Quantcast
Channel: BONGOWEEKEND
Browsing all 1906 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FEDHA , MKESHA WA AMANI KUOKOA VIFO VYWA WAJAWAZITO NA WATOTO

Mwenyekiti  wa Jumuiya  wa Makanisa ya Pentekoste,(Katikati)  ambaye pia ni Askofu wa Huduma ya Tanzania Fellowship Churches (TFC), Askofu  Godfrey  Malassy  alipokuwa akizungumza na Waandishi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI WILAYANI GEITA WALALAMIKIA UCHAFU ULIOTUPWA 9 DISEMBA

Wanakijiji wa kijiji cha Shenda wilayani Geita wakiongea na waandishi wa habari waliotembelea kijiji hicho ambapo walilalamikia  kutupwa kwa takataka katika kijiji hicho siku ya tarehe 9 ambapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UBADHIRIFU WA FEDHA NA RASILIMALI WAPUNGUA KWA VIONGOZI KUHOFIA KUCHUKULIWA...

 Waraghbishi toka vijiji vya Iponya, Nyakasumula, Bukandwe na Shenda wakiwa katika pichaya pamoja na mwenyekiti na mtendaji wa kijiji cha Shenda.Ni miaka mitatu na miezi nane toka mraghbishi Fedson...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHEIKH PONDA APASULIWA NGIRI

Katibu  wa Jumuiya  na Taasisi  za Kiislamu , Sheikh Issa Ponda akisoma  gazeti  la Tanzania Daima nyumbani kwake  Mabibo Jijini Dar es Salaam jana,(Picha na Francis Dande).NA KHADIJA KALILIAFYA ya...

View Article

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN MAGUFULI AMEFANYA UTEUZI WA...

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa makatibu wakuu na manaibu Katibu wakuu katika Wizara mbalimbali.Walioteuliwa ni kama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTAJIRI WA RIDHIWANI, HATA BILL GATES HAFUI DAFU!

           Ridhiwani KikweteNA LUQMAN MALOTOUKIPANDA daladala huwa hakuna mfumo unaoeleweka, siku nyingine utakutana na kelele kama sokoni, wale wanaongea yao, hawa wanabishana hivi, hapa napo kuna...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DROO YA 4 YA PROMOSHENI YA 'JAZA MAFUTA NA USHINDE ' YA GAPCO YAFANYIKA...

Meneja Masoko wa GAPCO Tanzania, Caroline Kakwezi (katikati) akibonyeza kitufe kwenye kompyuta kuwatafuta washindi wa droo ya nne ya promosheni ya "Jaza Mafuta na Ushinde" inayowawezesha wateja wake...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU WAZIRI WA WIZARA YA KAZI , VIJANA NA AAJIRA MH. ANTHONY MAVUNDE AFANYA...

Naibu waziri wa Wizara ya Kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Antony Mavunde  akizungumza na wafanyakazi wa tigo baada ya kufanya ziara mapema leo  katika makao  makuu ya Tigo kijtonyama  jijini Dar es laam...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK,WAZIRI LWENGE WAKAGUA MITAMBO YA MAJI WAMI,CHALINZE

Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete (katikati), akizungumza na Waziri wa Maji, Gerson Lwenge wakielekea kukagua mitambo ya kusafisha na kusafirisha maji Wami, katika Halmashauri ya Mji wa...

View Article


AFISA BIASHARA DODOMA ATIMULIWA

TAARIFA KWA UMMA Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI Mhe. George Simbachawene amemuagiza Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma kuwasimamisha kazi mara moja Kaimu Afisa Biashara wa Manispaa ya Dodoma Bw....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LIGI KUU ZANZIBAR JKU vs KVZ IMESHINDA 2--0

Wachezaji wa Timu ya JKU wakisalimiana na Wachezaji wa Timu ya KVZ kabla ya kuaza mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar Timu ya JKU imeshinda 2--0.Mchezo uliochezwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKALA WA HUDUMA YA MISITU WAWEKA ALAMA YA KUBOMOA NYUMBA YA MCHUNGAJI...

Juu ni nyumba ambayo iko maeneo ya Mbezi Beach ambayo imejengwa eneo ambalo ni sehemu ya hifadhi ya mikoko hivyo imetakiwa ivunjwe kabla ya Januari 5 ,2016 kabla ya kubomolewa kwa nguvu.Hii ni nyumba...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NIMEPOKEA SALAMU NYINGI ZILIZONITAKIA HERI YA MWAKA MPYA LAKINI HII KUTOKA...

Mama fetty wang,Only a mother as perfect as you, could have a daughter as perfect as me.(Nisijisifie mchezo😁)ua de reason why i don sleep day n night,am workin not b'couv ov my self but kwaajili...

View Article


MATUKIO MAKUBWA YA MUZIKI WA DANSI NCHINI KWA MWAKA 2015

Na William KaijageBENDI MPYA•Tarehe 31-Jan-2015, BMM Classic Band, ilizinduliwa katika ukumbi wa BMM Mwenge, opposite TRA.•Tarehe 21-Feb-2015,  JJ Band yazinduliwa katika ukumbi wa. JJ Band ni bendi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IRENTE VIEW POINT LUSHOTO TANGA, MOJA YA KIVUTIO AMBACHO WATU WENGI...

Hapa ndipo kileleni na Mwonekano wa Irente   Hii ni Miamba mikubwa iliyopo Irente na moja ya kivutio kikubwa katika eneo hili kwa upande kwa Kushoto.Eneo hili wakazi wa Irente wanaliita Pango ambapo...

View Article


ZIARA YA MHE. KAIRUKI KATIKA OFISI ZA WAKALA YA SERIKALI MTANDAO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAPIGA MARUFUKU MATUMIZI YA BARUA PEPE KATIKA MAWASILIANO YAKE

 Waziri  Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Angella Kairuki (kushoto) akipokewa na Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Serikali Mtandao Dkt. Bakari Jabiri leo alipofanya ziara ya kikazi katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUWAJALI FOUNDATION WATOA MSAADA KITUO CHA SIFA KILICHOPO BUNJU B JIJINI DAR...

Baadhi ya wanakikundi cha Tuwajali Foundation wakiwa pamoja na watoto wa kituo cha Sifa wakati walipo watembelea na kutoa msaada.Baadhi ya vitu vimetolewa kwa kituo cha Sifa Foundation  Bi. Sifa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASHINDI WA SAYANSI 2015, WAPAA KWENDA IRELAND

Wanafunzi John Method (kushoto) na Edwin Luguku (wa pili kulia) kutoka Shule ya Sekondari Mzumbe mkoani Morogoro wakipokea hati zao za ufadhili kutoka kwa Karimjee na Ofisa Ubalozi wa Ireland nchini,...

View Article

WAMILIKI WA MAJENGO WAHIMIZWA KULIPA KODI

Na Skolastika Tweneshe- MaelezoWamiliki wa majengo katika Halmashauri ya Ilala wamehimizwa kulipa kodi ya majengo ili kufanikisha maendeleo ya nchi. Hayo yamesemwa leo na Afisa Uhusiano wa Halmashauri...

View Article
Browsing all 1906 articles
Browse latest View live