Quantcast
Channel: BONGOWEEKEND
Browsing all 1907 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFUMUKO WA BEI WA MWEZI JULAI WAPUNGUA HADI 5.1

  Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Jamii wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Ephraimu Kwesigabo (kulia) akitangaza Mfumuko wa Bei wa Taifa wa mwezi Julai, 2016 ambao umefikia asilimia 5.1 kutoka asilimia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JAMII FORUMS YAZINDUA RASMI MRADI WA "TUSHIRIKISHANE"

Timu ya Jamii Media ikitambulishwa mbele ya Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Bukoba.Mtandao wa JamiiForums.com umezindua rasmi mradi wa unaowashirikisha viongozi wa kuchaguliwa(hususani wabunge na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU WA BARAZA LA MICHEZO TANZANIA BMT MOHAMED KIGANJA ASEMA KATIKA NGUMI...

Katibu mkuu wa Balaza la Michezo Tanzania BMT Mohamed Kiganja katikati akiwa pamoja na baadhi ya viongozi waliomtembelea kazini kwake alipo waita  Katibu mkuu wa Balaza la Michezo Tanzania BMT Mohamed...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAR FESTIVAL KUFANYIKA SEPTEMBA MWAKA HUU

Pichani kati ni Mratibu wa tamasha la Dar  Festival, Faridi Faradj akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani),jijini Dar es Salaam juu ya  tamasha hilo litakalofanyika  mwezi huu katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI IMEJIPANGA KUONDOA MSONGAMANO KATIKATI YA JIJI -PROFESA MBARAWA

Waziri wa Ujenzi , Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mnyaa Mbarawa akizinduwa safari za gari moshi leo jijini Dar es Salaam. Waziri wa Ujenzi , Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mnyaa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOCHA SUPER D AENDELEA KUWA NOWA MABONDIA IDD MKWELA KWA AJILI YA MPAMBANO...

Mabondia Iddi Mkwela kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Vicent Mbilinyi wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D Coach Uhuru GYM Kariakoo Shule ya Uhuru Mkwela anajianaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LILIAN INTERNET KUSTAAFU UNENGUAJI ,BAADA YA KUTAMBA JUKWAANI KWA MIAKA 17

Na Mwandishi Wetu, Dar es SalaamUongozi  wa  Kampuni  ya African  Stars Entertainment ( Aset), wanaomiliki bendi ya Twanga Pepeta wameandaa  usiku  maalum wa kumuaga  mnenguaji wake  mahiri...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSIMU MPYA UNAKUJA WA SUPER SPORT

NA MWANDISHI WETU Ulimwengu wa Mabingwa Super Sport katika kuwajali mashabiki wake umepanga kuwaletea soka bora barani Afrika kwa kuonyesha michuano yote moja kwa moja ya msimu mpya katika kiwango cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

VIJANA WAENDESHA MDAHALO KUJADILI CHANGAMOTO MBALIMBALI

Mwakilishi Mkazi msaidizi kutoka UNFPA Bi. Christine Mwanukuzi akifungua mdahalo huo, kuwashukuru vijana kwa kujumuika pamoja na kuwapongeza kwa kufanikisha mdahalo huo kuelekea katika siku ya vijana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BONDIA VICENT MBILINYI AJINOA KA AJILI YA MKENYA SEPTEMBA 17 NAIROBI KENYA

 Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' kulia akimnowa bondia Vicent Mbilinyi kwa kumwelekeza kupiga ngumi zilizo nyooka wakati wa mazoezi ya bondiahuyo ya kujiandaa...

View Article

SERIKALI YALIFUNGIA GAZETI LA MSETO KWA 36

View Article

WAZIRI NAPE NNAUYE ALIPOKUTANA NA WASAMBAZAJI FILAMU NA MUZIKI

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA WANANCHI MAENEO MBALIMBALI AKIWA NJIANI...

 Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na baadhi ya wanahabari baada ya kuhutubia maeneo mbalimbali akiwa njiani kuelekea jijini Mwanza  Rais wa Jamhuri ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

HUU UHARIBIFU WA VIFAA VYA KUHIFADHIA TAKA KATIKA VITUO VYA MABASI YA...

Ikiwa ni Takribani miezi michache kupita tangia mabasi ya mwendo kasi yaanze kufanya kazi kwa ufanisi mzuri, kumekuwa na mambo kadha wa kadha yakiendelea ikiwa ni pamoja na kuharibika kwa miundombinu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YATOA UFAFANUZI WA CHANJO YA KICHAA CHA MBWA NA HOMA YA MANJANO

 Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk. Mohamed Mohamed akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya hatua iliyochukuliwa na Serikali kuagiza na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHULE ZA FEZA HAZITAFUNGWA

Na Dotto MwaibaleUONGOZI wa  Shule za Feza nchini umeibuka na kukanusha taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii,  kuwa wao  hawana uhusiano na  Fethullah Gulen wala serikali ya Uturuki  kwa vile...

View Article

JARIDA LA UTAMADUNI WETU WIZARA YA HABARI UTAMADUNI SANAA NA MICHEZO

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWENYEKITI MPYA WA CCM RAIS JOHN POMBE MAGUFULI APOKELEWA DAR KWA VIFIJO NA...

Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akipungia wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa J.K. Nyerere, Jijini Dar es salaam kabla...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DROO YA JENGA NA TWIGA CEMENT YAFIKIA TAMATI

Meneja Ukuzaji Biashara wa Twiga Cement, jamal Yahya akiongea na Revocatus Mwombeki (32) ambye ni mkazi wa Jiji la Mwanza aliyeibuka kuwa mshindi wa kwanza katika droo ya mwisho ya Jijenge na Twiga...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHRISTIAN BELLA ALIVYOKONGA NYOYO ZA MASHABIKI MWANZA

 Mwanamuziki nyota Christian Bella akikonga nyoyo za maelfu ya wananchi wa jiji la Mwanza wakati wa mkutano wa hadhara wa Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli katika uwanja wa Furahisha jijini Mwanza...

View Article
Browsing all 1907 articles
Browse latest View live