Pichani wanafunzi wakisubiri basi kabla ya kuanza safari ambapo walikutwa na mauti
Mwanafunzi mmoja aliyenusurika kwenye ajali hiyo jina halikufahamika.
Mzazi wa mmoja wa marehemu akilia kwa uchungu.
Baadhi ya watu wakishuhudia basi hilo likiwa limetumbukia kwenye bonde,pia wakitoa msaada,
Baadhi ya miili ya wanafunzi hao walifariki kwenye ajali hiyo.
Hili ni kati ya mabasi ya shule hiyo ya Lucky Vincent lililokuwa kwenye msafara huo.
Blog hii inatoa mkono wa pole kwa wazazi wote wa marehemu waliopiteza watoto wao, Mungu azilaze roho zote mahala pema peponi Amin.