Quantcast
Channel: BONGOWEEKEND
Browsing all 1906 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

YUSUF SINGO ACHAGULIWA KUWA MKURUGENZI IDARA YA MAENDELEO YA MICHEZO

Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw.Yusuph Singo Omari

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABONDIA MFAUME MFAUME NA MUDDY MATUMLA WATAMBIANA KUZIPIGA FEB 5 TAIFA

Bondia Mfaume Mfaume kushoto akitunishiana misuli na Mohamed Matumla wakati wa utambulisho wa mpambano wao wa Feb 5 katika uwanja wa ndani wa Taifa katikati ni mratibu wa mpambano uho Chese Masanja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANZANIA WATANO WACHAGULIWA KUWA MABALOZI WA KUWAINUA WANAWAKE KIUCHUMI

“BINGWA WA MABADILIKO” au “CHAMPION FOR CHANGE” ni kauli mbio iliyoanzishwa kwenye shindano lililoandaliwa na Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia maswala ya wanawake (UN-WOMEN) lenye lengo wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BENKI KUU YA TANZANIA YAWAJENGEA UWEZO WAJUMBE KAMATI YA HESABU ZA SERIKALI...

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Prof. Benno Ndulu (katikati) akifafanua jambo kwa Wajumbe wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) (hawapo pichani) kuhusu majukumu mbalimbali ya Benki hiyo wakati wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAJIRI WA ERNIE ELS DESIGN KUJENGA UWANJA WA GOFU ZANZIBAR

 Mkurugenzi wa Zanzibar Amber Resort, Saleh Mohammed Said akitia saini mkataba wa makubaliano na mcheza Gofu duniani Ernie Els ambae ana kampuni ya Ernie Els Design huko Afrika Kusni leo  Mkurugenzi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSIBA WA MWANDISHI WA HABARI AMINA ATHUMANI WA GAZETI LA UHURU KISIWANI ZANZIBAR

Katibu wa Kamati ya Kombe la Mapinduzi na Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Zanzibar  Khamis Said akimfariji Mume wa Marehemu Amina Athumani  Toufik Majaliwa alipofika nyumbani kwa jamaa wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFF YATUMA SALAMU ZA RAMBI RAMBI MSIBA WA AMINA ATHUMANI

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Emil Malinzi ametuma salamu za rambirambi kwa Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani kutokana na kifo cha Mwanahabari za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DSTV WAUNGANA NA WANAHABARI WASHUHUDIA UFUNGUZI AFCON

Mkurugenzi wa Multichoiuce Tanzania  Maharage Chande akizungumza wakati wa kuwakaribisha waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbaliu nchini wakati wa ufunguzi wa kombe la mataifa Afrika yanayofanyika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BURIANI AMINA ATHUMAN

 Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Mwandishi wa Habari za Michezo wa Gazeti la Uhuru, Amina Athuman  walipokuwa wakioutoa nyumbani kwake Banana, Dar es Salaam leo, kuliingiza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASKARI WA JIJI LA TANGA WANUSURIKA KIPIGO KUTOKA KWA WASAFIRISHAJI

 Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga,Mhina Mustapha Selebosi mwenye miwani na tisheti akizungumza na wasafirishaji wanaofanya shughuli zao kati ya Mombasa nchini Kenya kuhusu kuwataka kuhamia eneo la stendi...

View Article

MKUTANO MKUU TAFCA KINDONI KUFANYIKA FEB 18

Press Release 16/01/2017 Mkutano Mkuu wa Chama cha Makocha wa Mpira wa Miguu Tanzania (TAFCA) Mkoa wa kisoka wa Kinondoni utafanyika Februari 18 mwaka huu jijini Dar es Salaam katika ukumbi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAMBURA ATOA WITO VIJANA KUIGA MFANO WA CECILIA GODFREY

Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe. Anastazia J. Wambura (katikati) akiongea na Waandishi wa habari huku akiwasisitiza Vijana kuiga mfano bora aliofanya Mrembo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS MAMA SAMIA MGENI RASMIMAADHIMISHO YA MWAKA MPYA WA KICHINA

NA Daudi Manongi - MAELEZOMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Hassan Suluhu anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya mwaka mpya wa kichina yatakayofanyika katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YATENGUA MWONGOZO WA MATUMIZI YA MIHURI YA SERIKALI ZA MITAA

Na Beatrice Lyimo-MAELEZO Serikali imesitisha waraka wa muongozo uliotolewa kuhusu matumizi ya mihuri kwa wenyeviti wa Mitaa na vijiji mpaka pale itakaposhirikiana na kukubaliana namna bora ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BONDIA MFAUME MFAUME AENDELEA KUJIFUA KWA AJILI YA KUMKABILI MUDY MATUMLAS...

Bondia Mfaume Mfaume akiendelea kujifua jana  kwa ajili ya kumkabili bondia Mohamed Matumla Feb 5 katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWSBondia Mfaume Mfaume akitengeneza misuli ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MRADI WA KUKU WA KIENYEJI WAZINDULIWA MITEJA LINDI

 Wakiwa na furaha ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa, Abuu Mjaka akiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Namaingo Business Agency Limited, Ubwa Ibrahim baada ya kuzindua Mradi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABONDIA MBWANA MATUMLA NA MESHACK MWANKEMWA WATAMBA KUWADUNDA WAPINZANI WAO...

Bondia Mbwana Matumla kushoto akielekezwa kupiga ngumi na Said Abdulghafoor wakatio wa mazoezi ya Matumla ya kutambulisha mpambano wake na  Seleiman Shabani utakaofanyika Feb 5 katika ukumbi wa uwanja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOMOA BOMOA IKIENDELEA KIBAHA MAILI MOJA LEO

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 0

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BONDIA MESHACK MWANKEMWA AWASILI DAR KUMKABILI RAMA SHAURI

Mabondia Mesharck Mwankemwa wa Mbeya na Mbwana Matumla wakioneshana umwamba wa kutupiana makonde wakati wa mazoezi yao ya kujiandaa na mapambano yao yatakayofanyika Feb 5 katika ukumbi wa uwanja wa...

View Article
Browsing all 1906 articles
Browse latest View live