Quantcast
Channel: BONGOWEEKEND
Browsing all 1906 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NYUNDO NA WENZAKE JELA MAISHA KWA KUBAKA NA KUMLAWITI BINTI WA YOMBO

Watuhumiwa Nyundo na wenzake  waliokuwa wanakabiliwa na mashtaka ya kumbaka na kumuingilia kinyume na maumbile binti wa Yombo Dovya,  Jijini Dar es Salaam wamehukumiwa kifungo cha maisha jela pamoja na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WASHIRIKI 280 KUHUDHURIA MKUTANO MKUU WA MABUNGE NCHI WANACHAMA WA CPA KANDA...

Katibu Msaidizi wa Chama cha Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA) Kanda ya Afrika Ndugu Daniel Eliufoo akizungumza na waandishi wa habari katika Hoteli ya Gran Melia Jijini Arusha kuhusu Mkutano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI CHANA AKAGUA MIRADI YA KIMKAKATI HIFADHI YA TAIFA NYERERE

Muonekano wa lango la kitalii la kisasa lililojengwa katika Hifadhi ya Taifa ya Nyerere Wilaya ya Namtumbo, Mkoani Ruvuma.Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) (Katikati)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AZINDUA KITABU CHA HAYATI EDWARD SOKOINE

Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na familia  ya Hayati Edward Moringe Sokoine aliyekuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Baada ya kuzindua  kitabu hicho. Rais...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT. NATU AKUTANA NA UJUMBE WA IMF, WB NA COMSEC

Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-maamry Mwamba (kulia) akiagana na Naibu Mkuu Divisheni, Divisheni ya Fedha za Serikali, Idara ya Takwimu, Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) Bw. Andrew...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JKT RUVU WILDLIFE KUMLETA MFALME WA NYIKA SIMBA-MEJA KUWASSA

Meja Seif Hassan Kuwassa  wa Kikosi Cha JKT Ruvu 832,Kilichopo Mlandizi Mkoani Pwani pichani juu akifurahia na Pundamilia.kwenye bustani hiyo.Uongozi wa Bustani ya wanyamapori ya JKT Ruvu 832 iliyopo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AINA MBILI MPYA ZA KAHAWA YA TANZANIA YAZINDULIWA JIJINI TOKYO, JAPAN

Afisa Mwandamizi Masuala ya Uchumi katika Ubalozi wa Tanzania nchini Japan Bi. Edna Dioniz Chuku, aliyemwakilisha Balozi Baraka Luvanda katika Hafla ya Uzinduzi wa aina mpya mbili za kahawa ya Tanzania...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATAALAMU WA MAABARA TOENI MAJIBU SAHIHI KUWASAIDIA WATANZANIA - DKT. BITEKO

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt.Doto Biteko.(Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati)Naibu Waziri Mkuu wa Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa Wataalam wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT. NCHEMBA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA KAMISHNA JENERALI WA JESHI LA MAGEREZA...

Kikao kikiendelea kati ya Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, CGP Jeremiah Yoram Katungu, ambaye alifika Ofisi za Hazina Jijini Dodoma...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA VIONGOZI WA KAMPUNI MBALIMBALI IKULU

Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akutana na Kuzungumza na Viongozi Wakuu wa Makampuni mbalimbali Ikulu Jijini Dar es Salaam 03,Oktoba, 2024.Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye  kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANDAU AFUNGA MAFUNZO YA JUDO FILBERT BAYI

Wahitimu  wa mchezo wa Judo wakiwa katika picha ya pamoja na Katibu wa TOC Meja Mstaafu wa JWTZ Filbert Bayi  ,Mgeni rasmi Makamu  wa Rais TOC Henry  Tandau.Makamu wa Rais TOC  Henry Tandau akimkabidhi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UTU RUN YAFANA VIWANJA VYA FARASI OYSTERBAY DAR

Wizara  ya Mambo ya Ndani ya  Nchi wameichangia  Taasisi ya Utu Kwanza Mil.2 ikiwa ni katika kuunga mkono jitihada za Taasisi hiyo  kutoa msaada wa Kisheria kwa wananchi walioko Mahabusu na Magerezani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UDINI NI HATARI, KUCHOMA NGUO NI UTOTO

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, amewahimiza Watanzania kuendelea kushirikiana na CCM, akisisitiza kuwa chama hicho kimeonyesha kwa vitendo uwezo wa kuongoza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MSOMERA NI SALAMA ATAKAYE NA AJE - WAKILI MSANDO

Na Mwandishi wetu Handeni Tanga.Mkuu wa wilaya ya Handeni Mkoani Tanga Mhe. Albert Msando amewahakikishia wananchi wanaoishi Tarafa ya Ngorongoro na wanataka kuhamia katika kijiji cha Msomera kutokuwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TPW YATOA GARI NCAA KWA AJILI YA KUZUIYA MIGOGORO KATI YA WANYAMAPORI WAKALI...

Na Mwandishi wetu, Karatu.Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) imepokea gari aina ya Toyota Land Cruiser- Pick up kutoka Asasi ya watu na Wanyamapori Tanzania (TPW) kwa ajili ya kukabiliana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIUATILIFU CHA KUANGAMIZA WADUDU DHURIFU THURISAVE-24CHAZINDULIWA BIOTECH

Waziri Wa Wizara ya Kilimo Hussein Bashe amezindua  kiuatilifu  hai  cha kuangamiza  wadudu dhurifu kwenye mazao kilichotambulika kama  Thurisave-24Uzinduzi  huo umefanyika kwenye  Kiwanda Cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS SAMIA APONGEZWA MAGEUZI MAKUBWA SEKTA YA AFYA

Naibu Waziri wa Afya, Mhe. Dkt. Godwin Mollel amesema kuwa Rais Mhe. Dkt. Samia amefanya mapinduzi katika sekta ya afya katika muda mfupi ikiwa ni pamoja kupunguza vifo vya mama na mtoto wakati wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

OFISI YA WAZIRI MKUU, IBI ZASAINI MAKUBALIANO

Mtaalam wa Kujenga Uwezo kutoka Taasisi ya Mpango wa Biashara wa Kimataifa (IBI), Bi. Amtonga Amani akisaini makubaliano kati ya taasisi hiyo na Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) kuhusu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT.SAMIA SULUHU HASSAN AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI IKULU DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 10 Oktoba, 2024.

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RENMIN NA SHULE YA UONGOZI YA MWALIMU NYERERE WASAINI MKATABA WA...

Shule ya Uongozi  ya Mwalimu Nyerere imeingia makubaliano  kwa mara ya pili ya ushirikiano na Chuo Kikuu cha Renmin cha China  katika nyanja za mbalimbali zikiwemo za mafunzo utafiti na kubadilishana...

View Article
Browsing all 1906 articles
Browse latest View live