Quantcast
Channel: BONGOWEEKEND
Viewing all 1902 articles
Browse latest View live

PROF. JUMANNE MAGHEMBE APOKEA CHETI CHA SHUKRANI KUTOKA SPORTPESA

$
0
0
Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe (kulia) akimkaribisha Meneja Mahusiano wa Kampuni ya SportPesa Tanzania, Sabrina Msuya ofisini kwake mjini Dodoma jana ambapo alifika kukabidhi Cheti cha Shukurani kutoka kwa kampuni hiyo kwa Wizara yake kufanikisha ujio wa timu ya Everton nchini Tanzania mwezi Julai mwaka huu, 2017. Ameipongeza SportPesa kwa kufanikisha kuileta timu hiyo nchini na kuwaomba kuzileta timu nyingine kutoka nchini Uingereza kwa kuanzia na timu ya Arsenal ili kuutangaza zaidi utalii wa Tanzania nje ya nchi.
 Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe (kulia) akipokea Cheti cha Shukurani kutoka kwa Kampuni ya SportPesa Tanzania kwa wizara yake kufanikisha ujio wa timu ya Everton nchini Tanzania mwezi Julai mwaka huu, 2017, anaekabidhi cheti hicho ni Meneja Mahusiano wa Kampuni hiyo, Sabrina Msuya ofisini kwake mjini Dodoma jana. Ameipongeza SportPesa kwa kuileta timu hiyo nchini na kuiomba kuzileta timu nyingine kutoka nchini Uingereza kwa kuanzia na timu ya Arsenal ili kuutangaza zaidi utalii wa Tanzania nje ya nchi. 
Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe (kulia) akizungumza na Meneja Mahusiano wa Kampuni ya SportPesa Tanzania, Sabrina Msuya ofisini kwake mjini Dodoma jana mara baada ya kupokea Cheti cha Shukurani kutoka kwa kampuni hiyo kwa Wizara yake kufanikisha ujio wa timu ya Everton nchini Tanzania mwezi Julai mwaka huu, 2017. Ameipongeza SportPesa kwa kuileta timu hiyo nchini na kuiomba kuzileta timu nyingine kutoka nchini Uingereza kwa kuanzia na timu ya Arsenal ili kuutangaza zaidi utalii wa Tanzania nje ya nchi. 
Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe (kulia) akimsikiliza Meneja Mahusiano wa Kampuni ya SportPesa Tanzania, Sabrina Msuya ofisini kwake jana mjini Dodoma mara baada ya kupokea Cheti cha Shukurani kutoka kwa kampuni hiyo kwa Wizara yake kufanikisha ujio wa timu ya Everton nchini Tanzania mwezi Julai mwaka huu, 2017. Ameipongeza SportPesa kwa kuileta timu hiyo nchini na kuiomba kuzileta timu nyingine kutoka nchini Uingereza kwa kuanzia na timu ya Arsenal ili kuutangaza zaidi utalii wa Tanzania nje ya nchi. 
 Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe (wa pili kulia) akimuaga Meneja Mahusiano wa Kampuni ya SportPesa Tanzania, Sabrina Msuya ofisini kwake jana mjini Dodoma baada ya kupokea Cheti cha Shukurani kutoka kwa kampuni hiyo kwa Wizara yake kufanikisha ujio wa timu ya Everton nchini Tanzania mwezi Julai mwaka huu, 2017. Ameipongeza SportPesa kwa kufanikisha kuileta timu hiyo nchini na kuwaomba kuzileta timu nyingine kutoka nchini Uingereza kwa kuanzia na timu ya Arsenal ili kuutangaza zaidi utalii wa Tanzania nje ya nchi. Kulia aliyeshikilia cheti hicho ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Dkt. Aloyce Nzuki.
PICHA NA HAMZA TEMBA - WIZARA YA MALIASILI NA UTALII

WAKAZI KATA YA MUNDO WILAYANI MISUNGWI MKOANI MWANZA WAELEZA UMUHIMU WA UJENZI WA KITUO CHA AFYA

IDD MKWELA ASIKILIZIA PROMOTA KAIKE

Next: BONDIA MTANZANIA OMARI KIMWERI ANAEISHI AUSTRALIA ATUA BONGO NA KUMUOWA LAWARIDI KIMWERI SHEREHE ILIFANYIKA VIJANA KINONDONI BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia kulia akiwa na mkewe Lawaridi Kimweri wakati wa sherehe ya harusi yao iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia katikati akiwa na mkewe Lawaridi Kimweri kushoto ni kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' wakati wa sherehe ya ndoa yao iliyofanyika katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia kulia akiwa na mkewe Lawaridi Kimweri wakati wa sherehe ya harusi yao iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS WAGENI WAALIKWA WAKISELEBUKA BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia kushoto akiwa na mkewe Lawaridi Kimweri wakati wa sherehe ya harusi yao iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia akiwa na mkewe Lawaridi Kimweri wakichukuwa chakula wakati wa sherehe ya harusi yao iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwa na msanii wa kundi la Segere Siza Mazongela wakati wa Sherehe ya bondia Omari Kimweri Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi ncini akiwa na bondia Omari Kimweri wakati wa Sherehe ya bondia huyoi BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia kulia akiwa na mkewe Lawaridi Kimweri wakati wa sherehe ya harusi yao iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia Na Mwandishi Wetu BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia ameamua kuachana na ukapela na kuambua kuowa bondia huyo anaeishi Australia amefanya sherehe mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya kumuowa Lawaridi Kimweri Jijini Dar es salaam na Sherehe ya Ndoa yao imefanyika katika ukumbi wa Vijana Kinondondi jijini Dar akizungumza wakati wa shughuli hiyo Kimweri amesema ameamua kuoa ili kujenga familia yake mwenyewe kwa maisha yake unajua watanzania wengi wakienda ulaya awakumbuki nyumbani kwa kuwa awajaacha chochote na awajui lilote na kuanzisha mahusiano na wanzungu wakiwa nje ya nchi hivyo damu yaker kupotea mimi nimeamua kuowa nyumbani kwa kuwa kwanza mimi nimezaliwa Tanzania na kule nina fanya kazi zangu tu hivyo nimerudi nyumbani kuoa ili niendeshe familia yangu kule ulaya ukiwa na mtoto na mzungu asilimia kubwa mtoto sio wako ni wa mwanamke ata hivyo inajulikana kabisa damu za wenzetu wazungu ni kali sana hivyo ata mkizaa mtoto atakuwa wa kizungu na wewe rangi yako itaendelea kuwa nyeusi Kimweri aliongeza kwa kusema kaja nchini na ujumbe wa watu wanne aliokuja nao kwa ajili ya arusi yake pamoja na kufanya utalii katika vivutio mbalimbali ambapo watatembelea mbunga za wanyama ya serengeti mikumi pamoja na kwenda Zanzibar kuona vivutio vyake Bondia Kimweri kwa sasa ambae amejikita katika kufanikisha Tanzania inakuwa juu katika mchezo wa masumbwi kupitia wafadhili wake pamoja na kazi anazozifanya akiwa uko ngambo amewedha kuleta vifaa mbalimbali vya mchezo wa masumbwi vikiwemo bukta glove flana pad na vitu mbalimbali vinavyo usu mchezo uho aidha amewai kushilikiana na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kuwatafutia mapambano mbalimbali ya mchezo uko nje pamoja na kuwandalia mapambano ya ndani ya nchi
$
0
0


Na Mwandishi Wetu

BONDIA wangumi za kulipwa Idd Mkwela baada ya majuma kadhaa yaliyopita kujinasibu kuwa anaogopwa na mabondia aliowataja kwa kumkimbia kwa makusudi lakini kwa sasa

amekuwa na madhungumzo na promota Kaike siraju ambaye ameonesha nia ya kumpatia mpambano bondia huyo Octoba 28 ambapo amesema atamsainisha na bondia Issa Nampepeche au Deo Samweli kaike alienda mbali zaidi na kusema kuwa baada ya kufanikiwa kushinda mpambano uho ata mpatia mapambano ya mabondia anao wataka

nae Mkwela amesema kuwa yeye ni bondia ivyo bondia yoyote atakaekuja kwake awezi kuchaguwa kwani ndio kazi anayoifanya na ndio aliyoichagua hivyo kazi kazi

aliendelea kwa kusema kwa sasa nafanya mazoezi ya nguvu japo kuwa bado sijasaini mkataba ila najua promota atajitokeza wakati wowote ule kwa ajili ya mpambano wangu na bondia yoyote ajae mbele yangu nitamsambalatisha bila huruma

kwani kwa sasa nina uwezo wa kupitiliza mazoezi ninayofanya mpaka najiogopa naisi ipo siku nitakuji kuuwa bondia ulingoni mana nipo tofauti sana na mabondia wa kibongo wanaojibweteka wakipata majina kidogo wanajiona wapo juu zaidi ila ole wao wakiingia katika anga zangu

na kwa sasa mimi kama mimi sichezi raundi ndogo ngogo mana asije promota akasema anichezeshe raundi nne izo ni raundi za watu wanaojifunza kupanda ulingoni mimi nacheza raundi kumi au 12 ambazo anapaswa kucheza bondia wa ngumi za kulipwa

pia mkwela ameomba makampuni na taasisi mbalimbali kujitokeza kuwapa ufadhili mbalimbali ikiwemo vifaa vya mchezo wa masumbwi pamoja na galama za kujikimu wakati wa mazoezi ili mabondia waweze kufanya vizuri ikumbukwe mchezo wa ngumi pekee ndio inaweza kuipa sifa Tanzania kwa kutuletea mabingwa wa Dunia 

