Quantcast
Channel: BONGOWEEKEND
Browsing all 1907 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KIPINDUPINDU CHAPIGA CHAUA MMOJA WENGINE 12 WALAZWA HOSPITALI JIJINI DAR ES...

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda. Na Dotto MwaibaleWAKATI Jiji la Dar es Salaam likiwa katika  mapambano ya kukabiliwa na dawa za kulevya jiji hilo limekumbwa na ugonjwa wa kipindupindu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BURIANI BLOGGER CHINGAONE

Aliyewahi kuwa muendeshaji wa Blog ya Chingaone Jeniffer Livigha amefariki dunia leo.Katika enzi za uhai wake marehemu licha ya kuwa Blogger pia alikuwa mwajiriwa wa kituo cha kulelea watoto yatima cha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WENGI WAJITOKEZA KUMUAGA MWANA TBN JENIFFER LIVIGHA

Pichani Mpendwa wetu Jennifer Livigha aliyekuwa Mmiliki wa Libeneke la Chinga One na Mwanachama wa TBN Enzi za uhai wake. Marehemu alizaliwa 25.01.1979 Nachingwea, alifariki nyumbani kwake kinyerezi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SBL YAANZA KUUZA BIA KENYA

Kwa mara ya kwanza, Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imeanza kuuza nje ya nchi  bidhaa zake katika  soko la kikanda,  eneo la kwanza  likiwa ni nchi jirani ya Tanzania kwa upande wa Kaskazini,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MSTAAFU DKT.KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA BENKI YA MAENDELEO YA AFRIKA...

Rais Mstaafu na  Mjumbe Maalum wa Kamisheni ya Kimataifa ya Kupendekeza Namna Bora ya Kugharamia Fursa za ELimu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amekutana na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika, Dkt....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TPDC WATOA MAFUNZO KWA WAANDISHI WA HABARI NJOMBE ,RUVUMA NA IRINGA

Wanahabari mkoa  wa  Iringa  walioshiriki  warsha ya siku  moja ya gesi asilia  wakiwa katika picha ya pamoja na mkuu wa wilaya ya  Iringa Richard Kasesela wa  tatu  kutoka  kushoto na wawezeshaji wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MSTAAFU ALHAJ ALLY HASSAN MWINYI ALIPOHUDHURIA SHEREHE YA MIAKA 56 UHURU...

 Rais Mstaafu Alhaj Ally Hassan Mwinyi akipokea zawadi ya mchoro toka kwa Balozi wa Kuwait nchini Mhe. Jasem al Najem katika hafla ya kusherehekea Miaka 54 ya Uhuru wa nchi ya Kuwait na miaka 26 ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YATOA WITO WANANCHI KUNUNUA KAZI ZA WASANII

Serikali imewataka wananchi kuanzisha desturi ya kununua kazi za wasanii, kwakuwa ndiyo njia pekee inayoweza kuwanufaisha kwa kazi wanazozifanya. Wito huo umetolewa wiki hii na Katibu Mkuu Wizara ya...

View Article


WATANZANIA WEKENI KISWAHILI KWENYE ROHO ZENU

Na Immaculate Makilika- MAELEZO Serikali imesema inatamani kuona watanzania wanakiweka kiswahili kwenye roho zao kwa kufikiri na kuzungumza lugha hiyo katika maeneo na shughuli mbalimbali za kitaifa na...

View Article


Article 1

   

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA RAIS ALASSANE OUATTARA JIJINI...

Rais Mstaafu na Mjumbe Maalum wa Kamisheni ya Kimataifa ya Elimu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete jana tarehe 23Februari 2016 amekutana na kufanya mazungumzo  na Rais wa Ivory Coast, Mhe. Alassane Ouattara...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI NAPE AFUNGUA MICHUANO YA STAND CHARTERED

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye akiongea na wageni waalikwa pamoja na wachezaji (hawapo pichani) wakati wa Ufunguzi wa Mashindano ya Kombe la Standard Chartered kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASHINDA GARI DROO YA ENHANCE AUTO TANZANIA LIMITED

Mstahiki Meya wa Kinondoni , Banjamin Sitta, jana alikuwa mgeni rasmi kwenye hafla droo ya kwanza  ya  Kampuni ya magari Enhance Auto Tanzania na Kampuni mama Enhance Auto Japan. Hafla hiyoo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAKWIMU ZINAZONESHA HALI YA UZAZI SALAMA TANZANIA

 Karibia wanawake 67,000 walitibiwa katika vituo vya afya kwa ajili ya matatizo yanayotokana na utoaji mimba usio salama kwa mwaka 2013 nchini Tanzania. Hata hivyo, karibu wanawake wengine 100,000...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MEYA ILALA AFUNGUA RASMI DARAJA LA BONYOKWA

 Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, Charles Kuyeko, akihutubia wananchi baada ya kufungua rasmi  daraja linalounganisha Kata ya Bonyokwa na Kata ya Kinyerezi katika Manispaa ya Ilala,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TNRF YAZINDUA MPANGO MKAKATI WA ARDHI

Kamishna wa Ardhi kutoka Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mary Makondo(aliyesimama) akizungumza jambo wakati wa uzinduzi wa mpango mkakati wa ardhi hapa nchini Tanzania ambao utajumuisha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KUELEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI ,WANAWAKE WAHAMASISHWA KUPIMA AFYA ZAO

  Na  Woinde Shizza,ArushaWanawake wote hapa nchini wametakiwa kujijengea tabia ya kupima afya zao mara kwa mara ili kuweza kujua matatizo  ya mwili waliyonayo na kuyatatua  kabla ya madhara makubwa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE AFUNGA FAINALI KOMBE LA ULEGA MKUNGANGA

Baadhi wa Wakazi wa Mkuranga Mkoani pwani wakishiriki zoezi la uchangiaji damu 05/03/2017 wakati wa fainali za Kombe la Ulega lililoandaliwa na Mbunge wa Wilaya hiyo, Mhe. Abdallah Ulega.Baadhi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WABUNGE WATATU WAPAMBANA KONGAMANO LA MUZIKI JIJINI DAR ES SALAAM

 Mbunge na Katibu Mkuu  Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT), Amina Nassoro Makulagi (kulia), akizungumza katika Kongamano la Siku moja la wadau wa muziki nchini lililoandaliwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKONDA MGENI RASMI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Na Immaculate Makilika- MAELEZO Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yanayotarajiwa kufanyika Machi 8 Mwaka huu,...

View Article
Browsing all 1907 articles
Browse latest View live