Quantcast
Channel: BONGOWEEKEND
Browsing all 1906 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABONDIA WA TANZANIA WATAMBA KUWASAMBALATISHA WAGENI

Mabondia watakaocheza katika mpambano wa kimataifa mei 14 katika uwanja wa ndani wa Taifa kutoka kushoto ni  Abdallah Pazi  Fransic Miyeyusho, Thomas Mashali, Lulu Kayage na Swalehe Mkalekwa Picha na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARIDI BAND YATOA KIBAO IPYA CHA MOLA NILINDE

Na Mwandishi WetuKATIKA Band zinazokuja kwa kasi apa nchini moja wapo ni Baridi Band yenye maskani yake Chanika Dar Es Salaam bendi hiyo inayokuja kwa kasi ya juu imekuwa gumzo kw sasaBaada ya kutoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA WILAYA TEMEKE AZINDUA MICHUANO YA UMISETA

 Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Sophia Mjema ambaye alikuwa mgeni rasmi wa uzinduzi wa Michuano ya Shule za Sekondari Nchini (UMESETA), akipiga dana dana wakati wa uzinduzi huo uliofanyika Uwanja wa Uhuru...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO MBALIMBALI BUNGENI DODOMA

Wabunge wakiingia bungeni mjini Dodoma.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOGWabunge wakijadiliana jambo ndani  ya bungeWabunge wakipata habari kupitia kwenye simu bungeniMbunge wa...

View Article

SAUTI ZA BUSARA WAITA WASHIRIKI 2017

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI:Muda ndio huu wa kuomba ushiriki wa tamasha la Sauti za Busara 2017 April 2016 Busara Promotions inawataka wasanii kutoka Tanzania na bara zima la Afrika wanaotaka kufanya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIGOGO TRA NA MFANYAKAZI WA YONO WAPANDISHWA KIZIMBANI KWA MADAI YA RUSHWA

 Watuhumiwa wa kesi ya kujihusisha na rushwa ya Shilingi Milioni 50 kutoka Kampuni ya Glenn Glarke, Edward Magobela (mbele) ambaye ni mfanyakazi wa Kampuni ya Udalali ya Yono Auction Mart akiwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIPOTI YA CAG ASAD IMEJAA UFISADI

Ulaji na  uzembe vinatajwa kubeba sehemu kubwa ya ripoti Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabuza Serikali CAG. Misamaha ya kodi 2014/15 ni asilimia 2 ya pato la taifa kinyume cha asilimia 1 Halmashauri 40...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZEE WASIOJIWEZA BUKUMBI WAOMBA SERIKALI IWAKUMBUKE

Wauguzi wa zahanati ya kituo cha ustawi wa Jamii cha Bukumbi kijiji cha Kigongo kata ya Idetemya wilayani Misungwi mkoani Mwanza wakiwaongoza waandishi wa habari wa jiji la Mwanza na Dar es Salaam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA YA ELIMU TANZANIA AZUNGUMZA NA WANAFUNZI WA SHULE...

Wahitimu wa kidato cha sita katika shule ya sekondari ya Wasichana ya Weruweru wakiimba wakati wakielekea ukumbini kwa ajili ya kuanza rasmi kwa sherehe ya kuwaaga.Mkuu wa Shule ya Sekondari ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LA POLISI MKOA WA KILIMANJARO WAKAMATA MISOKOTO 4500, GRAMU 10 ZA BHANGI

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro,kamishna msaidizi ,Wilbroad Mutafungwa akionesha misokoto ya Bhangi iliyokamatwa baada ya wahusika kufanikiwa kuwakimbia askari Polisi.Kamnad wa Polisi mkoa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

GALA DINNER YA DICOTA NA HAFLA YA KUTOA VYETI ILIVYOFANA

 Mhe. Wilson Masilingi Balozi wa Tanzania nchini Marekani na mkewe Marystela Masilingi na wageni wao wakihudhuria gala Dinner ya DICOTA  2016 iliyofanyika siku ya Ijumaa April 29, 2016 katika hotel ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOHARI KUU Msd WATOA UFAFANUZI WA DAWA KUKWAMA NJIANI KATI YA KEKO KWENDA...

 Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Laurean Bwanakunu akionesha moja ya nyaraka inayoonesha upelekaji wa dawa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAENDESHAJI WA MITANDAO KUTOTUMIA TAARIFA , PICHA YOYOTE YA MAADHIMISHO UHURU...

TAARIFA KWA WANACHAMA WA TANZANIA BLOGGERS NETWORK (TBN) Chama cha Wamiliki/Waendeshaji wa Mitandao ya Jamii nchini 'Tanzania Bloggers Network'– TBN inawaomba wanachama wake wote kutotumia taarifa ama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PRESS CONFERENCE KUHUSU VIDEO YA CHURA ULIOREKODIWA NA SNURA MUSHI

TANGAZO: Wizara ya Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Tarehe 4/5/2016 saa 5:00 Asubuhi itaongea na wanahabari kuhusu video ya snura iitwayo chura katika ukumbi wa Wizara uliopo ghorofa ya tisa kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAFUNZI ALIYEITINGISHA DUNIA ATUA BUNGENII

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson akisalimiana na  Mwanafunzi Getrude Clement alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Dodoma. (Picha na Eleuteri Mangi-MAELEZO,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAPIGA MARUFUKU KUUSAMBAZA WIMBO WA CHURA

Serikali  kupitia Wizara yake ya Habari , Utamaduni, Sanaa  na Michezo  leo asubuhi wametangaza  kumfungia  msanii wa muziki wa kizazi kipya  Snura Mushi kujihususha  na masuala  ya sanaa ikiwemo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSANII SNURA MUSHI AJITOKEZA KUOMBA MSAMAHA MBELE YA WATANZANIA KWA VIDEO...

 Msimamizi wa kazi zake Bwana Hemed Kavu maarufu kama HK (kushoto) akisoma taarifa ya Snura Mushi kuomba msamaha kwa Watanzaniaya kutokana na kusambazwa kwa video ya msanii huyo iliyokiuka maadili ya...

View Article


ZIFF 2016 WAMETANGAZA MAJINA YA FILAMU KALI ZITAKAZOSHINDANISHWA KATIKA...

Tamasha la filamu la Zanzibar (ZIFF) limetangaza majina ya filamu zitakazoshindanishwa hapo ifikapo Julai 9 hadi 17. Tamasha lilipokea jumla ya filamu 490 kutoka nchi 32 mwaka 2016.Jopo la wachaguzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Airtel yatoa Fursa za Ajira kwa wanafunzi katika vyuo vikuu mbalimbali nchini

Meneja Rasilimali watu wa Airtel, Bi, Gabriella Kaisi (kulia) akiwapongeza James Kwayu (katikati) na Abubakar Nassor ambao ni wanafunzi wa vyuo waliofaidika na aiira katika kampuni ya Airtel kupitia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABONDIA KUTOKA ZANZIBA WASAINI KUZIPIKA KATIKA 'USIKU WA MAHAVY WEIGHT'

Bondia wa uzito wa juu nchini kutoka Zanzibar Ashiraf Selemani katikati akitia saini mkataba wa kuzichapa na bondia kutoka Thailand June 4 mpambano utakaofanyika uwanja wa ndani wa Taifa kulia ni...

View Article
Browsing all 1906 articles
Browse latest View live