BONDIA MTANZANIA OMARI KIMWERI ANAEISHI AUSTRALIA ATUA BONGO NA KUMUOWA LAWARIDI KIMWERI SHEREHE ILIFANYIKA VIJANA KINONDONI BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia kulia akiwa na mkewe Lawaridi Kimweri wakati wa sherehe ya harusi yao iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia katikati akiwa na mkewe Lawaridi Kimweri kushoto ni kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' wakati wa sherehe ya ndoa yao iliyofanyika katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia kulia akiwa na mkewe Lawaridi Kimweri wakati wa sherehe ya harusi yao iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS WAGENI WAALIKWA WAKISELEBUKA BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia kushoto akiwa na mkewe Lawaridi Kimweri wakati wa sherehe ya harusi yao iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia akiwa na mkewe Lawaridi Kimweri wakichukuwa chakula wakati wa sherehe ya harusi yao iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwa na msanii wa kundi la Segere Siza Mazongela wakati wa Sherehe ya bondia Omari Kimweri Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi ncini akiwa na bondia Omari Kimweri wakati wa Sherehe ya bondia huyoi BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia kulia akiwa na mkewe Lawaridi Kimweri wakati wa sherehe ya harusi yao iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia Na Mwandishi Wetu BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia ameamua kuachana na ukapela na kuambua kuowa bondia huyo anaeishi Australia amefanya sherehe mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya kumuowa Lawaridi Kimweri Jijini Dar es salaam na Sherehe ya Ndoa yao imefanyika katika ukumbi wa Vijana Kinondondi jijini Dar akizungumza wakati wa shughuli hiyo Kimweri amesema ameamua kuoa ili kujenga familia yake mwenyewe kwa maisha yake unajua watanzania wengi wakienda ulaya awakumbuki nyumbani kwa kuwa awajaacha chochote na awajui lilote na kuanzisha mahusiano na wanzungu wakiwa nje ya nchi hivyo damu yaker kupotea mimi nimeamua kuowa nyumbani kwa kuwa kwanza mimi nimezaliwa Tanzania na kule nina fanya kazi zangu tu hivyo nimerudi nyumbani kuoa ili niendeshe familia yangu kule ulaya ukiwa na mtoto na mzungu asilimia kubwa mtoto sio wako ni wa mwanamke ata hivyo inajulikana kabisa damu za wenzetu wazungu ni kali sana hivyo ata mkizaa mtoto atakuwa wa kizungu na wewe rangi yako itaendelea kuwa nyeusi Kimweri aliongeza kwa kusema kaja nchini na ujumbe wa watu wanne aliokuja nao kwa ajili ya arusi yake pamoja na kufanya utalii katika vivutio mbalimbali ambapo watatembelea mbunga za wanyama ya serengeti mikumi pamoja na kwenda Zanzibar kuona vivutio vyake Bondia Kimweri kwa sasa ambae amejikita katika kufanikisha Tanzania inakuwa juu katika mchezo wa masumbwi kupitia wafadhili wake pamoja na kazi anazozifanya akiwa uko ngambo amewedha kuleta vifaa mbalimbali vya mchezo wa masumbwi vikiwemo bukta glove flana pad na vitu mbalimbali vinavyo usu mchezo uho aidha amewai kushilikiana na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kuwatafutia mapambano mbalimbali ya mchezo uko nje pamoja na kuwandalia mapambano ya ndani ya nchi

$
0
0

 BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia kulia akiwa na mkewe Lawaridi Kimweri wakati wa sherehe ya harusi yao iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS
BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia katikati akiwa na mkewe Lawaridi Kimweri kushoto ni kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' wakati wa sherehe ya ndoa yao iliyofanyika katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS
  
 BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia kulia akiwa na mkewe Lawaridi Kimweri wakati wa sherehe ya harusi yao iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS




WAGENI WAALIKWA WAKISELEBUKA

 BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia kushoto akiwa na mkewe Lawaridi Kimweri wakati wa sherehe ya harusi yao iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS

 BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia akiwa na mkewe Lawaridi Kimweri wakichukuwa chakula wakati wa sherehe ya harusi yao iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS

Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwa na msanii wa kundi la Segere Siza Mazongela wakati wa Sherehe ya bondia Omari Kimweri

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi ncini akiwa na bondia Omari Kimweri wakati wa Sherehe ya bondia huyoi

BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia kulia akiwa na mkewe Lawaridi Kimweri wakati wa sherehe ya harusi yao iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS

BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia 
Na Mwandishi  Wetu

 BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia ameamua kuachana na ukapela na kuambua kuowa bondia huyo anaeishi Australia amefanya sherehe mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya kumuowa Lawaridi Kimweri Jijini Dar es salaam na Sherehe ya Ndoa yao imefanyika katika ukumbi wa Vijana Kinondondi jijini Dar 

akizungumza wakati wa shughuli hiyo Kimweri amesema ameamua kuoa ili kujenga familia yake mwenyewe kwa maisha yake unajua watanzania wengi wakienda ulaya awakumbuki nyumbani kwa kuwa awajaacha chochote na awajui lilote na kuanzisha mahusiano na wanzungu wakiwa nje ya nchi 

hivyo damu yaker kupotea mimi nimeamua kuowa nyumbani kwa kuwa kwanza mimi nimezaliwa Tanzania na kule nina fanya kazi zangu tu hivyo nimerudi nyumbani kuoa ili niendeshe familia yangu kule ulaya ukiwa na mtoto na mzungu asilimia kubwa mtoto sio wako ni wa mwanamke ata hivyo inajulikana kabisa damu za wenzetu wazungu ni kali sana

hivyo ata mkizaa mtoto atakuwa wa kizungu na wewe rangi yako itaendelea kuwa nyeusi

Kimweri aliongeza kwa kusema kaja nchini na ujumbe wa watu wanne aliokuja nao kwa ajili ya arusi yake pamoja na kufanya utalii katika vivutio mbalimbali ambapo watatembelea mbunga za wanyama ya serengeti mikumi pamoja na kwenda Zanzibar kuona vivutio vyake

Bondia Kimweri kwa sasa ambae amejikita katika kufanikisha Tanzania inakuwa juu katika mchezo wa masumbwi kupitia wafadhili wake pamoja na kazi anazozifanya akiwa uko ngambo amewedha kuleta vifaa mbalimbali vya mchezo wa masumbwi

vikiwemo bukta glove flana pad na vitu mbalimbali vinavyo usu mchezo uho aidha amewai kushilikiana na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' 

kuwatafutia mapambano mbalimbali ya mchezo uko nje pamoja na kuwandalia mapambano ya ndani ya nchi

BLOGGER TUPOKIGWE ABNERY KUZINDUA KITABU CHAKE ' MAPENZI KABURINI' JIJINI ARUSHA

Previous: BONDIA MTANZANIA OMARI KIMWERI ANAEISHI AUSTRALIA ATUA BONGO NA KUMUOWA LAWARIDI KIMWERI SHEREHE ILIFANYIKA VIJANA KINONDONI BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia kulia akiwa na mkewe Lawaridi Kimweri wakati wa sherehe ya harusi yao iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia katikati akiwa na mkewe Lawaridi Kimweri kushoto ni kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' wakati wa sherehe ya ndoa yao iliyofanyika katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia kulia akiwa na mkewe Lawaridi Kimweri wakati wa sherehe ya harusi yao iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS WAGENI WAALIKWA WAKISELEBUKA BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia kushoto akiwa na mkewe Lawaridi Kimweri wakati wa sherehe ya harusi yao iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia akiwa na mkewe Lawaridi Kimweri wakichukuwa chakula wakati wa sherehe ya harusi yao iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwa na msanii wa kundi la Segere Siza Mazongela wakati wa Sherehe ya bondia Omari Kimweri Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi ncini akiwa na bondia Omari Kimweri wakati wa Sherehe ya bondia huyoi BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia kulia akiwa na mkewe Lawaridi Kimweri wakati wa sherehe ya harusi yao iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa Vijana Kinondoni Dar es salaam Picha na SUPER D BOXING NEWS BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia Na Mwandishi Wetu BONDIA Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia ameamua kuachana na ukapela na kuambua kuowa bondia huyo anaeishi Australia amefanya sherehe mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya kumuowa Lawaridi Kimweri Jijini Dar es salaam na Sherehe ya Ndoa yao imefanyika katika ukumbi wa Vijana Kinondondi jijini Dar akizungumza wakati wa shughuli hiyo Kimweri amesema ameamua kuoa ili kujenga familia yake mwenyewe kwa maisha yake unajua watanzania wengi wakienda ulaya awakumbuki nyumbani kwa kuwa awajaacha chochote na awajui lilote na kuanzisha mahusiano na wanzungu wakiwa nje ya nchi hivyo damu yaker kupotea mimi nimeamua kuowa nyumbani kwa kuwa kwanza mimi nimezaliwa Tanzania na kule nina fanya kazi zangu tu hivyo nimerudi nyumbani kuoa ili niendeshe familia yangu kule ulaya ukiwa na mtoto na mzungu asilimia kubwa mtoto sio wako ni wa mwanamke ata hivyo inajulikana kabisa damu za wenzetu wazungu ni kali sana hivyo ata mkizaa mtoto atakuwa wa kizungu na wewe rangi yako itaendelea kuwa nyeusi Kimweri aliongeza kwa kusema kaja nchini na ujumbe wa watu wanne aliokuja nao kwa ajili ya arusi yake pamoja na kufanya utalii katika vivutio mbalimbali ambapo watatembelea mbunga za wanyama ya serengeti mikumi pamoja na kwenda Zanzibar kuona vivutio vyake Bondia Kimweri kwa sasa ambae amejikita katika kufanikisha Tanzania inakuwa juu katika mchezo wa masumbwi kupitia wafadhili wake pamoja na kazi anazozifanya akiwa uko ngambo amewedha kuleta vifaa mbalimbali vya mchezo wa masumbwi vikiwemo bukta glove flana pad na vitu mbalimbali vinavyo usu mchezo uho aidha amewai kushilikiana na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kuwatafutia mapambano mbalimbali ya mchezo uko nje pamoja na kuwandalia mapambano ya ndani ya nchi
$
0
0


Tupokigwe Abnery Mwampondele amezaliwa,Seronera - Serengeti mkoani Mara.Alisomea shahada ya Isimu ya lugha ya Kiswahili Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Kwa sasa ni mwalimu wa somo la Kiswahili katika shule ya Sekondari ya Wasichana Precious blood iliyopo mkoani Arusha-Tanzania. N’je na kazi ya uwalimu Tupokigwe Abnery ni mtunzi wa vitabu vya hadithi, mbunifu wa mavazi ya kiasili, mjasiriamali na mwandishi wa gazeti tando (blogger) inayoitwa Sinyati Blog.

