Quantcast
Channel: BONGOWEEKEND
Viewing all articles
Browse latest Browse all 1907

SIGHTSAVERES NA IDARA YA AFYA MKOA WA LINDI WATOA HUDUMA YA MACHO BURE NANE NANE

$
0
0

Mratibu wa Huduma za Macho Mkoa wa Lindi Dk.Mwita Machage akimpima mgonjwa wa macho wakati wa sikukuu ya Nane Nane katika viwanja vya Ngongo mkoani Lindi leo.Huduma hii ya upimaji wa macho imefadhiriwa kwa ushirikiano wa shirika lisilo la kiserikali la Sightsavers Tanzania na sekretarieti ya mkoa wa Lindi Idara ya afya mkoa.



Viewing all articles
Browse latest Browse all 1907

Trending Articles