Quantcast
Channel: BONGOWEEKEND
Browsing all 1906 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PANAFRICAN ENERGY YATOA YAFADHILI UJENZI WA WODI YA ‘MAMA NGONJEA’ HOSPITALI...

Meneja Uwajibikaji kwa jamii kutoka Kampuni ya PanAfrican Energy Andrew  Kangashaki  (kushoto ) na Mkurugenzi wa Wilaya ya Kilwa Twalib Mbasha wakikabidhiana mkataba wa miradi  ya ujenzi wa nyumba ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOCHA WA MASUMBWI SUPER D AHIMIZA SWALA LA USAFI LIWE ENDELEVU

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akifanya usafi wakati wa zoezi la kufanya usafi wa mazingira ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 54 ya Uhuru wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABONDIA ZUMBA KUKWE NA SELEMANI GALILE WATAMBIANA KUZIDUNDA JANUARY 2 MANZESE

Mabondia Seleman Galile kushoto na Zumba Kukwe wakitunishiana misuli baada ya kusaini makubaliano ya kupigana january 2 katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UZINDUZI WA FILAMU YA ‘GOING BONGO’ KUFANYIKA SIKU YA IJUMAA KWENYE UKUMBI WA...

FILAMU mpya inayokwenda kwa jina la ‘Going Bongo’ ambayo iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki wa filamu ndani na na nje ya nchi  imekamilika  sasa kuzinduziliwa rasmi siku ya  Ijumaa kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYAKAZI WA ZANLINK ZANZIBAR WAJUMUIKA KATIKA USAFI ENEO LA KAZI KAMA...

Wafanyakazi wa Kampuni ya Zanlink Zanzibar wakiitikia wito wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Wakishiriki katika zoezi la Usafi wa Mazingira katika sehemu yao ya Kazi kuadhimisha miaka 54 ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA WILAYA YA MOSHI ,NOVATUS MAKUNGA AFANYA ZIARA HOSPITALI YA RUFAA YA KCMC

Mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga alipofanya kikao na viongozi wa hosptali ya rufaa ya KCMC ya mkoani Kilimanjaro.Mkurugenzi mkuu wa Hosptali ya Rufaa ya KCMC,Dkt Giliard Masenga (kulia) akitoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MATUKIO MBALIMBALI YA MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA

Dar es salaam, Madereva wa boda boda wakiongoza maandamano ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake jijini Dar es salaam. Maandamano hayo yalianzia uwanja wa Tipi ulioko Sinza hadi katika hotel ya Blue...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMUZIKI ROBERTO AMARULA KUTOKA ZAMBIA KUTUMBUIZA DAR ES SALAAM, DODOMA...

Mwanamuziki na mtangazaji wa redio, Roberto Chindaba Banda 'maarufu Roberto Amarula kutoka nchini Zambia (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana , kuhusu...

View Article


ITAMBUE TOFAUTI ILIYOPO KATI YA NEC NA ZEC - NAJMA GIGA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR, BALOZI SEIF ASIMAMISHA UJENZI WA NYUMBA...

Balozi Seif akipokea malalamiko ya Wakaazi wa Mtaa wa Mlandege wakimshutumu Mmiliki wa Kiwanja cha jengo la Ghorofa Bwana Anuari Abdulla anayejenga pamoja na eneo la wazi. Makamu wa Pili wa Rais wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DROO YA PILI YA PROMOSHENI "JAZA MAFUTA NA USHINDE " KUTOKA GAPCO YACHEZESHWA

Meneja wa Kanda ya Dar es Salaam wa Kampuni ya Mafuta ya GAPCO, Rashid Khalfan (kulia) akibonyeza kitufe kwenye kompyuta kuwatafuta washindi wa droo ya pili ya promosheni ya "Jaza Mafuta na Ushinde"...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HOSPITALI ZA APOLLO MSTARI WA MBELE KATIKA KUOKOA MAISHA YA WAHANGA MAFURIKO...

Preetha Reddy, Makamu Mwenyekiti wa Hospitali za Apollo,Na Mwandishi WetuChennai ni jiji la tano kwa ukubwa nchini India, jiji hilo limepigwa na janga kubwa la mafuriko ambayo hayajawahi kutokea kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA IS THE FIRST COUNTRY IN AFRICA TO ARCHIVE ANALOGUE TELEVISION...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAFANYAKAZI WA BENKI YA NMB MOSHI WAJITOKEZA KATIKA ZOEZI LA USAFI

Meneja wa Benki ya NMB tawi la Moshi,Emanuel Kishosha akishiriki na wafanyakazi wenzake katika zoezi la kufanya usafi katika maeneo ya uwanja wa michezo wa King George.Waganyakazi wa Benki ya NMB wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI LILILOTANGAZWA NA RAIS MAGUFULI HILI HAPA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akitangaza baraza lake la mawaziri Ikulu jijini Dar es salaam leo Desemba 10, 2015. Kulia kwake ni Makamu wa Rais Mhe. Samia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DJ BON LOVE ALIVYOKONGA NYOYO ZA MASHABIKI WA BURUDANI KATIKA USIKU WA HEART&...

Mkali wa magoma hapa nchini na nje, Dj Bon Love akifanya yake katika Usiku wa Heart & Soul uliofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye kiota kinachobamba zaidi hapa mjini cha Raphsody, ndani ya Jengo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VICENT MBILINYI BONDIA MWENYE UCHU WA KUWA BINGWA WA DUNIA

VICENT MBILINYIBondia anayetamani mafanikioVICENT Mbilinyi  miongoni mwamabondia wanaoanza kufanyavizuri katika medani ya masumbwihuku ndoto yake ikiwa ni kufanyavema kitaifa na kimataifa ilikujiweka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BONDIA VICENT MBILINYI AJIANDAA KUMKABILI DEO NJIKU DESEMBA 25

Bondia Ramadhani Maonya kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Vicent Mbilinyi wakati wa mazoezi ya kujiandaa na mapambano yao ambapo Mbilinyi anajiandaa kucheza na Deo Njiku desemba 25 na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WADAU WAPONGEZA GOING BONGO

Rais wa Shirikisho la Filamu Simon Mwakifamba akiongea na vyombo vya habari wakati wa uzinduzi filamu ya ‘Going Bongo’ uliofanyika jana Ijumaa WADAU mbalimbali waliofika kwenye  onyesho la kwanza la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UPDATES ZA DADA JOYCE RICHARD MWAPEPO WA MBEYA ALIYELAZWA HOSPITALI YA TAIFA...

Ankal akiwa wodini kumtembelea dada  Joyce  Dada Joyce alipowasili Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wiki iliyopitaDada Joyce akiwa wodini MOINdugu Wasamaria Wema,Tunapenda kutumia fursa hii...

View Article
Browsing all 1906 articles
Browse latest View live