Tupokigwe Abnery alikuwa na kawaida ya kupenda kujibembeleza au kujifariji akiwa anatembea kwa kutengeneza hadithi katika fikra zake ili kuweza kulala au kufika anakoelekea bila kuchoka,ndipo siku moja baada ya kushiriki shindano la uandishi wa Riwaya fupi kwa wanafunzi wa shule ya msingi,sekondari na vyuo vikuu Tanzania kwa ajili ya Tuzo ya mama Salma Kikwete iliyoandaliwa na TASAKI(Tamasha la Sauti ya Kiswahili) aliibuka mshindi wa pili wa riwaya fupi kwa wanafunzi wa vyuo vikuu Tanzania.



Hivyo hiki kitabu ni muendelezo wa Riwaya aliyopatia Tuzo.Soma kitabu hiki uweze kujionea ubunifu wa hali ya juu wa fani pamoja na mshikamano wa maudhui uliyopo ndani ya kitabu hiki.



Mapenzi Kaburini ni kitabu chenye mtazamo yakinifu,ni kitabu ambacho maudhui yake yamezitazama nchi za Afrika Mashariki na changamoto zilizopo katika nchi kwa upande wa viongozi pamoja na wananchi.Kimebeba maudhui yanayowalenga wananchi wote bila kujali utabaka.Kwa upande wa fani kimetumia majina ya halisi na kubuni hasa kwa upande wa maeneo ya miji mfano kuna miji kama Kinyonga,kupe,chatu ambayo ni majina yaliyopo katika nchi ya Simba.Nchi hii ya Simba ni nchi inayosimamia nchi zilizopo Afrika Mashariki.



Mbali na hilo pia visa na matukio vimepewa majina ya hifadhi za Taifa zilizopo katika nchi ya Tanzania.Mfano hifadhi ya Ruaha,Sanane,Manyara na kitulo kama ukisoma kitabu hiki utagundua kuwa sifa ya hifadhi inaendana na visa na matukio yaliyopo katika sehemu hiyo iliyoandikwa kwa jina la hifadhi.Mfano hifadhi ya Kitulo inasifika kwa kuwa na maua,kama tujuavyo maua huashiria sifa nyingi moja wapo hapo ni upendo,watu wengi hutumia maua katika kuwapa wapenzi wao,mfano kuomba msamaha,kumfariji mtu,hata kuonesha upendo kwa mtu unayempenda.


Utakaposoma kitabu hiki utaburudika na kufundishwa baadhi ya mambo kama Kukuza imani yako kwa Mungu,uaminifu katika ndoa,uzalendo katika nchi yako na Madhara ya kujihusisha katika mahusiano na mtu usiye mjua.
Nitakupatia kionjo kidogo katika sura ya kwanza ili kuweza kuona mwanzo tu wa hadithi hii ambayo hutapenda kuacha kuifuatilia:


Sura ya kwanza
Hifadhi ya Sanane
Ilikuwa siku ya Jumatatu katika ghorofa la tajiri mmoja, mmiliki wa hoteli maarufu katika nchi ya Simba. Tajiri huyo alifahamika sana kwa kuwa alikuwa akijitolea sana kwa wananchi wasiojiweza, katika miji mbalimbali ya nchi hiyo.Watu husemamfadhili punda kuliko mwanadamu vilevile tenda wema kisha nenda zako baraka utazipata kwa Mungu,usisubiri hisani za wanadamu.
Pamoja na misaada aliyoitoa kwa watu mbalimbali lakini wananchi wa Simba hawakujali misaada yake, walimteta kila kona kuwa anatumia nguvu za giza na amekwisha toa kafara ndugu, jamaa na hata watoto wake ili kujipatia utajiri mkubwa alionao. Siku hiyo ya Jumatatu katika pagala la tajiri huyo aliyefamika kwa jina la Pesa nyingi.
katika moja ya chumba cha ghorofa hilo kulikuwa na mwanamke mrembo na mzuri sana wa sura, mrefu mithili ya twiga, mwenye umbo zuri la kiafrika, chini alikuwa amevaa suruali ya chupa huku akiwa amevaa blauzi tatu juu zenye rangi tofauti na nywele timutimu zikiwa zime nakishiwa na vitu vya jaani kama vichana,visude, rasta chakavu na kufungwa kitambaa cha kitenge aina ya makenzi ,uso wake ulikuwa kama paka mwenye madoa kutokana na kujipamba kwa majivu na masizi ya mkaa wa jaani. Pembeni ya ua hilo alikuwepo mnyama mwenye maringo

mbugani kuliko wote, sio mwingine bali ni kijana mtanashati aliyekwenda hewaani, rangi ya ngozi yake nyeusi ya kung’aa. Tabasamu la mwanaume huyo lililokuwa likimfariji mtoto mzuri, lili mvutia sana Savannah. Ghafla ilisikika sauti ya mwanamke huyo ikiita kwa sauti ya chini iliyojaaa simanzi na mateso ya muda mrefu,ilisema “John naumia mume wangu, hali yangu kila kukicha afadhali ya jana”.
John alijibu “usijali Savannah nipo hapa mke wangu kwa ajili yako utapona tu tutakwenda hospitali,subiri nikuandalie chakula ule, kisha nikupeleke hospitali malikia wangu”. Basi baada ya John kumfariji Savannah aliamka na kuelekea jikoni pembeni ya sehemu aliyokuwa amelala mpenzi wake. Watu hawa walipendana sana ni vile tu hali yao haikuwa nzuri kifedha waliishi kwa kuhangaika, kuomba msaada na wakati mwingine walifukuzwa na walimwengu pale walipokuwa wakiomba msaada, watu waliwapita kama mbwa waliokosa matunzo.
Wapenzi hao Walizoea maisha ya kuokota vyakula jalalani na kukimbilia magari ya taka sambamba na kusubiria mabaki ya chakula katika migahawa mbalimbali. Wakati huo John alikuwa akitimiza ahadi aliyo mhahidi malikia wake alimuandalia chakula walicho kiokota katika soko kuu la mji huo wa Chatu. John alimuinua Savannah pale alipokuwa amelala kwenye kanga chakavu akiwa amejifunika magunia yalionekana ni ya mpunga. John alimlisha Savannah chakula kile ambacho hawakujua kilipikwa lini na kutupwa na nani na lini. Savannah alisikika akisema “asante mume wangu hata

mwanangu anafurahi sasa naona napata nafuu, nahisi ni njaa ilikuwa inaniuma”. Mwanangu nisamehe mama kakushindisha njaa, nakupenda sana najua wewe utakuwa mrembo zaidi yangu mwanangu hata baba yako anakupenda”. John alikuwa anapenda sana utani alicheka na kusema “atakuwa mrembo kama wewe kweli mke wangu lakini rangi ya ngozi yake itakuwa kama yangu, yako iko kama ya nguruwe hahahaaaa!” Savannah alikuwa mweupe kama Nguruwe, ingawa alivyokuwa anaonekana ni kama mtu mwenye ngozi ya rangi ya maji ya kunde kutokana na ugumu wa maisha.
Wawili hao walifurahi pamoja na kusahau shida walizokuwa nazo.Walipomaliza kula wapenzi hao waliamua kutoka nje baada ya kukaa ndani ya paghala hilo kwa muda wa wiki moja, Dikidiki hao walikuwa na kaida ya kufanya hivyo wanapotafuta riziki na kujilimbikizia ndani ya paghala lao kisha wana kaa kwa muda huo bila kutoka. Usilolijua ni kama usiku wa kiza, basi Savannah na John walipotoka wakiwa n’je ya mgahawa mmoja uliokuwa unapendwa sana na wananchi wa mji huo wa Chatu zilisikika sauti za wanawake wakisema:
“haya jamani sasa ni ule wakati wa Pesa nyingi kuingiza hela sasa wenzi wametoka fungate”. Waliamini kuwa Pesa nyingi alikuwa anawatumia Dikidiki hao kama misukule inayotoka na kurudi ndani na wanapotoka basi mzee Pesa nyingi huingiza hela nyingi sana. Kwakuwa wenzi hao walikuwa hawaelewi kinachoongelewa waliendelea kuomba msaada kwa wateja waliokuwepo hapo mgahawani. Wanapokosa waliamua kucheza baadhi ya nyimbo zilizokuwa

zikipigwa katika mgahawa huo, wakicheza hupewa chakula na fedha ambazo hutoka katika mifuko ya wateja. John alikuwa anapenda sana kucheza,wakiwa wamekaa chini walisikia wimbo wa mwanamuziki maarufu Tanzania Diamond unaosema Je, Utanipendaga? John alimuinua Savannah aliyeonekana kachoka na mimba yake. Savannah aliamka na kucheza na mpenzi wake ,walicheza kwa miondoko ya kihindi, machozi yalisafisha uso wa Savannah huku yakiosha kifua cha John kilichokuwa kimejaa kama mlima na mikono iliyokuwa na miinuko ya kupanda na kushuka ilizunguka juu ya kifua cha Savannah na kumfanya ahisi kazungukwa na jeshi kubwa la malaika wa ulinzi.
Baada ya kumaliza kucheza savannah alikuwa amechoka sana, kitendo cha kucheza kilimsababishia kuchokoza maumivu na kupelekea kupata uchungu katika kizazi chake. Baada ya kuona hivyo John aliinama na kuchukua zawadi walizozipata kutoka kwa hadhira iliyokuwa ikiwatazama huku baadhi ya hadhira wakibubujikwa na machozi walimpelekea hela na chakula John katika kapu lake la kukusanyia riziki. Watu waliokuwa wakiwatazama Savannah na John hawakujali maumivu ya mwanamke yule na kuona kawaida.
Wapo waliosikika wakisema hawa vichaa wana akili, wengine walisema hawa si vichaa, vichaa gani wana akili ya kutafuta hela hivi, wamekusanya umati mkubwa hivi na kuwafanya watu kutoa kile walichonacho. Mama mmoja mwenye busara anayeuza katika mgahawa huo aliyefahamika kwa jina la mama ndaga akasema“Jamani mimi nawafahamu hawa vichaa kwanza hawakuwa wakitembea hivi pamoja kama Dikidiki, huyo kaka unayemuona alikuwa..........pata mwendelezo kwa kujipatia kitabu hiki.



