Quantcast
Channel: BONGOWEEKEND
Browsing all 1906 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC KILIMANJARO AZINDUA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA KANDA YA KASKAZINI

Uzinduzi wa siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia kanda ya kaskazini ulitanguliwa na maandamano yaliyopita katika barabara mbalimbali za mji wa Moshi na kuhitimishwa katika viwanja vya kituo kikuu cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAWAKE NA MAENDELEO FOUNDATION: TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

WANAWAKE NA MAENDELEO FOUNDATIOND A R ES SALAAM | IJUMAA |DESEMBA 2, 2016TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIKatika gazeti la Raia Mwema toleo No 486 la Tarehe 30 Novemba, 2016 kumeandikwa habari yenye kichwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NMB WADHAMINI MKUTANO WA TBN DESEMBA 5-6, 2016

Mwenyekiti wa muda wa mitandao ya Kijamii Tanzania Bloggers Network (TBN), Joachim Mushi (wa pili kulia) akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mkutano mkuu wa chama cha Bloggers Tanzania (TBN)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BLOGGERS TANZANIA WAPEWA MAFUNZO YA NAMNA BORA YA UENDESHAJI WA MITANDAO YA...

Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO, Dk. Hassan Abbas (wa pili kulia) akizungumza wakati wa kufungua mkutano mkuu wa siku mbili wa Tanzania Bloggers Network (TBN) uliofanyika katika ukumbi wa PSPF...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UMEME WA UPEPO KUINGIZWA KWENYE GRIDI YA TAIFA

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo Rashid Shamte akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kuingiza umeme wa upepe kwenye grid ya taifa mara baada ya kufunguliwa kwa mkutano wa wadau mbalimbali wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI NAPE AFUNGA MKUTANO MKUU WA WAANDIAHI WA HABARI ZA MITANDAO 'Tanzania...

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye akitoa Ufafanuzi wakati alipokuwa akieleza namna ya kuitambua mitandao ya Kijamii pamoja na uanzishaji wa Tuzo kwa Waendeshaji mitandao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANANCHI WA SINGIDA KUNUFAIKA NA MRADI WA UMEME WA UPEPO

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira na Muungano Mheshimiwa January Makamba akizungumza kwenye mkutano wa wadau wa umeme kujadili mkakati ya kuzalisha nishati ya Umeme kwa njia ya Upepo...

View Article

MKURUGENZI WA JAMII FORUM APANDISHWA KIZIMBANI LEO

Mkurugenzi wa mtandao wa JamiiForum, Maxence Melo amepandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo akikabiliwa na makosa manne likiwemo la kuzuia taarifa za upelelezi kwa jeshi la...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHRISTIAN BELLA AZINDUA VIDEO YA 'GIVE IT TO ME'

Msanii Bell 9 akipozi katika red carpet wakati wa uzinduzi wa video ya wimbo wake wa Give It To Me.Mgeni Rasmi katik uzinduzi huo Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete akizungumza katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAASISI YA NAMAINGO KUWAKOMBOA WAKAZI DAR NA PWANI KWA MRADI WA SUNGURA

 Mkurugenzi wa Kampuni ya Namaingo Business Agency, Biubwa Ibrahim (kulia0 na Meneja Mradi wa Sungura wa kampuni hiyo, Amos Misinde wakionesha kwa wanahabari, Dar es Salaam jana,  baadhi ya sungura 600...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKURUGENZI WA JAMII FORUM APATA DHAMANA

Mkurugenzi  wa Jamii Forum  Maxence Melo   pichani  juu amepata dhamana leo baada ya kukamilisha masharti ya dhamana ya kuwa  na wadhamini wawili  huku kila  mmoja alisaini dhamana ya maneno   ya...

View Article

MITANDAO YA KIJAMII KUFUNGWA DRC

Umoja  wa Mataifa  umebainisha  wasiwasi  wake  kufuatia  kutangazwa  mpango  wa serikali  ya Jamhuri ya Kudemokrasia ya Kongo  (DRC), kufunga   kufunga  kitandao ya kijamii kuanzia  usiku wa kuamkia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MELO ARUDISHWA URAIANI

 Mshtakiwa wa kesi ya kuzuia taarifa ya upelelezi wa Jeshi la Polisi na kuendesha mtandao ambao haujasajiliwa Tanzania, Maxence Melo akisindikizwa na askari Magereza wakati akiingia katika ya Mahakama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAIPONGEZA TAASISI YA NAMAINGO KUGAWA MRADI WA SUNGURA

 Mkurugenzi wa Kampuni ya Namaingo Business Agency, Bi Ubwa Ibrahim akihutubia wakati wa uzinduzi wa kugawa miradi ya sungura kwa wajasiriamali eneo la Majohe, Dar es Salaam Mkurugenzi wa Kampuni ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MERRY CHRISTMAS

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WENGI WAJITOKEZA KWENYE MSIBA WA MPOKI BUKUKU

 Mhariri Mtendaji wa gazeti la Mtanzania, Absalom Kibanda akimfariji mjane wa marehemu Mpoki Bukuku, Lilian nyumbani kwa marehemu, Tabata Bwawani, Dar es Salaam. Bukuku alifariki juzi baada ya kugongwa...

View Article

SALAM ZA KRISMAS KUTOKA MJENGWA BLOG IRINGA

Maggid Mjengwa

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SABODO AMSHAURI RAIS JOHN POMBE MAGUFULI ABADILISHE FEDHA

 Mfanyabiashara maarufu nchini, Mustafa Jaffar Sabodo akizungumza jijini Dar es Salaam, kuhusu wafanyabiashara wanaoficha fedha majumbani na kumshauri Rais John Magufuli abadilishe fedha. (PICHA ZOTE...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIDHIWANI KIKWETE APONGEZA UBORESHWAJI WA HUDUMA ZA MAJI WAMI

MBUNGE  wa   jimbo la  Chalinze Ridhiwani  Kikwete  amepongeza  jitihada   kubwa  zinazofanywa na  wataaluma  wa Halmashauri ya  Chalinze  katika  kuboresha  mradi  wa maji wa Wami  kwa ajili ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIUNGO WA ZAMANI ATHUR MAMBETA AOMBA MSAADA

Na Humphrey Shao,Globu ya Jamii.Kiungo wa zamani wa Timu ya Taifa ya Tanzania na Simba Sports iliyokuwa ikiitwa Senderland ,Athur Mwambeta amewaomba wadau mbalimbali wa mchezo wa soka nchini na Chama...

View Article
Browsing all 1906 articles
Browse latest View live