Quantcast
Channel: BONGOWEEKEND
Browsing all 1909 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TBL YQZINDUA KAMPENI YA 'CASTLE LITE UNLOCKS' JIJINI DAR ES SALAAM

 Meneja Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),  Idara ya Kuunganisha Wateja Afrika Mashariki, George Kavishe (kulia), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, wakati wa uzinduzi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HIVI NDIVYO INTERNETI INAVYO ATHIRI MAISHA YAKO YA KILA SIKU

Na Jumia Travel TanzaniaHakuna kitu kinachoudhi kama kuwa sehemu na marafiki, familia au ndugu lakini unakuta kila mtu ameinamia skirini ya simu yake! Kwa kiasi kikubwa kuja kwa mtandao wa intaneti...

View Article


TAMKO LA WAZIRI UMMY MWALIMU KATIKA KUADHIMISHA SIKU YA MALARIA DUNIANI

View Article

KILA MTANZANIA AHAKIKISHE ANALINDA MUUNGANO

Na. Immaculate Makilika, MAELEZO -DODOMA ​Kila mtanzania ametakiwa kuhakikisha anafanya jitihada za kuimarisha na kulinda Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulioasisiwa miaka 53 iliyopita. Akizungumza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IVORY YAPANIA KUPAA ANGA ZA MUZIKI WA DANSI

Ijumaa hii na kila Ijumaa ni siku ya raha na starehe kwa wakazi wa Tabata na vitongoji vyake, maana mara tu baada ya jua kuzama kiota maarufu cha Next  Door kilichopo katika kitongoji hicho cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SSRA YASHIRIKI MAONESHO YAUSALAMA MAHALI PA KAZI MKOANI K'NJARO

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Ajira, Kazi, na Watu wenye Ulemavu, Mh. Jenista Mhagama, akipata maelezo kutoka kwa Kaimu Meneja wa Rasilimali watu na Utawala wa Mamlaka ya Usimamizi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MKOA WA PWANIMHANDISI NDIKIRO AISHUKURU TANESCO KWA MSAADA WA USAFI

 Mkuu wa mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikiri, (kulia), akipeana mikono na Kaimu Meenja Uhusiano wa Shirika la Umeme Tanzania, (TANESCO), Leila Muhaji, wakati akipokea msada wa vifaa vya kufanyia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT. MWANYEMBE AHWATAKA VIJANA KUTENGA MUDA WA KUJISOMEA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mkwakyembe (kulia) akiwa amepokelewa na Mwandishi wa kitabu cha'Colour of Life' Ritha Tarimo siku ya uzinduzi wa kitabu hicho leo 30...

View Article


NEC YATANGAZA NAFASI YA WAZI KITI CHA MBUNGE WA VITI MAALUM CHADEMA DR. ELLY...

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza kuwepo kwa nafasi wazi ya Mbunge wa Viti Maalum kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo – CHADEMA,  kufuatia kifo cha Mbunge wa Viti Maalum wa chama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAASISI YA KILIMANJARO DIALOGUE WAADHIMISHA SIKU YA UHURU WA HABARI DUNIANI

 Mdhamini wa Taasisi ya Kilimanjaro Dialogue, Habib Miradji (katikati) akiongoza mjadala jijini Dar es Salaam leo, kuhusu umuhimu wa wanahabari kuandika habari za kudumisha amani nchini ikiwa ni sehemu...

View Article

UFAFANUZI KUHUSJ UTAFITI WA VIASHIRIA NA MATOKEO YA IKIMWI

Kumekuwepo na taarifa iliyoandikwa kwenye kurasa za mitandao ya kijamii za Clouds Media Group za Facebook na Instagram ikimnukuu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Dkt. Grace Magembe akisema kuwa...

View Article

WAANDISHI WATAKIWA KUTUMIA KALAMU ZAO VIZURI

Na Nuru Juma & Husna Saidi- MAELEZO Waandishi wa Habari nchini wametakiwa kuzingatia kanuni,sheria na taratibu za uandishi katika kuandika habari zitakazoleta umoja,mshikamano na maendeleo na siyo...

View Article

SERIKALI YATOLEA UFAFANUZI SUALA LA VYETI FEKI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI LUKUVI AMTUMBUA OFISA MIPANGO MIJI LINDI

Na  Hassan Mabuye & Muhammad Salim Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi ameamuru kusimamishwa kazi Afisa Mipango Miji wa Lindi Ndugu Castory Manase Nkuli baada ya...

View Article

WAZIRI MWAKYEMBE AMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA KUTUMIA LUGHA YA KISWAHILI KAMA...

View Article


NKAMIA AKIMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA KUWA KIONGOZI MZURI

View Article

ATCL KUPATA NDEGE MPYA JULAI MWAKA HUU

Na Vicent Tiganya  TaboraSerikali imesema kuwa mwezi Julai mwaka huu (2017)itanunua ndege nyingine mpya aina ya Dash 8-Q 400 kwa ajili kuliimarisha Shirika la Ndege la Tanzania ili liliweze kutoa kutoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BURIANI MWANAHABARI REVOCATUS BULIZYA

Marehemu Revocatus Bulizya enzi za uhai wakeWaombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Mwanahabari Revocatus Bulizya wakati ukiingizwa katika Kanisa la Katoliki Hospitali ya Taifa ya Muhimbili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC GAMBO AWALILIA WATOTO 32 WALIOFARIKI KWA AJALI KARATU

Pichani wanafunzi wakisubiri basi kabla ya kuanza safari ambapo walikutwa na mautiMwanafunzi mmoja aliyenusurika kwenye ajali hiyo  jina halikufahamika.Mzazi wa mmoja wa marehemu akilia kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS MAMA SAMIA SUKUHU HASSAN KUONGOZA KUAGA MIILI YA WANAFUNZI 32

View Article
Browsing all 1909 articles
Browse latest View live