Nicheki kwa mawasiliano haya:+255756377940
Instagram: @sinyatiblog
Facebook:Tupokigwe Abnery 


Au Blog yake : www.sinyatiblog.blospot.com  -- Gadiola Emanuel FREELaNCe JourNaLIst / ICT/ PRO /PhotoGraPhEr and Blogger -Based in Arusha, Tanzania. Mob :+255 755 643 633 E-mail: gadiola25@gmail.com WEB: www.wazalendo25.blogspot.com

WATU WAWILI WASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI MKOA WA PWANI BAADA YA KUKAMATWA NA GUNIA NANE ZA BHANGI

$
0
0
 JESHI la Polisi  Mkoa wa Pwani  wamewakamata watuhumiwa wawili  ambao wameshikwa  wakisafirisha  dawa za kulevya  aina ya Bhangi  magunia nane.
 Watuhumiwa hao walionaswa  na Jeshi la Polisi wamefahamika  kwa  mjina Abraham Michael  mwenye umri wa miaka  31 mkaazi wa Jijini Dar es Salaam na Godfrey  Malakasuka  mwenye umri wa miaka 21 mkaazi wa Kimara  waliokamatwa katika eneo la Ubena Zomozi wakitokea Mkoani Morogoro kuelekea Jijini Dar es Salamaa.
Akizungumza na  waandishi wa habari  Kamanda wa Mkoa wa Pwani ACP Jonathan Shanna  alisema kuwa watuhumiwa  wamekamatwa na vidhibiti  hivyo wanastahili  kupata adhabu kali pindi watakapofikishwa  mahakamani.

Geofrey Adroph BLOGGER P.O.BOX 24793, Mob: +255 755 274953 /+255 713 363965, Email: pamojapure@gmail.com. Blog: http://www.pamoja.co.tz/ DAR ES SALAAM, TANZANIA

SHAHIDI AIELEZA MAHAKAMA JINSI DC ALIVYOPEKUWA CHUMBA CHAKE

$
0
0




Na Woinde Shizza wa libeneke la kaskazini blog
SHAHIDI wa utetezi katika kesi ya kughushi Mukhtasari,wa serikali ya mtaa wa Levolosi ,mfanyabiashara ,Mathew Moleli ameieleza mahakama jinsi mkuu wa wilaya mstaafu  alivyoingia kwa mabavu nyumbani kwake na kuamrisha askari polisi aliokuwa ameambatana nao wapekuwe chumba chake wakitafuta hati inayodaiwa kughushiwa.

Akitoa utetezi  mbele ya hakimu Gwanta Mwankuga wa mahakama ya hakimu mkazi Arusha ,anayesikiliza shauri hilo huku akiongozwa na wakili wa utetezi Ephraim Koisenge, aliieleza mahakama hiyo jinsi alivyofedheheshwa wakati askari hao,akiwemo mwendesha bodaboda na mlalamikaji Makanga walivyopekuwa chumba chake wakitafuta hati ambayo ni mali.

Shahidi huyo aliiendelea kueleza kuwa, mnamo oktoba ,2 mwaka 2014 alishtakiwa katika mahakama ya wilaya iliyopo Sekei mkoani Arusha, kwa shauri kama hilo huku mlalamikaji akiwa ni Danny Makanga na baadae oktoba 1,mwaka 2015 kesi hiyo ilifutwa baada ya upande wa jamhuri kuomba kuondoa shauri hilo mahakamani  jambo ambalo anadai linampotezea muda wake.

 Alidai kuwa kufutwa kwa shauri hilo aliandika barua kwa mkuu wa upelelezi wa mkoa wa ARUSHA (RCO) kuomba kurejeshewa  hati yake ya nyumba iliyokuwa inashikiliwa ofisi ya RCO, jambo ambalo hakuwahi kujibiwa hadi oktoba ,28 mwaka 2016 alipokamatwa na polisi na kufikishwa  mahakamani akishtakiwa kwa makosa mawili  ya kughushi Mukhtasari wa serikali ya mtaa wa Levolosi na kuwasilisha nyaraka za kughushi katika ofisi za jiji la Arusha ,

Hata hiyo upande wa mashtaka ukiongozwa na wakili wa serikali Mary Lucas ulimtaka mshtakiwa kueleza uhalali wa eneo anakoishi kwa sasa ,jambo ambalo shahidi huyo alisema ni mali yake na waliuziana kindugu na mlalamikaji Makanga  bila kuandikishana na baadae alifuata taratibu zote za kuomba hati miliki kupitika kikao cha dharura kwa uongozi wa serikali ya mtaa wa Levolosi kilichoketi Septemba,10 mwaka 2006.

Pia shahidi huyo alieleza kuwa tangu kikao hicho cha serikali ya mtaa kiketi kwa dharura na baadae kupeleke maombi ya kupatiwa hati ya umiliki wa nyumba yake kiwanja namba 231 kitalu DD kilichopo Mianziani jijini Arusha ,hakuwahi kupata malalamiko yoyote kuhusu kughushi nyaraka za serikali,jambo ambalo ameiomba mahakama kuifuta kesi hiyo kwa sababu malalamiko hayo hayana ukweli wowote.

Kesi hiyo namba 430 ya mwaka 2016 inatarajiwa kuendelea tena ,Septemba 28 mwaka huu ,ambapo upande wa utetezi unatarajia kufunga utetezi wake kwa shahidi wa pili na wa mwisho baada yashahidi wa kwanza ambaye ni mshtakiwa kukamilisha utetezi,ambaye pia aliwasilisha  nyaraka mbalimbali kama vielelezo mahakamani hapo.

Awali wakili wa serikali Mary Lucasi alipinga kuwasilishwa kwa baadhi ya nyaraka muhimu za mshtakiwa mahakamani hapo kwa madai kuwa nyaraka  hiyo ni kivuli ,jambo ambalo lilipigwa na wakili wa utetezi Koisenge ambaye aliiomba mahakama izipokee kama kilelezo,jambo ambalo hakimu Mwankuga baada ya kuzipitia hoja ya upande wa mashtaka aliona hazina mashiko na kuzipokea ili zitumikea mahakamani hapo kama kielelezo.

TAMASHA LA KIMATAIFA LA 36 LA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO KUANZA WIKIEND HII.


KASI YA VITENDO VYA RUSHWA YAZIDI KUPUNGUA TANZANIA

NAIBU WAZIRI WA MAJI NA UMWAGILIAJI AANZA ZIARA YA KIKAZI MKOANI SINGIDA

$
0
0
Naibu waziri wa maji na Umwagiliaji Mhe Isack A. Kamwelwe (Kulia) akizungumza jambo na Mwenyeji wake Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Manyoni ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Mhe Miraji Jumanne Mtaturu mara baada ya kuwasili mkoani singida tayari kwa ziara ya kikazi ya siku nne.
Naibu waziri wa maji na Umwagiliaji Mhe Isack A. Kamwelwe (Mwenye suti nyeusi) akielekea kujionea Chanzo cha Mradi wa maji wa Kintinku/Lusilile katika Kijiji Cha Mbwasa Kata ya Makutupora, Tarafa ya Kintinku Wilayani Manyoni, kulia kwake ni Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Manyoni ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Mhe Miraji Jumanne Mtaturu, Kushoto kwake ni Mbunge wa Jimbo la Manyoni Mashariki Mhe Daniel Mtuk.
Naibu waziri wa maji na Umwagiliaji Mhe Isack A. Kamwelwe alipotembelea Chanzo cha Mradi wa maji wa Kintinku/Lusilile katika Kijiji Cha Mbwasa Kata ya Makutupora, Tarafa ya Kintinku Wilayani Manyoni
Naibu waziri wa maji na Umwagiliaji Mhe Isack A. Kamwelwe akizungumza jambo mara baada ya kutembelea Chanzo cha Mradi wa maji wa Kintinku/Lusilile katika Kijiji Cha Mbwasa Kata ya Makutupora, Tarafa ya Kintinku Wilayani Manyoni
Naibu waziri wa maji na Umwagiliaji Mhe Isack A. Kamwelwe akikagua ujenzi wa eneo maalamu litakalotumika kwa ajili ya kuhifadhi umeme kwa ajili ya kusafirisha maji kuelekea katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Manyoni katika eneo la Mitoo.
Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Manyoni ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Mhe Miraji Jumanne Mtaturu akizungumza jambo wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu waziri wa maji na Umwagiliaji Mhe Isack A. Kamwelwe kukagua utekelezaji wa ilani uchaguzi ya CCM 2015-2020
Naibu waziri wa maji na Umwagiliaji Mhe Isack A. Kamwelwe akisisitiza jambo mbele ya wananchi, Kulia kwake ni Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Manyoni ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Miraji Jumanne Mtaturu
Naibu waziri wa maji na Umwagiliaji Mhe Isack A. Kamwelwe (Kulia) akisalimiana na wananchi wa Kitongoji cha Kaloleni mara baada ya kuwasili katika eneo hilo kujionea hali ya upatikanaji wa maji.
Mbunge wa Jimbo la Manyoni Mashariki Mhe Daniel Mtuka (Kulia) akizungumza jambo mbele ya Naibu waziri wa maji na Umwagiliaji Mhe Isack A. Kamwelwe (Kushoto) wakati wa ziara ya kikazi ya kutembelea na kukagua miradi ya vyanzo vya maji.
Mfereji wa Skimu ya Umwagiliaji kijijini Itagata ukiwa katika hatua nzuri za ujenzi
Bwala la Skimu ya Umwagiliaji lililogomewa na wananchi wa kijiji cha Itagata mara baada ya kubaini kuwa linavuja kutokana na mashimo yaliyopo yanayopelekea upotevu wa maji.
Naibu waziri wa maji na Umwagiliaji Mhe Isack A. Kamwelwe akizungumza na wakazi wa Kijiji cha Itagata, Halmashauri ya Wilaya ya Itigi kuhusu namna bora ya kukamilisha Mradi wa Ujenzi wa Bwala la Skimu ya Umwagiliaji.


