Quantcast
Channel: BONGOWEEKEND
Browsing all 1907 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI KIJIJI CHA NSEKWA WILAYANI MLELE WAIPONGEZA TARURA UJENZI WA...

Wananchi wa Kijiji cha Nsekwa, Kata ya Nsekwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Mlele mkoani Katavi wametoa pongezi zao kwa Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MCHENGERWA AFUNGA ZOEZI LA UANDIKISHAJI DAFTARI LA MPIGA MPIGA KURA

Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala  za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI ) Mohammed  Mchengerwa leo 20,Oktoba 2024  amefunga zoezi la kujiandikisha kupiga kura na kutoa taarifa ya siku tisa ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TARURA YAUNGANISHA VIJIJI VYA IFINSI, KAMBANGA NA BUGWE WILAYANI TANGANYIKA

Tanganyika, KataviWakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imekamilisha ujenzi wa vivuko na daraja la Mto Mnyamasi lenye urefu wa mita 20 pamoja na kufungua barabara ya Kambanga-Ifinsi yenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC KUNENGE AFUNDA VIONGOZI WA VIONGOZI WA MASHIRIKA YA UMMA

RC Kunenge  akizungumza na Viongozi wa  Mashirika ya Umma kwenye ufunguzi wa mafunzo ya Uongozi  yaliyoanza tarehe 20 hadi 26 Oktoba,2024.Kibaha,PwaniMKUU wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge amesema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YAPATA TUZO NNE ZA UTALII

Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Pindi Chana amepokea Tuzo nne za Utalii ambazo Tanzania imeshinda kupitia World Travel Awards-Africa Gala zilizofanyika Mombasa, Kenya mwishoni mwa wiki.Hafla hiyo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUPAA KWA UCHUMI TANZANIA KUTAONGEZA UWEKEZAJI:MAKOBA

Na Mwandishi wetu, Dodoma Imeelezwa kuwa ripoti ya hivi karibuni ya Shirika la Fedha Duniani (IMF), inayoonesha kuwa uchumi wa Tanzania unatarajiwa kukua kwa  uchumi  kwa asilimia sita mwaka 2025,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CDF JACOB MKUNDA AWAVISHA NISHANI MAJENERALI, MAAFISA NA ASKARI UNGUJA...

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi ya Wananchi wa Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda kwa niaba ya Mhe Rais na Amiri Jeshi Mkuu Dkt Samia Suluhu Hassan amewavisha nishani mbalimbali Majenerali, Maafisa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAMLAKA YA HIFADHI YA NGORONGORO(NCAA) YASHIRIKI MAONESHO NA KONGAMANO LA...

Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) inashiriki Maonesho na Kongamano la Uwekezaji na Utalii linalofanyika tarehe 25 na 26 Oktoba 2024, Dimani, Fumba, Zanzibar. Katika maonyesho hayo, NCAA...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

IDARA YA HABARI BARA, ZANZIBAR KUIMARISHA USHIRIKIANO

Na Mwandishi wetu, ZanzibarMkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Thobias Makoba, amesema kuwa Idara ya Habari (Maelezo) Tanzania Bara na Idara ya Habari (Maelezo)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKONGO WAGOMA KUZIKA BINTI YAO

pichani  ni marehemu Berliss Mujinga enzi za uhai wake.Wakati huohuo  babamdogo wa marehemu  Mchungaji Enock  Ambroseo amesema kuwa   marehemu  Berliss na baba yake wameingia nchini  kwa miezi mitatu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UWEKEZAJI SEKTA YA MASHIRIKA YA UMMA UMEFIKIA TRILIONI 86

 Kibaha, Pwani Mkurugenzi wa Uwekezaji Ofisi ya Msajili  Hazina  Lightness Mauki  amesema uwekezaji wa serikali katika mashirika ya umma nchini umefikia shilingi trioni 86 kufikia mwaka 2024 hivyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HEKAYA FUPI YA KABURI LA WAPENDANAO LILILOPO KATIKA JIJI KONGWE LA TANGA...

Na  Makinikia,TangaJijini Tanga, katika kata ya Usagara karibu na uwanja wa hockey, kuna makaburi ya zamani yenye sehemu ya Kikristo na sehemu nyingine ya kijeshi ya Vita ya Kwanza ya Dunia, ambapo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

EFTA YAFADHILI 5 KWENDA UTURUKI KUJIFUNZA KUHUSU KILIMO CHA KISASA

EFTA yafadhili wakulima Watano Kutembelea Uturuki Kujifunza Kilimo: Safari ya Kubadilishana Maarifa na Ubunifu wa KilimoNa Magesa MagesaOctoba, 2024.Dar es Salaam.Katika juhudi za kuhakikisha  wakulima...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAELEZO WATETA NA IDARA YA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA TAIFA

Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Bw. Thobias Makoba, leo Oktoba 31, 2024 amekutana na Mkurugenzi wa Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa, Bw. Firimin Msiangi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC KISARAWE PETRO MAGOTI ATOA WITO KWA JESHI LA AKIBA KUTO RUBUNIWA NA WANASIASA

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Petro Magoti akikagua gwaride la wahitimu wa mafunzo ya jeshi la akiba ambayo yamefanyika leo tarehe 1,Novemba ,2024 Kata ya Manerumango Mkoani Pwani.Manerumango, Kisarawe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC MAGOTI APITA MEZA KWA MEZA HARAMBEE YA UJENZI WA JENGO LA VIP KISARAWE

 Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mhe.Petro Magoti akichukua mawasilianano ya mdau  ambaye ameahidi kuchangia fedha kiasi  ambacho hakutaka kitangazwe kwenye hafla ya Kisarawe Afya Gala   kwa ajili ya ujenzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NCAA YASHIRIKI UZINDUZI WA FILAMU YA AMAIZING TANZANIA NA MAADHIMISHO YA...

Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imeshiriki katika uzinduzi wa filamu ya Amazing Tanzania pamoja na maadhimisha miaka 60 ya uhusiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na China iliyofanyika tarehe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NCAA YANADI VIVUTIO VYA UTALII MAONESHO YA “WORLD TRAVEL MARKET LONDON”...

Mamlaka ya Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) inashiriki Maonesho ya “World Travel Market London 2024” ambayo yanafanyika katika jiji la London, Uingereza kuanzia tarehe 5- 7 Novemba, 2024. Maonesho...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAZI WA PONGWE WATOA SHUKRAN KWA JWTZ

Wakazi wa kijiji cha Pongwe Msungura kilichoko Wilayani Bagamoyo Mkoani Pwani wamelishukuru Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania kwa msaada mkubwa iliyoutoa kwa watoto wao.Akizungumza kwa niaba ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUFTI NA SHEIK MKUU WA TANZANIA APONGEZA MRADI WA KUTAFSIRI QUR’AN TUKUFU...

Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Dkt. Abubakary Zubeiry bin Ally, amempongeza Dkt. Shehnaz Shaikh kwa kazi yake ya kujitolea katika kuandaa tafsiri ya Qur’an neno-kwa-neno kwa lugha ya Kiswahili....

View Article
Browsing all 1907 articles
Browse latest View live