Quantcast
Channel: BONGOWEEKEND
Browsing all 1906 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI MKOANI MBEYA YAFUTA HATI YA KIWANJA CHA MAKAZI KILICHOTOLEWA NA...

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Amosi Makala (Picha Maktaba)Na Emanuel Madafa,Mbeya -amiimojabloguSERIKALI Mkoani Mbeya  imeagiza kufutwa kwa hati ya  kiwanja kilichotolewa na halmashauri ya Jiji la Mbeya kwenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PICHA LUKUKI ZA MATUKIO BUNGENI DODOMA

 Mbunge wa Jimbo la Ulanga, Goodluck Mlinga ambaye alisababisha wabunge wanawake wa upinzani kutoka bungeni wiki iliyopita kwa madai ya kuwadhalilisha,akichangia hoja bungeni Dodoma jana, ambapo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DAWASCO KUGHARAMIA GHARAMA ZA UUNGANISHAJI KWA WATEJA WAPYA

Mhandisi Cyprian Luhemeja.Katika kutekeleza agizo la serikali la kuwafikia wateja laki 4 (400,000) ifikapo June 2016 ,Shirika la Majisafi na Majitaka jijini Dar es salaam (Dawasco) ,linaendelea na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMISHNA MSAIDIZI KITENGO CHA HAKI ZA MTOTO AFUNGUA NYUMBA ZA KUNDI LA WATOTO...

Kaimu Kamishna msaidizi kitengo cha haki za mtoto na marekebisho ya tabia, Steven Gumbo akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa mradi wa nyumba za kundi la watoto wanaoelekea ujanani katika kituo cha...

View Article

TANZANIA KUWA WENYEJI MKUTANO WA WAKADIRIAJI MAJENZ

Na Beatrice Lyimo-MAELEZO DAR ES SALAAM. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano mkuu wa wakadiriaji majenzi Afrika unaotarajiwa kufanyika...

View Article


ETHIOPIAN AIRWAYS JOIN ZIFF 2016

Travelling to Zanzibar will be even easier this year thanks to a sponsorship by Ethiopian Airline that will give discounted rates for international travellers wanting to attend the Zanzibar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI NAPE NNAUYE PAMOJA NA WAZIRI JANUARY MAKAMBA WAKUTANA NA WASANII...

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye (Mb) (wa pili kulia) akiwa pamoja na Wasanii wa kizazi kipya ambao walitembelea Bunge mjini Dodoma akiwemo Msanii Nasib Abdul maarufu...

View Article

TAMKO LA MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA/UCHAGUZI KUHUSU KAULI ZA KEJELI NA...

Sisi Wanamtandao wa Wanawake na Katiba/Uchaguzi na Uongozi tumesikitishwa na kufadhaishwa sana na hali ya udhalilishwaji na matumizi ya lugha chafu  na za kejeli dhidi ya Wanawake Bungeni. Kauli kama...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UPDATES: MSIBA WA MTOTO WA ANKAL ISSA MICHUZI

Assalaam aleikum,Familia ya Ankal Issa Michuzi iliyopatwa na msiba wa kuondokewa na Mtoto wa Ankal, Maggid Muhidin aliefariki Jumapili Mei 8, 2016 huko Durban, Afrika Kusini. Taarifa ya sasa ni kwamba,...

View Article


SERENGETI BOYS YATUA GOA, KUANZA NA MAREKANI J’PILI

Timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 maarufu kama Serengeti Boys imetua salama jijini Goa, India kwa ajili michuano maalumu ya soka ya kimataifa kwa vijana (AIFF Youth Cup 2016 U-16)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NGUMI ZA KIMATAIFA KUPIGWA KESHO JUMAMOSI MEI 14 UWANJA WA NDANI WA TAIFA

Bondia Sajjabi Ben wa Uganda akitunishiana misuli na Fransic Miyeyusho baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa kimataifa utakaofanyika siku ya jumamosi ya mei 14 katika uwanja wa ndani wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BLOGGERS WAATINGA BUNGENI KWA MWALIKO WA WAZIRI NAPE

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye (aliyevaa tai) akiwa katika picha  ya pamoja na wamiliki wa Blogs  (Bloggers) aliowaalika wakati wa kuwasilisha hotuba ya Makadirio ya Mapato...

View Article

SERIKALI YATOA BIL.2.3 KUWALIPA WAFANYAKAZI WA NIDA

Na Beatrice Lyimo-MAELEZODar es salaam. Serikali imeipatia Mamkala ya Vitambulisho vya Taifa NIDA shilingi bilioni 2.3 (Bilioni mbili na milioni mia tatu) kwa ajili ya kuwalipa watumishi wa muda 597 wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAGGID MUHIDIN MICHUZI KUZIKWA LEO SAA KUMI

Assalaam Aleikhum,Updates za familia ya Ankal Issa Michuzi iliyopatwa na msiba wa kuondokewa na Mtoto wa Ankal, Maggid Muhidin (18),  aliyefariki Jumapili Mei 8, 2016 huko Durban, Afrika Kusini:Mwili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WEMA SEPWTU NA WASANII WENGINE WALIPO ALIKWA BUNGENI DODOMA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye akiwa na wasanii mbalimbali pamoja na blogger nje ya bunge baada ya kuwasilisha hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya wizara hiyo kwa...

View Article


VIWANDA KUPIMA VIWANJA 2180 CHASIMBA

Na Jacquiline Mrisho-MAELEZO Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeazimia kupima jumla ya viwanja 2180 katika Kijiji cha Chasimba,wilayani Kinondoni baada ya kuisha kwa mgogoro wa ardhi...

View Article

BENKI YA POSTA YATOA MSAADA KWA KITUO CHA WATOTO BAGAMOYO

 Benki ya Posta Tanzania (TPB) imetoa msaada ya mahitaji mbalimbali chakula, mavazi  kwa kituo cha watoto waishio katika mazingira magumu kiitwacho ‘Amazing Step for Children Foundation’ jana  Wilayani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAFARI YA MWISHO YA MWANETU MAGGID MAKABURI YA KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM

Mwili wa marehemu ukiingizwa katika msikiti wa Maamur Upanga jijini Dar es salaam leo tayari kwa kuswaliwa kabla ya mazishi.Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete (kushoto) akimfariji  baba wa marehemu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC MAKONDA ASEMA WANAWAKE NDIYO CHANZO CHA UFISADI NCHINI

IMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akikagua machinjio ya Vingunguti baada ya kuzungumza na wananchi wa Kata ya Mnyamani Dar es Salaam leo asubuhi. Kushoto ni Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHUKURANI TOKA KWA FAMILIA YA ANKAL KUFUATIA MSIBA WA MWANAE MAGGID

Familia ya Ankal Muhidin Issa Michuzi  inapenda kutoa  shukrani nyingi sana sana kwa ndugu, jamaa, majirani, marafiki na wafanyakazi wenzie kwa kujitoa kwa hali na mali katika wakati huu mgumu wa msiba...

View Article
Browsing all 1906 articles
Browse latest View live