BODI YA WADHAMINI YA TANAPA IKIONGOZWA NA MWENYEKITI WAKE JENERALI (MSTAAFU) WAITARA YATEMBELEA HIFADHI YA KATAVI

$
0
0

Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), na wajumbe wa bodi hiyo, wakikaribishwa na Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa Katavi, Mhifadhi Izumbe Msindai, walipowasili kwenye hifadhi hiyo leo Septemba 28, 2017.

BODI ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) ikiongozwa na Mwenyekiti wa bodi, Jenerali Mstaafu George Marwa Waitara, leo Septemba 28, 2017 imetembelea Hifadhi ya Taifa ya Katavi kwa ajili ya kukagua utendaji kazi ambapo ilipata fursa ya kupokea taarifa kutoka kwa Mkuu wa Hifadhi Izumbe Msindai.

Bodi imepongeza utendaji kazi katika Hifadhi ya Katavi hususani suala zima la kupambana na ujangili na juhudi zinazofanywa katika kuongeza idadi ya watalii hifadhini.Aidha, Jenerali Waitara aliutaka uongozi wa hifadhi kuongeza jitihada katika kukabiliana na changamoto za mifugo ambayo ni kubwa kwa Katavi na pia alipongeza uongozi wa mkoa chini ya Mkuu wa Mkoa Meja Jenerali mstaafu Raphael Muhuga kwa ushirikiano mkubwa anaotoa kwa hifadhi katika kupambana na mifugo hifadhini.

Mapema kabla, bodi iliweza kutembelea kituo cha mafunzo cha Mlele na kupokea taarifa kutoka kwa Mkuu wa Kituo Mhifadhi Genes Shayo na kupata nafasi ya kuongea na askari wapya wanaoendelea na mafunzo katika kituo hicho.

Jenerali Waitara aliwataka askari hao kuwa na nidhamu, uwajibikaji, bidii na uzalendo katika mafunzo yao na kuwa ni lazima waonyeshe kuiva ili waweze kupambana vilivyo na changamoto ya ujangili katika Hifadhi za Taifa nchini.
Jenerali Waitara, akionyesha kitu wakati yeye na wajumbe wa bodi walipotembelea enelo wanakohifadhiwa Viboko

Jenerali Waitara akizungumza na askari wanaopatiwa mafunzo kwenye kituo cha mafunzo cha Mlele mkoani Katavi


Baadhi ya wajumbe wa bodi waliofiatana na Jenerali Waitara

Baadhi ya askari wanaopatiwa mafunzo ya ulinzi wa wanayamapori kwenye kituo cha mafunzo cha Mlele wakimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya Hifadhi za Taifa, (TANAPA), Jenerali mstaafu George Marwa Waitara (hayupo pichani), alipowatembelea leo Septemba 28, 2017
Baadhi ya askari wanaopatiwa mafunzo ya ulinzi wa wanayamapori kwenye kituo cha mafunzo cha Mlele wakimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya Hifadhi za Taifa, (TANAPA), Jenerali mstaafu George Marwa Waitara (hayupo pichani), alipowatembelea leo Septemba 28, 2017
Jenerali Mstaafu George Waitara, (kushoto) akipkewa na viongozi wa Hifadhi ya Taifa Katavi, alipowasili mapema leo.
Geofrey Adroph BLOGGER P.O.BOX 24793, Mob: +255 755 274953 /+255 713 363965, Email: pamojapure@gmail.com. Blog: http://www.pamoja.co.tz/ DAR ES SALAAM, TANZANIA

VIDEO:WIZARA YA AFYA, MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO YAKUTANA NA WADAU MJINI DODOMA KUJADILI MABORESHO YA MKAKATI DHIDI YA MAUAJI YA WAZEE NCHINI.

MAKAMU WA RAIS, MHE. SAMIA SULUHU HASSAN KUZINDUA MAKUMBUSHO MAPYA YA OLDUVAI NA ONESHO LA CHIMBUKO LA MWANADAMU TAREHE 03 OKTOBA, 2017 MKOANI ARUSHA

$
0
0
Waziri wa Maliasili, Prof. Jumanne Maghembe akizungumza na waandishi wa habari jana mkoani Morogoro kuhusu uzinduzi wa Makumbusho Mapya ya Olduvai na Onesho la Chimbuko la Mwanadamu ambayo yatazinduliwa tarehe 03 Oktoba, 2017 na Makamu wa Rais, Mhe. Samia Suluhu Hassan katika eneo la Olduvai wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha. 
 Waziri wa Maliasili, Prof. Jumanne Maghembe akizungumza na waandishi wa habari jana mkoani Morogoro kuhusu uzinduzi wa Makumbusho Mapya ya Olduvai na Onesho la Chimbuko la Mwanadamu ambayo yatazinduliwa tarehe 03 Oktoba, 2017 na Makamu wa Rais, Mhe. Samia Suluhu Hassan katika eneo la Olduvai wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha. (Picha na Hamza Temba - WMU)

Morogoro, Septemba 28, 2017
.........................................................................
Serikali ya Tanzania kupitia Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kwa kushirikiana na Umoja wa Ulaya imekamilisha ujenzi wa Makumbusho mapya ya Olduvai ambayo yanaonesha Chimbuko la Binadamu (The Cradle of Humankind) katika Bara la Afrika.
Makumbusho hayo mapya pamoja na Onesho la Chimbuko la Binadamu, yatafunguliwa rasmi na  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan tarehe 03 Oktoba, 2017 katika eneo la Olduvai, ndani ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro.
Onesho hilo ni matokeo ya utafiti wa muda mrefu uliofanyika katika Bonde la Olduvai na Laetoli katika Wilaya ya Ngorongoro mkoani Arusha. Wananchi, viongozi mbalimbali wa kitaifa na Mabalozi wanatarajiwa kuhudhuria kwenye hafla hiyo.
Idadi kubwa ya vioneshwa katika Makumbusho hiyo, vilipatikana katika bonde la Olduvai na Laetoli nchini Tanzania kupitia utafiti wa kisayansi wa muda mrefu na vilikuwa vimehifadhiwa katika Makumbusho ya Taifa, Jijini Dar es Salaam. Vioneshwa hivi ni pamoja na masalia ya zamadamu, zana za mawe na masalia ya wanyama walioishi takribani miaka milioni 4 iliyopita.
Makumbusho hayo yamepangwa kuonesha sehemu kuu nne zinazowiana.  Sehemu ya kwanza inahusu ushahidi wa nyayo za zamadamu zilizongunduliwa huko Laetoli mwaka 1978 na mtafiti Dr. Mary D. Leakey.  Nyayo hizi ziliachwa na zamadamu anayeiitwa Australopithecus afarensis na ndio ushaidi usiopingika wa zamadamu kutembea wima kwa miguu miwili takribani miaka milioni 3.6 iliyopita.
Sehemu ya pili inahusu hadithi ya kusisimua ya kuwa binadamu (Genus Homo); ambapo kutakuwa na masalia ya zamadamu wanaoitwa Zinjanthropus au Paranthropus boisei na Homo habilis, zana za mawe za mwanzo zilizotumika (Oldowan) katika kujipatia chakula na ushahidi wa kale wa ulaji wa nyama katika historia ya mabadiliko ya binadamu, takribani miaka million 2 iliyopita.
Sehemu ya tatu inahusu maisha ya jamii ya Homo erectus.  Jamii hii ilikuwa inafanana zaidi na binadamu wa sasa kuliko jamii zilizotangulia. Kutakuwa na masalia zamadamu Homo erectus, zana za mawe (Acheulian) na ushahidi wa ulaji wa wanyama wakubwa kama vile Nyati na tembo katika historia ya mabadiliko ya binadamu, takribani miaka million 1.7 iliyopita.
Sehemu ya nne inaonesha kipindi cha mwanzo cha binadamu wa sasa (Homo sapiens) walioanza kutokea hapa Afrika miaka laki 2 iliyopita. Sehemu hii pia itaonesha mila na utamaduni wa makabila mbalimbali kama vile Wahadzabe, wamasai na Datoga.  Kutakuwa na mavazi ya asili ya jamii hizo, zana za kuwinda na vifaa mbalimbali wanavyovitumia katika maisha yao ya kila siku.
Wizara ya Maliasili na Utalii inawakaribisha wananchi wote kuhudhuria ufunguzi huo ambapo watapata pia fursa ya kutembelea vivutio vingine vilivyopo ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro ili kujifunza na kufurahia urithi huu wa asili na kiutamaduni wa Taifa letu.
Imetolewa na;

Prof. Jumanne Maghembe
Waziri wa Maliasili na Utalii

JAFO: WATENDAJI MSILETE LELEMAMA USIMAMIZI MIRADI YA MAENDELEO

$
0
0
 Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jafo akisisitiza jambo alipokuwa akizungumza na wananchi mara baada ya kukagua Kituo cha Afya Kintinku wilayani Manyoni, Wengine ni Mkuu wa Wilaya ya Manyoni ambaye ni Mkuu wa wilaya ya Ikungi Mhe Miraji Jumanne Mtaturu na Mbunge wa Jimbo la Manyoni Mashariki (CCM) Mhe Daniel Mtuka
 Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jafo akiwa na Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Manyoni ambaye ni Mkuu wa wilaya ya Ikungi Mhe Miraji Jumanne Mtaturu wakikagua chumba cha kuhifadhia maiti katika kituo cha Afya Kintinku wilayani Manyoni.
Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jafo akitembelea na kukagua mradi wa maji Kintinku/Lusilile wilayani Manyoni
Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Manyoni ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Miraji Jumanne Mtaturu akimshukuru Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jafo kwa ukaguzi wa miradi ya maendeleo.
 Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jafo akikagua mradi wa maji Kintinku/Lusilile wilayani Manyoni
 Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Tamisemi Selemani Jafo akikagua chumba cha dawa katika Kituo cha Afya Kintinku wilayani Manyoni, Mwingine ni Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Manyoni ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Miraji Jumanne Mtaturu
  
Na Mathias Canal, Singida

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, (Tamisemi) Mhe Seleman S. Jaffo (Mb) amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida kuanza haraka Mradi wa Ujenzi wa Chumba Cha upasuaji, na Ujenzi wa wodi ya kisasa.

