENYE BAADHI YA MAJIMBOChama cha Mapinduzi hakijaridhishwa na utaratibu wa kukusanya na kujumlisha matokeo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMIZ GRAND RESORT INAKULETEA MIAKA 18 YA FM ACADEMIA WAZEE WA NGWASUMA NA...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA AKATAA MATOKEO ATAKA UTANGAZAJI USITISHWE,ASEMA HAWATAKUBALI HAKI YAO...

Mgombea urais wa Chadema, Edward Lowassa, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kutoyakubali matokeo yanayoendelea kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC),kutokana na kukosa uhalisia wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

THE AFRICA OLYMPIC QULIFY IN JOHANNESBURG

 Monday 26th: second match for Tanzania Ladies, against Keny. Result is 5-0 for Kenya. The best match ever played from the Tanzania Ladies for determination and concentration. Although Kenya has high...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHADEMA YAWASILISHA BARUA YA KUPINGA MATOKEO YANAYOTANGAZWA NA TUME YA TAIFA...

Mgombea Mwenza wa  urais  wa Chadema, Juma Haji Duni (kushoto) akikabidhi barua ya malalamiko kuhusu matokeo ya uchaguzi yanayoendelea kutangazwa kwa  Ofisa wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NMB MOSHI WATOA POLE KWA WAGONJWA HOSPITALI YA RUFAA YA KCMC

Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB katika matawi ya Nelson Mandela na Mawenzi wakiwasili katika hosptali ya rufaa ya KCMC .Meneja wa Benki ya NMB tawi la Nelson Mandela ,Emanuel Kashusho akizungumza...

View Article
Browsing all 1906 articles
Browse latest View live