Naibu Waziri Jaffo ametoa maagizo hayo wakati alipokuwa akizungumza na watumishi wa kituo Cha afya Kintinku mara Baada ya kutembele na kujionea uduni wa upatikanaji wa Huduma katika kituo hicho.

Alisema Mradi huo utaambatana na Ujenzi wa maabara kwa ajili ya vipimo kwa wagonjwa, Ujenzi wa eneo la kuchomea taka na Ukarabati wa eneo la kuhifadhia maiti.

Jafo ameonyesha kukerwa na ucheleweshwaji wa kuanza Ujenzi huo licha ya serikali kupeleka fedha kiasi cha shilingi milioni 500 katika mwaka wa fedha 2017/2018 zitakazotosha kukamilisha Ujenzi wote.

Alisema katika awamu ya Pili zitatolewa fedha kiasi cha shilingi milioni 220 zitakazotumika kununua vifaa vyote katika Chumba Cha upasuaji na vifaa tiba kwa ujumla.

Naibu Waziri Jafo alisema kitendo Cha kuchelewa kuanza Ujenzi huo kinachelewesha kuwapatia huduma bora wananchi ambayo inahubiriwa na serikali ya awamu tano inayoongozwa na Mhe Rais Dkt John Pombe Magufuli.

"Haiwezekani Rais anatoa fedha kwa ajili ya kuboresha sekta mbalimbali nchini ikiwemo sekta ya Afya halafu kuna watu wachache wanashindwa kusimama vizuri fedha Hizo Jambo ambalo linapelekea serikali kulaumiwa na wananchi" Alisema Jaffo

Katika hatua nyingine Mhe Jaffo alimuagiza mhandisi wa Maji Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni Vijijini Eng Gasto Mbondo kutekeleza mpango wa shughuli za utoaji wa Huduma ya maji kupitia Mradi wa kisima Cha Kintinku/Lusilile kilichopo Kijiji Cha Mbwasa (Mbwasa Well Field) kwani eneo Hilo linaonekana kuwa na maji ya kutosha.

Akikagua mradi huo Mhe Jaffo alisema tatizo kubwa kwa wananchi Ni pamoja na changamoto sugu ya upatikanaji Huduma za maji hususani vijijini na kukamilika kwa mradi huo utapunguza umbali na muda wanaotumia wananchi kutafuta maji. 

Awali Mhandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni Eng Gasto Mbondo akisoma taarifa ya utekelezaji wa shughuli za utoaji wa Huduma ya maji alisema kuwa Mradi huo wa maji wa Kintinku/Lusilile utakapokamilika unatarajia kuhudumia watu wapatao 45,417 kwa kuongeza 19.2% kutoka 42.1% iliyopo mpaka 61.3% na utakuwa na Vituo 81 vya kuchotea maji (DPs).

Naye Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Miraji Jumanne Mtaturu Alisema kuwa utekelezaji wa miradi hiyo utasimamiwa kwa karibu na ofisi yake ili kuongeza Hamasa na tija.

Pia alisema katika Mradi wa Ujenzi wa majengo kwa ajili ya kituo Cha Afya Kintinku asilimia kubwa ya mafundi watatoka katika Wilaya ya Manyoni ili kutoa ajira kwa wananchi husika.

VIDEO: MWINJILISTI KUTOKA MAREKANI AWASHA MOTO JIJINI MWANZA

$
0
0
Mamia ya wananchi wanazidi kujitokeza kwa wingi kwenye mkutano mkubwa wa injili ulioandaliwa na kanisa la kimataifa la EAGT Lumala Mpya kwenye uwanja wa Sabasaba Ilemela Jijini Mwanza. Mhubiri ni  mwinjilist Rojas Matias kutoka Marekani huku mchungaji mwenyeji akiwa ni Dkt.Daniel Moses Kulola.

PROF. MAGHEMBE AFUNGUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA NCHI 21 DUNIANI KWA AJILI YA KUJADILI UKUKUZAJI WA SEKTA YA UPANDAJI WA MITI KIBIASHARA

$
0
0
Waziri wa Maliasili, Prof. Jumanne Maghembe akizungumza mkoani Morogoro jana wakati wa ufunguzi wa mkutano wa pili wa Mashirika yanayohamasisha upandaji wa miti kibiashara na uzalishaji wa mazao ya misitu barani Afrika, mkutano huo wa siku mbili umewashirikisha wajumbe kutoka nchi 21 duniani kwa lengo la kubadilishana mawazo juu ya kuboresha uzalishaji na upatikanaji wa masoko. Aliwataka wajumbe hao kujadili namna ya kuwawezesha wakulima wa miti wakati wanasubiri kuvuna mazao yao waweze kujishuulisha na kilimo cha mazao ya muda mfupi kwa kutumia mbinu bora za kisayansi ili waweze kujikimu kimapato.
Waziri wa Maliasili, Prof. Jumanne Maghembe akizungumza mkoani Morogoro jana wakati wa ufunguzi wa mkutano wa pili wa Mashirika yanayohamasisha upandaji wa miti kibiashara na uzalishaji wa mazao ya misitu barani Afrika, mkutano huo wa siku mbili umewashirikisha wajumbe kutoka nchi 21 duniani kwa lengo la kubadilishana mawazo juu ya kuboresha uzalishaji na upatikanaji wa masoko. 
Baadhi ya wajumbe kutoka nchi 21 duniani wakifuatilia mkutano huo. Nchi hizo ni Burkina Faso, Chad, Ethiopia, Gambia,Ghana, Italy, Mali, Niger, Nigeria, Senegal, Sudan, Liberia, Cameroon, Swaziland, Finland, Zambia, Canada,Mozambique, Zimbabwe, Kenya na Tanzania.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dkt. Steven Kebwe akizungumza katika mkutano huo. Aliwataka wajumbe wa mkutano huo kujadili na kuishauri dunia namna bora ya kutunza na kuendeleza misitu kwa faida ya kizazi cha sasa na kijacho ikiwemo utekelezaji wa sheria za usimamizi wa misitu.
Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki, Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Ezekiel Mwakalukwa akizungumza katika mkutano huo ambapo aliwataka wajumbe kujadili kwa uwazi kuhusu mikakati mbalimbali ya kukabiliana na changamoto za sekta ya misitu na kwamba Serikali kupitia Wizara itapokea maoni na mapendekezo yao kwa ajili ya kuyafanyia kazi ili kuimarisha ustawi wa sekta hiyo. 
Waziri Maghembe akieleza jambo kwenye ka mkutano huo ambapo aliwataka wajumbe wajumbe wajadili namna bora ya kuwafundisha wakulima wa miti kufanya kilimo bora ikiwa ni pamoja na mafunzo uvunaji wa hewa ukaa ili kuwainua kimapato. Aliwataka pia kusaidia wakulima wa miti katika upatikanaji wa masoko ya uhakika.
  Prof. Maghembe akisisitiza jambo kwenye mkutano huo.
Waziri wa Maliasili, Prof. Jumanne Maghembe akizungumza mkoani Morogoro jana na baadhi ya viongozi waliondaa mkutano wa pili wa Mashirika yanayohamasisha upandaji wa miti kibiashara na uzalishaji wa mazao ya misitu barani Afrika muda mfupi kabla ya kufungua mkutano huo wa siku mbili uliowashirikisha wajumbe kutoka nchi 21 duniani kwa lengo la kubadilishana mawazo juu ya kuboresha uzalishaji na upatikanaji wa masoko. 
  Baadhi ya wajumbe walishiriki mkutano huo kutoka nchi 21 duniani.
 Waziri wa Maliasili, Prof. Jumanne Maghembe (kushoto) akizungumza na Mbunge kutoka Kenya, Chariti Katambi mkoani Morogoro jana baada ya kufungua mkutano wa pili wa Mashirika yanayohamasisha upandaji wa miti kibiashara na uzalishaji wa mazao ya misitu barani Afrika, mkutano huo wa siku mbili umewashirikisha wajumbe kutoka nchi 21 duniani kwa lengo la kubadilishana mawazo juu ya kuboresha uzalishaji na upatikanaji wa masoko. 
Waziri wa Maliasili, Prof. Jumanne Maghembe akizungumza na waandishi wa habari mkoani Morogoro jana baada ya kufungua mkutano wa pili wa Mashirika yanayohamasisha upandaji wa miti kibiashara na uzalishaji wa mazao ya misitu barani Afrika, mkutano huo wa siku mbili umewashirikisha wajumbe kutoka nchi 21 duniani kwa lengo la kubadilishana mawazo juu ya kuboresha uzalishaji na upatikanaji wa masoko. 
Picha ya pamoja na washiriki wa mkutano huo
. (PICHA NA HAMZA TEMBA - WMU)

KATIBU MKUU WIZARA YA HABARI AONGOZA KIKAO CHA MASHAURIANO KUHUSU MAUDHUI NA KANUNI MPYA ZA HUDUMA YA UTANGAZAJI TANZANIA (TV, RADIO, BLOG, ONLINE TV)

$
0
0
 Baadhi ya wamiliki wa mitandao ya kijamii (Bloggers, Online Media) wakiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Profesa Elisante Ole Gabriel (Katikati waliokaa), viongozi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) baada ya kumalizika kwa kikao cha mashauriano na Wadau kuhusu  huduma ya Utangazaji  (Maudhui) na kanuni za maudhui mitandaoni leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam

Kanuni  ziizojadiliwa ni maudhui yanayorushwa na vituo vya uatangazaji  vya Redio na Televisheni n maudhui mitandaoni (Online Content) Jumla ya vyombo vya habari 76 vilishiriki kwenye kikao hicho.

Wadau wamepewa wiki moja kuwasiliasha maoni yao kwenye kamati ya mashauriano ili yajadiliwe na kufanyiwa kazi kwa lengo la kuboresh kanuni/
 Wamiliki wa Wmiliki na wafanyakazi wa Vituo vya Televisheni na Radio wakiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Profesa Elisante Ole Gabriel (Katikati waliokaa), viongozi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) baada ya kumalizika kwa kikao cha mashauriano na Wadau kuhusu  huduma ya Utangazaji  (Maudhui) na kanuni za maudhui mitandaoni leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Profesa Elisante Ole Gabriel akizungumza  kuhusu mambo mbalimbali waliyokubaliana katika kikao cha mashauriano na Wadau kuhusu  huduma ya Utangazaji  (Maudhui) na kanuni za maudhui mitandaoni leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam

 Wadaui wa habari wakiwa katika kikao hicho



 Meneja Mipango na Utafiti wa Sahara Media Group,  Nathan Rwehabura akichangia mada wakati wa kikao hicho, ambapo pia alilalamikia ada kubwa inayotozwa kwa mwaka wamiliki wa vituo vya tv ambayo ni dola 25,000 swa na sh/ mil/ 60

 Dina Chahali wa Chanel Ten akitafakari jambo katika kikao hicho
  Mkurugenzi Mstaafu wa Utangazaji wa TCRA, Habby Gunze akifafanua jambo katika kiao hicho

 Wakili wa Jamii Forum Benedict akichangia mada wakati wa kikao hicho

  Mkuu wa Vipindi wa EAST AFRICA Radio, Nasser Kingu akichangia mada wakati wa kikao




 Baadhi ya wamiliki wa mitandao ya kijamii (Bloggers, Online Media) wakiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Profesa Elisante Ole Gabriel (Katikati waliokaa), viongozi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) baada ya kumalizika kwa kikao cha mashauriano na Wadau kuhusu  huduma ya Utangazaji  (Maudhui) na kanuni za maudhui mitandaoni leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam

Kanuni  ziizojadiliwa ni maudhui yanayorushwa na vituo vya uatangazaji  vya Redio na Televisheni n maudhui mitandaoni (Online Content) Jumla ya vyombo vya habari 76 vilishiriki kwenye kikao hicho.

Wadau wamepewa wiki moja kuwasiliasha maoni yao kwenye kamati ya mashauriano ili yajadiliwe na kufanyiwa kazi kwa lengo la kuboresh kanuni. 

ASILIMIA 75% YA NCHI WANACHAMA WA INTERPOL, YAKUBALI KUJIUNGA KWA PALESTINA KATIKA TAASISI HIYO

$
0
0
Mwakilishi wa Palestina akipokea bendera kutoka kwa Rais wa Interpol Bw. Meng Hongwei kuashiria uanachama kamili wa Palestina ndani ya Taasisi ya Polisi ya Kimataifa ya kuzuia uhalifu wa kijinai duniani.


Mkutano Mkuu wa Taasisi ya Polisi wa kimataifa wa kuzuia uhalifu wa kijinai “Interpol”, umekubali kujiunga kwa Palestina katika taasisi hiyo,baada ya nchi wanachama 75 kulipigia kura ya ndio azimio hilo. Interpol imethibitisha kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa, Palestina na visiwa vya Solomon kuanzia sasa ni miongoni mwa wanachama wake.

Interpol ni taasisi kubwa zaidi ya kipolisi wa kimataifa iliyoasisiwa mwaka 1923, inajumuisha masuala ya nchi wanachama 190,huku makao makuu yake yakiwa mjini Lyon nchini Ufaransa.Aidha Interpol imekubali uanachama wa Palestina mnamo siku ya jumatatu iliyopita jioni kufuatia ombi la nchi hiyo, kabla ya kulijumuisha katika ajenda zake zitakazopigiwa kura katika Mkutano wake Mkuu,ambao uliketi nchini China Jumatano iliyopita na kuikubalia Palestina ombi lake hilo.

Kwa upande mwingine,Israeli na Marekani zilijaribu kukwamisha hatua hiyo ya kukubaliwa uanachama wa Palestina katika Interpol, kwa kutumia mashinikizo kadhaa juu ya taasisi hiyo ili isikubali ombi la Palestina kuwa mwanachama.

Wakati huo huo, Dr.Riyad Al-Maliki ambae ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Palestina, amepongeza hatua ya kuipigia kura ya ndio nchi yake na hatimae kukubaliwa uanachama wa Interpol,kupitia mkutano wake mkuu uliofanyika mjini Beijing nchini China. Amesisitiza kuwa hatua hiyo inathibitisha kuaminika uwezo wa Palestina katika kutekeleza sheria,dhamira halisi na maadili muhimu ya Interpol.

Waziri pia ameashiria kupatikana kwa ushindi huo,kumetokana na msimamo wa awali wa idadi kubwa ya nchi wanachama wa Interpol, iliyotetea sababu ya kuwepo kwa taasisi hiyo na kanuni zake za msingi,pale zilipokataa waziwazi kuupa nafasi ubabe wa kisiasa utawale. Huku waziri akiongeza kusema:"Leo haki na kanuni zimeshinda mambo mengine yote"."Leo, ukweli na kanuni zimeshinda mambo mengine yote.

Dr.Riyad Al-Maliki kwa niaba ya taifa la Palestina,amezishukuru nchi wanachama zilizoiunga mkono Palestina katika jitihada zake,huku akitilia mkazo kuendelea kwa nchi yake katika jitihada za kujiongezea hadhi na nafasi mbalimbali kimataifa,ikiwa ni pamoja na kutetea haki za Wapalestina,uhuru na amani yao kwa njia ya kidiplomasia na kisheria, ikiwa ni pamoja na kujiunga na taasisi husika za kimataifa.

Kwa mnasaba huu pia, Waziri Al-Maliki amesisitiza ahadi ya nchi yake ya Palestina katika kutimiza majukumu yake ya kuchangia kupambana na uhalifu na kuimarisha utawala wa sheria katika ngazi ya kimataifa. Huku ikishirikiana na nchi wanachama wa Interpol katika kukuza hadhi na nafasi ya taasisi hiyo, ushiriki wa kidhati kabisa wa kimataifa dhidi ya uhalifu unaohatarisha maisha wananchi na mustakabali wao duniani.

Aidha ameongeza kusema: "Nchi ya Palestina inauchukulia uanachama huu na majukumu yake kama ni sehemu ya wajibu wake kwa Wapalestina,pia ni wajibu wa kimaadili kwa walimwengu wote. Palestina ipo tayari na inaweza kubeba majukumu na wajibu huu kama mshirika wa dhati katika jamii ya kimataifa,itachangia hasa kuendeleza maadili yetu ya msingi ya pamoja kama mataifa. "

HATIMAYE WANANCHI WANAOTAKIWA KUPISHA MRADI WA SHANTA GOLD MINE WILAYANI IKUNGI WATEKELEZEWA MALIPO YAO

$
0
0
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Mhe Miraji Jumanne Mtaturu Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliowahusisha wananchi wa Kijiji cha Mang’onyi, Sambaru na Mulumbi kwa ajili ya kulipa fidia za wanufaika kwa ajili ya kupisha Mradi wa Kampuni ya uchimbaji madini ya Shanta Gold Mining Ltd.
Wananchi wa Kijiji cha Mang’onyi, Sambaru na Mulumbi wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Mhe Miraji Jumanne Mtaturu Akizungumza katika mkutano wa hadhara kwa ajili ya kulipwa fidia za wanufaika kwa ajili ya kupisha Mradi wa Kampuni ya uchimbaji madini ya Shanta Gold Mining Ltd.
Meneja wa Kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya Shanta Gold Mining Ltd Philbert Rweyemamu akielezea utaratibu wa ulipaji fidia kwa wanufaika.
Wananchi wa Kijiji cha Mang’onyi, Sambaru na Mulumbi wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Mhe Miraji Jumanne Mtaturu Akizungumza katika mkutano wa hadhara kwa ajili ya kulipwa fidia za wanufaika kwa ajili ya kupisha Mradi wa Kampuni ya uchimbaji madini ya Shanta Gold Mining Ltd.
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Mhe Miraji Jumanne Mtaturu akisalimiana na Meneja wa Kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya Shanta Gold Mining Ltd Philbert Rweyemamu mara baada ya mkutano wa hadhara kwa ajili ya kulipwa fidia za wanufaika kwa ajili ya kupisha Mradi wa uchimbaji madini.
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Mhe Miraji Jumanne Mtaturu akisalimiana na wananchi mara baada ya mkutano wa hadhara kwa ajili ya kulipwa fidia za wanufaika kwa ajili ya kupisha Mradi wa uchimbaji madini.
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Mhe Miraji Jumanne Mtaturu Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliowahusisha wananchi wa Kijiji cha Mang’onyi, Sambaru na Mulumbi kwa ajili ya kulipa fidia za wanufaika kwa ajili ya kupisha Mradi wa Kampuni ya uchimbaji madini ya Shanta Gold Mining Ltd.
Wananchi wa Kijiji cha Mang’onyi, Sambaru na Mulumbi wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Mhe Miraji Jumanne Mtaturu Akizungumza katika mkutano wa hadhara kwa ajili ya kulipwa fidia za wanufaika kwa ajili ya kupisha Mradi wa Kampuni ya uchimbaji madini ya Shanta Gold Mining Ltd. 



Na Mathias Canal, Singida

Kampuni ya Uchimbaji wa Madini ya dhahabu (Shanta Gold Mining Limited) iliyopo katika kijiji cha Sambaru Kata ya Mang’onyi Wilayani Ikungi, Mkoani Singida huenda ikaanza uchimbaji wa madini ya dhahabu hivi karibuni baada ya kuanza kulipa fidia ya zaidi ya Bilioni 1.6 wanufaika wa awamu ya pili inayohusisha wananchi kutoka Vijiji vitatu vya Mang'onyi, Sambaru na Mulumbi.

Kampuni hiyo tayari imekamilisha ulipaji wa awamu ya kwanza kwa kulipa zaidi ya Milioni 900.2 Wanufaika waliolipwa fedha hizo wanaotokana na mazoezi mawili ya uthamini yaliyofanywa kwenye eneo la mradi kwa ajili ya upanuzi wa kambi.

Malipo hayo yatakamilisha umiliki wa maeneo hayo kwa Kampuni ya Shanta Gold mining kwa ajili ya uchimbaji na kuwafanya wananchi hao kupisha mradi wa uchimbaji dhahabu pasina kinyongo chochote.

Malipo hayo ya awamu ya pili na ile ya kwanza yamelipwa kwa wanufaika wote wa fidia katika Vijiji vyote vilivyopo Katika Kata ya Mang'onyi yanaondoa malalamiko ya muda mrefu ya wananchi wa maeneo mbalimbali waliopo kwenye eneo la mradi huo waliotaka kufahamu hatima ya malipo yao.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliowahusisha wananchi wa Kijiji cha Mang’onyi na wawakilishi wa kampuni ya uchimbaji madini ya Shanta Gold Mining Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Mhe Miraji Jumanne Mtaturu alisema kuwa kampuni hiyo inapaswa kutumia muda mfupi katika ulipaji wa fidia kama ilivyofanya katika awamu ya kwanza.

Alisema kuwa Kampuni hiyo ya uchimbaji imeanza kutekeleza sheria ya madini inayoelekeza miezi sita kabla ya kuanza uchimbaji wawekezaji wanapaswa kuanza kulipa fidia.

Naye Meneja wa Kampuni ya uchimbaji madini ya dhahabu ya Shanta Gold Mining Ltd Philbert Rweyemamu alisema kuwa kampuni yake imeanza kutekeleza maelekezo yaliyotolewa na Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Miraji Jumanne Mtaturu mwezi Disemba 2016 ya kuwalipa wanufaika hao fidia ambayo ni hatua muhimu ya utekelezaji wa mradi huo.

Alisema kuwa malipo yanafanywa na kampuni hiyo chini ya usimamizi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya sambamba na wenyeviti wa serikali za vijiji vyote vilivyopo ndani ya mradi.

Kuanza kwa uchimbaji wa madini katika eneo hilo kutaibua ajira nyingi kwa wananchi Wilayani Ikungi na Taifa kwa ujumla jambo litakalosaidia ukuzaji wa pato la mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla wake.

Katika Awamu ya Kwanza Kampuni ya Shanta Gold Mining Ltd iliwalipa wanufaika 92 wenye umiliki wa Viwanja 121 thamani yake ikiwa ni Shilingi 902,412,247.00 Hulu awamu hii ya Pili wakilipwa Wamiliki 114 wenye Viwanja 156 vyenye thamani ya Shilingi 1,663,112,018.01

Aidha, Kuanzia leo Septemba, 2017 wanufaika wa fidia wameanza kufanya uhakiki wa malipo yao na ufunguaji Akaunti kwa ajili ya malipo ikiwa ni matakwa ya kisheria.

Akizungumza kwa niaba ya wananchi, Mwenyekiti wa Kijiji Cha Mang'onyi Ndg Mohamed H. Ramadhani alimshukuru Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mhe Miraji Jumanne Mtaturu kwa kutoa maagizo ya kulipwa haraka fidia za kila wanufaika Jambo ambalo limetekelezeka kwa haraka katika kipindi Cha muda mfupi.

Sambamba na hayo aliongeza kuwa Mkuu huyo wa Wilaya anafanya kazi kubwa katika kuwaunganisha wananchi wote ili kupata stahiki zao na kufurahia Rasilimali za Nchi yao.

KITUO KIPYA CHA KIMAREKANI CHAZINDULIWA MAKTABA KUU YA TAIFA JIJINI DAR ES SALAAM

Next: BONDIA OMARI KIMWERI ATOA MSAADA KWA KINYOGOLI KUPITIA KWA SUPER D NCHINI Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimpatia zawadi ya vifaa vya mchezo wa ndondi kocha mkongwe wa mchezo uho Habibu Kinyogoli 'Masta' vifaa vilivyotolewa na bondia Omari Kimweri anaefanya shughuli zake nchini Austalia Kimweri amekuwa akisaidia sana mchezo wa masumbwi nchini kadri awezavyo Picha na SUPER D BOXING NEWS Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimpatia zawadi ya vifaa vya mchezo wa ndondi kocha mkongwe wa mchezo uho Habibu Kinyogoli 'Masta' vifaa vilivyotolewa na bondia Omari Kimweri anaefanya shughuli zake nchini Austalia Kimweri amekuwa akisaidia sana mchezo wa masumbwi nchini kadri awezavyo Picha na SUPER D BOXING NEWS Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimpatia zawadi ya vifaa vya mchezo wa ndondi kocha mkongwe wa mchezo uho Habibu Kinyogoli 'Masta' vifaa vilivyotolewa na bondia Omari Kimweri anaefanya shughuli zake nchini Austalia Kimweri amekuwa akisaidia sana mchezo wa masumbwi nchini kadri awezavyo Picha na SUPER D BOXING NEWS Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akimpatia zawadi ya vifaa vya mchezo wa ndondi kocha mkongwe wa mchezo uho Habibu Kinyogoli 'Masta' makabidhiano hayo yalifanyika ilala CCM katika kambi ya ngumi vifaa hivyo vilivyotolewa na bondia Omari Kimweri anaefanya shughuli zake nchini Austalia Kimweri amekuwa akisaidia sana mchezo wa masumbwi nchini kadri awezavyo Picha na SUPER D BOXING NEWS Na Mwandishi Wetu KOCHA wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amemkabidhi vifaa vya mchezo wa masumbwi kwa kocha mkongwe wa mchezo huo nchini Habibu Kinyogoli 'Masta' vifaa vilivyotumwa na bondia Mtanzania Omari Kimweri 'Lion Boy 'anaefanya shughuli zake nchini Australia vifaa hivyo vya kufundishia vimeletwa na Kimweri kwa ajili ya kufundishia vijana chipkizi wa mchezo wa masumbwi nchini bondia huyo alimpatia Super D ili amwakilishie kwa Kinyogoli kwa kuwa yeye alkikuwa na majukumu mengini Super D aliwasilisha vifaa hivyo wa ndindi kwa kocha huyo akizungumza baada ya kukabidhiwa vifaa hivyo kocha Kinyogoli amesema anamshukuru sana kimweri kwa msaada wako huo kwa kuwa vijana wengi wakienda nje ya nchi awawakumbuki wenzao lakini yeye mara kwa mara amekuwa akinikumbuka kwa kuniletea vifaa vya mchezo wa masumbwi nchini kwa ajili ya kuwaendeleza wenzake nakumbuka kesha niletea glove kipindi cha miaka minne iliyopita na sasa ameniletea vifaa hivi hivyo najuwa kuwa kijana anakumbuka nyumbani na hii ndivyo inavyotakiwa kuwakumbuka wenzako kukumbuka ulipotoka nashukuru sana na nawakikishieni kuwa mabingwa wa mchezo wa masumbwi watatokea hapa ambapo kuna vijana wana nia ya kuwa mabingwa wa Dunia alimaliza kusema Kinyogoli nae mwakilishi wa Bondia Kimweri ambae ni Super D amesema kuwa mbali na msaada uho kwa Kinyogoli Kimweri ametoa vifaa mbalimbali vikiwemo pad glove bukta kikingia kichwa clip bandeji na vifaa mbalimbali nchini ikiwemo mkoa wa Tanga Dar es salaam na Morogoro vifaa hivyo vimetoka austalia kuja Tanzania kwa ajili ya Watanzania Wote hivyo mabondia wajitokeze kufanya mazoezi kwa moyo mmoja
$
0
0
Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Dk. Inmi Patterson na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhandisi Stella Manyanya, wakikata utepe katika hafla ya uzinduzi rasmi wa Kituo Kipya cha Kimarekani kilichoanzishwa kwa ubia na Maktaba Kuu jijini Dar es Salaam Ijumaa hii. Hafla hii ilihudhuriwa pia na Mkurugenzi Mkuu wa Maktaba nchini, Dk. Alli Mcharazo.



Muonekano kituo  Kituo Kipya cha Kimarekani kilichoanzishwa kwa ubia na Maktaba Kuu jijini Dar es Salaam Ijumaa hii

Muonekano kituo  Kituo Kipya cha Kimarekani kilichoanzishwa kwa ubia na Maktaba Kuu jijini Dar es Salaam Ijumaa hii




 Naibu waziri wa Elimu na Sayansi na Teknolojia, Mhandisi Stella Manyanya akihutuba katika uzinduzi wa kituo cha Kimarekani kilichoanzishwa kwa kushirikiana na Ubalozi wa  Marekani nchini Tanzania pamoja na serikali ya Tanzania. 

kikundi cha Ngoma kikisherehesha wakati wa uzinduzi wa kituo  hicho mapema jana.
Baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria hafla ya uzinduzi rasmi wa Kituo Kipya cha Kimarekani wakifuatilia kwa karibu hotuba zilitotolewa na wazungumzaji wakuu wa sherehe hizo jijini Dar es Salaam Ijumaa hii. Kituo hicho cha Kimarekani kimeanzishwa kwa ubia na Maktaba Kuu Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Injia Stella Manyanya ndiye alikuwa Mgeni Rasmi katika uzinduzi huo uliohudhuriwa na Kaimu Balozi wa Marekani nchini, Dk. Inmi Patterson na Mkurugenzi Mkuu wa Huduma za Maktaba nchini, Dk. Alli Mcharazo.
Viewing all 1902 articles
Browse latest View live